Kabisa....ndomana sahv watoto wa kiume wakuwa legelege...nywele kupakaa dawa,mdomoni lipstick,wanavaa nguo za kubanaNi jambo la kupongezwa kwa mamlaka kwa hatua hiyo maana upuuzi wa namna hiyo ndiyo unaharibu maadili ya jamii, watoto na vijana huiga kwa hao wasanii ambao wameshachanganyikiwa. Hongereni TCRA sasa baada ya hiyo TV kushughulikiwa na TCRA, Basata nao wadeal na huyo muonyesha tupu kwa kumfungia naye ili huo utupu awaonyeshe nduguze
Nasikia kwanza hawakuwa na kibali cha kuperfom hawa vijanaTCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha kurusha matangazo kwa miezi sita kuanzia leo kutokana kwa kukiuka kanuni za utangazaji kwa kurusha maudhui ya utupu.
Maamuzi hayo yanakuja kufuatia maudhui ya picha jongefu yaliyomwonesha msanii wa bongo Fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money akicheza ‘utupu’ kinyume na Kanuni katika tamasha la “Tumewasha Live Concert” lililorushwa Januari Mosi 2021 kuanzia saa mbili hadi saa tano usiku.
Aidha Wasafi Tv wanatakiwa kutumia siku ya leo kuomba radhi kwa watazamaji wake kufuatia ukiukaji huo na wakikaidi hatua zaidi za kisheria na udhibiti zitachukuliwa.
Pia soma > Gigy Money kafanya nini huko kwenye ziara ya Tumewasha na Tigo?
Like seriouslyYaani TCRA sijui wanakwama wapi, miezi 6 michache saaaaaaana
Magufuli baba laoooooYule midomo hana uongozi pale
Sijui wako na musha love[emoji23][emoji23]Wasafi Wenyewe wana akili gani.
Kama kuwa entertainer na kuwa na followers kibao hata Chiku Mbalaga ana wafuasi kinyamaaaa
Si wanajiona wao kijani sanaaNasikia kwanza hawakuwa na kibali cha kuperfom hawa vijana
Huo msumeno nani kauunda?? Inaonekana umeundwa na watu wasiokuwa na akili.Wataenda popote, kwahiyo wasionywe kisa watakuwa hawana ajira? Hakna hiyo.
Sheria ni msumeno, hukata huku na huku. Safi kwa TCRA kufanya kazi yao kwa weledi
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Wangefungiwa Mwaka mzima hawa
Siyo rahisi mkuu ila hata kama ni kweli kuna msemo wa kisheria unaosema "ignorance of the law is not an excuse"Kumbuka hawakujua Kama n kosa[emoji849]
au nasema uongo ndugu zanguuuuuHizi ni rasha rasha mpaka oblangata zimwage oil.....
Points zako nazielewa hapa[emoji1666][emoji123]. Sjiui tuna serikal ya Aina gan jamanHuo msumeno nani kauunda?? Inaonekana umeundwa na watu wasiokuwa na akili.
Kuna wakati Floyd Mayweather alipatikana na hatia ya kumpiga girl friend wake (Battery charges) na akahukumiwa kwenda jela mwaka mmoja. Kabla hajafanya tukio hilo la shambulio tayari alikuwa na commitment ya pambano na pambano hilo lilikuwa bado kama wiki moja lifanyike, kwa kuona umuhimu wa pambano katika uchumi wa jiji la Lasvegas yule Jaji akaahirisha kifungo hadi atapomaliza lile pambano na ikawa hivyo, hiyo ndiyo akili na sheria zenye akili zinatakiwa ziwe hivyo, unatakiwa kuungalia maslahi mapana ya umma kukiko kuangalia maslahi finyu.
Inatakiwa hao waliorusha huo uchafu katika Tv ndio wachukuliwe hatua na sio Kituo kizima cha TV chenye maslahi ya jamii kubwa.
Miezi 6 siyo poa, huko ni kukomoa, siyo adhabu.
Ignorance is an excuse because it is Ignorance."ignorance of the law is not an excuse"
Sio katika Hilo la wasafi. Wapewe hata adhabu ya. Kulipa faini. 6 month n kubwa mnoSiyo rahisi mkuu ila hata kama ni kweli kuna msemo wa kisheria unaosema "ignorance of the law is not an excuse"
BASATA wangekuwa wanatekeleza wajibu wao nyimbo nyingi za bongo Flava zingefungiwa. Vijana wamekosa ubunifu wa kisanii wamegeukia kuimba matusi ya nguoni. Karibu nyimbo zote ni matusi tu. Huwezi kusikiliza au kuangalia nyimbo hizi na mtu unayemheshimu. Wameachwa sababu no wapiga debe wa chama ila madhara yake ni makubwa kwa jamii na taifa kwa ujumlaTCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha kurusha matangazo kwa miezi sita kuanzia leo kutokana kwa kukiuka kanuni za utangazaji kwa kurusha maudhui ya utupu...
Kwa sababu sio wewe. You're not affected directly. Imagine ni weweWakiumia ndiyo watakuwa makini kurusha maudhui yanayokubalika sawa na miongozo ya TCRA na utamaduni wa kitanzania. Huwezi kuacha kuadhibu kisa kuna watu wataumia, maana hata wafungwa wapo waliokuwa wanategemewa na familia zao ila kwa kuwa walitenda makosa hakuna namna