Wewe neno rushwa unaelewa nini ndugu? mbona unaongea kama huelewi nini maana ya rushwa !Sometimes/mara nyingi watu wanakuwa wamequalify ila wanatoa rushwa sababu ya competition. Shida kubwa ni mtu kula rushwa, au kufanya ufisadi kisha akatorosha pesa.
Kuna mahali niliona anataja neno ufisadi na rushwa separately nikapata wasiwasi juu ya uelewa wake katika maswala ya rushwaMkuu rushwa Ina athari Moja Kwa Moja kwenye maendeleo na uchumi wa taifa!
Mfano mradi wa Bilioni 5,wahusika wanapewa rushwa then unaambiwa thamani halisi ya mradi ni bil 10!Huoni inageuka kuwa mzigo Kwa walipa Kodi na kuathiri uchumi wa nchi!
Hujajifunza tu kupitia kashfa kubwa za rushwa zilivyotutafuna,anzia EPA,ESCROw,Richmond,Dowans NK!
Kweli ukiwa na akili timamu unasema watu wale rushwa ila wazitafunie humu humu nchini!!!!
Ukichukua rushwa kubwa- watoto wakakosa elimu, wagonjwa wakakosa huduma za afya wakafa, ujenzi wa barabara ukafanyika below standard, hiyo haina madhara kiuchumi?Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.
Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.
Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.
Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
Kwani Waziri wa Fedha Mwigulu si alisema hatutakuja kufuatwa nyumbani kulipa deni, sasa hiyo hofu yako inatoka wapi hata ikiwa Trilioni 10!!! Mbona logic zetu zinagubikwa na uchama!Mkuu rushwa Ina athari Moja Kwa Moja kwenye maendeleo na uchumi wa taifa!
Mfano mradi wa Bilioni 5,wahusika wanapewa rushwa then unaambiwa thamani halisi ya mradi ni bil 10!Huoni inageuka kuwa mzigo Kwa walipa Kodi na kuathiri uchumi wa nchi!
Hujajifunza tu kupitia kashfa kubwa za rushwa zilivyotutafuna,anzia EPA,ESCROw,Richmond,Dowans NK!
Kweli ukiwa na akili timamu unasema watu wale rushwa ila wazitafunie humu humu nchini!!!!
Pia watu wasiona sifa wanapata tenda mbalimbali kupitia rushwa hii inafanya miradi kufanywa Chini ya viwango.hapa umeshaathiri maendeleo ya nchi.Ukichukua rushwa kubwa- watoto wakakosa elimu, wagonjwa wakakosa huduma za afya wakafa, ujenzi wa barabara ukafanyika below standard, hiyo haina madhara kiuchumi?
1, Tuchukue mfano mmoja wa rushwa kwenye miundombinu ya barabara- barabara mbovu zinasababisha:
Mifano kama hii inaweza kutolewa kwa sekta nyinginezo muhimu kama elimu:
- Pembejeo za kilimo sizifike kwa muda na zifike kwa gharama ya juu- hii husababisha gharama za uzalishaji kuongezeka au pia uzalishaji kushuka
- Usafirishaji wa mazao toka vijijini kwenda kwenye masoko huwa mgumu- hivyo bidhaa kupanda bei, kuongeza inflation n.k
- Kilimo kinakuwa hakivutii tena kama mwajiri wa vijana
- Uchumi wa nchi unadidimia
Yote hayani majanga makubwa kwa taifa.
- Rushwa ya ngono kwenye elimu
- Rushwa ya mitihani
Recipient wengi wa fedha za rushwa wanajenga majengo yao na familia zao, wananunua magari ya gharama kwa ajili ya familia zao na vimada wao. Rushwa haiwezi kamwe kuendeleza nchi
Tumia akili.hayo madeni yanalipwa Kwa kutumia Kodi ya watanzania.Kwani Waziri wa Fedha Mwigulu si alisema hatutakuja kufuatwa nyumbani kulipa deni, sasa hiyo hofu yako inatoka wapi hata ikiwa Trilioni 10!!! Mbona logic zetu zinagubikwa na uchama!
Uelewa wenu unatia mashaka!Watu wafanye ufisadi,kwasababu ni pesa za serikali basi mnasema Haina madhara kwasababu mtu hatafuatwa nyumbani kudaiwa!Hizi ni akili timamu kweli?Pesa ambayo ilipaswa ikajenge Barabara,ikanunue madawa na wananchi tupate maji,eti ndio inakwenda kugharamia matumbo ya watu kujineemesha!Kwani Waziri wa Fedha Mwigulu si alisema hatutakuja kufuatwa nyumbani kulipa deni, sasa hiyo hofu yako inatoka wapi hata ikiwa Trilioni 10!!! Mbona logic zetu zinagubikwa na uchama!
