Rushwa haina madhara yoyote ya maana kwa maendeleo ya nchi

Rushwa haina madhara yoyote ya maana kwa maendeleo ya nchi

Mfano wa hizo nchi zilizoendelea zikiwa na rasilimali nyingi ni pamoja na Russia, , Mexico, Brazil, India, Uturuki, Azerbaijan. Lakini pia hizi nchi zimeendelea zikiwa na viwango vikubwa sana vya rushwa.
Mbona hujataja Congo?Sudan?
 
Kwa nini Russia, Uturuki na Italia zimeendelea sana pamoja na kiwango kikubwa cha ufisadi katika hizo nchi?
Top 10 ya nchi ambazo Zina viwango vidogo vya rushwa ni nchi zilizoendelea sana,ila top 10 ya nchi zenye viwango vikubwa vya rushwa ni nchi masikini(Tena Zina rasilimali)!
 
Rushwa ni nzuri ukiwa Tajiri ila ukiwa masikini ni balaa zito!

Rushwa huwapa fursa wasio stahili na kuwanyima fursa wanaostahili sababu hawana pesa.
 
Mwanao utakapo mleta shuleni tutahitaji utupe rushwa ya laki tano ndipo tumpokee
Kupata nafasi ni bure ila kutatengenezwa ugumu tu ilimradi uhonge kiasi flani ndio upewe hio nafasi!
 
Kokote kule. Kisheria huwezi kutokap nchini na 10k usd bila kibali.
Sasa kama wanafanya hivyo kinyume na sheria si rushwa hiyo ndugu! Kasome vizuri uelewe rushwa ni nini, ukielewa nadhani utautafakari upya uzi wako
 
Top 10 ya nchi ambazo Zina viwango vidogo vya rushwa ni nchi zilizoendelea sana,ila top 10 ya nchi zenye viwango vikubwa vya rushwa ni nchi masikini(Tena Zina rasilimali)!
Top 10 ya nchi zenye viwango vidogo vya rushwa ni nchi zenye baridi sana, ni nchi ambazo wanawake wengi ni viongozi katika serikali na sekta binafsi, ni nchi ambazo zina kiwango kidogo sana cha watu wenye dini....
Correlation sio sawa na causation.
 
Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.

Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.

Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.

Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.

Duh!
Ninavyoelewa ni hivi; A akipokea rushwa ya fedha kutoka B ili atoe upendeleo fulani vifuatavyo vinatokea.

1. Upokeaaji wa fedha hizo HAULETI maendeleo kwenye nchi, kwakua ilitakiwa A afanye KAZI fulani (e.g kulima shamba) ili aweze lipwa hizo fedha, sasa A hajafanya hiyo kazi lakini bado amepata fedha.

2. Upendeleo alioupata B unaleta ukosefu wa HAKI.

3. A akiitumia hiyo fedha ya rushwa kulipia shughuli hapa nchini, NDIO hiyo unayoongelea kuwa malipo atakyo yafanya yatakua ni kwa ajili ya KAZI fulani (Maendeleo).

Wewe umezungumzia namba 3 tu. Vipi hizo 1. na 2. ?
 
Duuuh,kweli akili zetu zimechoka!Sioni shida kama mkibariki na wizi,kwamba ukimuona tajiri,mvamie muibie then nunua boda boda mpe nduguyo,utakuwa umetengeneza ajira!!!
Nikuleleze tu,ikifika huko kwamba kila mtu apige basi hata miradi ya maendeleo haitamalizika!Fikiri mradi labda wa maji wa Bilioni 1,kuanzia Waziri mpaka mtendaji mdogo idara ya maji alijinyofolea kutabaki Nini?Acheni kushabikia rushwa na ufisadi!
Miradi ya maendeleo ni Kwass ajili ya nani? Si Mwananchi! Na ajira ilitolewa na Trafiki ni kwa ajili ya nani? Si Mwananchi! Tena Trafiki Anatol ajira papo kwa hapo tena inakuwa endelevu kuliko hiyo miradi ya maendeleo isiyo na tja na Sio endelevu! @ red Gant ana akili saaaana
 
Huwezi

kuikwepa na ndio maana tunaiita adui wa haki
Nadhani binadamu ndo tumekuwa maadui wa haki ndiyo maana inabidi rushwa itumike kuipata au kuizuia haki!
Rushwa ipo na itaendelea kuwepo. Ni sehemu y uchumi wa kisasa.

NB: There is a very thin line between what is and what isn't corruption!
Mengi tunayofanya kwenye utamaduni wetu ni corruption! Na yamekuwa yakitusaidia sana!
 
Nadhani binadamu ndo tumekuwa maadui wa haki ndiyo maana inabidi rushwa itumike kuipata au kuizuia haki!
Rushwa ipo na itaendelea kuwepo. Ni sehemu y uchumi wa kisasa.

NB: There is a very thin line between what is and what isn't corruption!
Mengi tunayofanya kwenye utamaduni wetu ni corruption!
Hahahahah kwa kulingana na uelewa wako lakini
 
Hakuna madhara ya maana kwenye uchumi wa nchi.
Rushwa INA madhara makubwa uchumi wa nchi chukulia waziri wa uchumi ,raisi nk wamepatikanao kwa rushwa wakati hawana uwrezo wa kuendesha uchumi wa nchi unajua madhara kwenye uchumi wa nchi?

Ukapata gavana wa benki kuu aliyepatikana kwa kuhonga au kamishina TRA na watendaji wa taasisi kibao za kiuchumi wakapatikana kwa rushwa wakati uwezo wao zero unajua madhara yake?

Tenda kubwa zikatolewa kwa rushwa kwa wasio na uwezo za miundombinu nk unajua madhara yake kiuchumi?

Madhara ni makubwa mno
 
Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.

Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.

Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.

Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
Hiyo ndio grand corruption,kama pesa halali kwanini uzikimbize nje?na wewe ni mtumishi wa umma?rejea ishu ya Mzee wa vijisenti,walinunua jengo la ubalozi kwa kuweka Cha juu,nchi ikalipa zaidi,hicho Cha zaidi kikachukuliwa na watu binafsi,wakazificha nje ya nchi,hazipo Nchini,kuendeleza uchumi,hiyo Rushwa ina madhara makubwa sana kwa maisha ya wananchi,badala ya nchi kufanya miradi kwa pesa ndogo,bei za vitu,tender zinaongezwa maradufu,miradi inafanyiwa kwa gharama kubwa,harafu kwa ubora hafifu,nchi inabidi ilipe zaidi,Cha ziada kinaliwa,mradi badala ya kukaa miaka 20,,ndani ya miaka 5,mradi unachakaa,nchi inabidi itumie pesa Tena kuukarabati,badala hizo pesa kufanya maendeleo,zinatumika kufanya matengenezo kwenye mradi mpya,
Grand corruption,missapropriarition of public funds,land grabbing,theft of public money through tendering,
Zina madhara makubwa kwenye uchumi wa nchi,Soko la Karume limechomwa kufukuzwa wamachinga,Ili eneo apewe mwekezaji!!hiyo ni Rushwa,kama huoni madhara hapo kwa uchumi wa wafanyabiashara wadogo watskaofukuzwa!!!!!!?basi
 
Back
Top Bottom