Kwahyo mtoa mada na hangaya ni clowns ?Ndiyo maana inahamasishwa hapa na amri jeshi mkuu wa nchi?[emoji1782][emoji1782][emoji1782]View attachment 2087982
Hiyo ni shida nyingine. Mtu anaweza toa rushwa ili apate tenda sababu competition ni kubwa, lakini akatoa huduma nzuri. Mtu anaweza kuwa na sifa zote za kuajiriwa lakini akatoa rushwa ili aajiriwe.Kuna kampuni ilipata tenda ya kuleta mbolea inchini..jamaa walihonga sana kupata huo mchongo..by the way..ndo ilivyo...huwez pata tenda kubwa za mabilion kizembe zembe serikalin..ni kawaida kama ilivyo kawaida kumhonga askar wa barabaran..
Okay..to the point
Jamaa wakahonga wazil kama 2bil..na wengne huku milion mia mia zikatembea sana..jamaa wakapata tenda karibia mbolea ya 20bil....jamaa walivyo washenz wakatoa mbolea wap sjui ime expire wakaweka mifuko mipya na nembo mpya..ikaingizwa nchini...wakulima ni vilio tuu..ile mbolea ilikua inaunguza mazao balaa. Hasara kubwa kwa taifa halaf wew unasema nin...kama hujui mambo usiropoke...sasa hyo ni mbolea...bado madawa...sukar...etc..tunakula vtu vya hovyo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Rais wa nchi ambae anahamasisha ufisadi kwenye Serikali yake tena live kupitia TV ya Taifa, unaweza kumpa sifa nyingine tofauti na kuwa clown?
Mmh [emoji848][emoji848]Sasa Rais wa nchi ambae anahamasisha ufisadi kwenye Serikali yake tena live kupitia TV ya Taifa, unaweza kumpa sifa nyingine tofauti na kuwa clown?
Nilimsikia M7 akiliongelea hilo, walipokuwa wanalalamika watumishi wa umma kuishi maisha nje ya uwezo wao, alisema kama wangekuwa wanapeleka na kufungua miradi nje tungeshugulika nao,lakini kwa kuwa wanatumia humu humu na ndugu zao hakuna shidaTunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.
Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.
Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.
Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
Ndiyo matatizo ya kuamisha theories za uchumi kwenda kwenye practice katika mazingira yasiyo. Theory ni muhitasari wa tena kiduchu kabisa wa hali halisi. Mleta mada kabeba theory kama ilivyo na kuibwaga hapa. Wachumi achananeni na mambo yenu ya kubishana....Leteni suluhu zinazoeleweka na zina manufaa kwa jamii nzima.Siku ndugu yako atakapokosa huduma hospitali na kufariki, uje utupe update kwenye huu uzi.
Ingefaa kama ungetupa kwanza maana ya neno "rushwa" kutokana na ufahamu wako, ndipo tuweze kuelewa undani wa hoja yako juu ya athari zake za kiuchumi na kijamii.Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.
Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.
Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.
Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
Hicho ni kitu kibaya, lakini kilichopo ni hizo hela zilizoliwa wanaenda kutumia kujenga majumba, kufungua biashara, kujenga viwanda, mashamba nk, nk. Mwisho wa siku unakuta athari kwenye uchumi zipo, lakini siyo za maana.Ukichukua rushwa kubwa- watoto wakakosa elimu, wagonjwa wakakosa huduma za afya wakafa, ujenzi wa barabara ukafanyika below standard, hiyo haina madhara kiuchumi?
1, Tuchukue mfano mmoja wa rushwa kwenye miundombinu ya barabara- barabara mbovu zinasababisha:
Mifano kama hii inaweza kutolewa kwa sekta nyinginezo muhimu kama elimu:
- Pembejeo za kilimo sizifike kwa muda na zifike kwa gharama ya juu- hii husababisha gharama za uzalishaji kuongezeka au pia uzalishaji kushuka
- Usafirishaji wa mazao toka vijijini kwenda kwenye masoko huwa mgumu- hivyo bidhaa kupanda bei, kuongeza inflation n.k
- Kilimo kinakuwa hakivutii tena kama mwajiri wa vijana
- Uchumi wa nchi unadidimia
Yote hayani majanga makubwa kwa taifa.
- Rushwa ya ngono kwenye elimu
- Rushwa ya mitihani
Recipient wengi wa fedha za rushwa wanajenga majengo yao na familia zao, wananunua magari ya gharama kwa ajili ya familia zao na vimada wao. Rushwa haiwezi kamwe kuendeleza nchi