Rushwa haina madhara yoyote ya maana kwa maendeleo ya nchi

Rushwa haina madhara yoyote ya maana kwa maendeleo ya nchi

Japan alitumia opportunity vizuri baada ya kuangushiwa nuclear bomb!Akanifaika na makubaliano yake na USA!
Sasa kama viongozi wa Japan wangekuwa na tamaa,wangeweza kupewa rushwa na kuingia makubaliano ya kimkataba ambayo hayana tija!
Ukiwa na maarifa na ukajaliwa rasilimali basi taifa litapiga hatua Kwa Kasi!Rushwa ni kikwazo kikubwa Cha maendeleo,na hoja yangu Iko hapo!
Japan, Israeli, Singapore, Switzerland, Korea na nchi nyingine nyingi zilizo na rasilimali kidogo sana zimeendelea kasi kwa sababu ya aina ya watu wake na vingozi smart, sio rasilimali nyingi.
 
Tatizo kubwa la mhimili wa mahakama kwa nchi nyingi za bara la Africa ni kuingiliwa na mhimili wa Executive/serikali sio rushwa ndio maana unaona hata kwenye nchi yenye kiwango kikubwa cha rushwa kama Kenya wawekezaji wanamiminika tu, sababu ni uhuru wa mhimili wa mahakama sio kwa sababu hakuna rushwa.
Na Kenya ina rushwa za hatari kuliko hata sisi. Wametuacha mbali sana kwa rushwa. Lakini kiuchumi. Wana GDP mia na kitu wakati sisi tunacheza na sabini.
Kwamba tukiruhusu rushwa na ufisadi basi taifa letu litawafikia hao Russia na Libya!!!
Wacha nicheke tu!
Angalia China,Wana Sheria Kali sana juu ya rushwa na ufisadi!Wananyongana kweli kweli,na taifa lao liko mbali kiuchumi!
Leo mtanzania anawaza kuhalallisha rushwa Ili maendeleo yapatikane,daaah nishushe aisee!🤣🤣🤣
Umaelewa vibaya, siyo kuruhusu rushwa na ufisadi, maana yake hakuna uhusiano wa rushwa na uchumi. Hao China pamoja na kunyongana lakini kwenye local goverments kuna rushwa za hatari. Na China wananyonga kwa sababu za kisiasa. Kwa jinsi rushwa na ufisadi ulivyokuwa, wananchi walikuwa wanakaribia kuingia mtaani kuangusha chama. Wananyonga ili raia waendelee kuwa na imani na chama.
 
Unachopinga ni kipi?At some point hata hueleweki!Japan imekuja kukua Kwa kasi kiteknolojia baada ya WW2!Japan na Israel ndio nchi ambazo kila mwaka zinapata fungu kutoka USA!
Turudi kwenye rushwa,nasema hivi rushwa ni adui wa maendeleo na ustawi uwa nchi!Ndipo hapo mada ilipo!
Huna taarifa sahihi, Japan ndio nchi iliyoikopesha USA pesa nyingi , Deni kubwa zaidi la nje la USA linatokana na Japan. Pia Japan ndilo taifa lenye deni dogo zaidi la nje, deni la serikali la Japan limetokana na mikopo ya ndani ya nchi kwa 90%.
 
Uchumi wa nchi unajengwa na wananchi... unadhani ni watu wangapi wenye sifa wanakosa fursa za kusaidia nchi kwasababu ya Rushwa.
Tusaidie ni viongozi wangapi au nani na nani Tanzania hawana sifa ya kuwa viongozi na ni viongozi?
 
Huna taarifa sahihi, Japan ndio nchi iliyoikopesha USA pesa nyingi , Deni kubwa zaidi la nje la USA linatokana na Japan. Pia Japan ndilo taifa lenye deni dogo zaidi la nje, deni la serikali la Japan limetokana na mikopo ya ndani ya nchi kwa 90%
Sijazungumzia deni,imezungumzia mgawo ambao Japan ananufaika kutoka Kwa USA kutokana na makubaliano baada ya WW2!
Naona hata hoja imeshahama,hoja ni rushwa na uhusiano wake na maendeleo ya nchi!
 
Japan, Israeli, Singapore, Switzerland, Korea na nchi nyingine nyingi zilizo na rasilimali kidogo sana zimeendelea kasi kwa sababu ya aina ya watu wake na vingozi smart, sio rasilimali nyingi.
Na Kuna nchi zimeendelea kwasababu ya rasilimali zao nyingi!Sasa imagine ukiwa na viongozi imara wasiokula rushwa na ufisadi na ukawa na rasilimali!
 
Haya ni mambo yanatokea, na si mazuri. Lakini kwenye level za macroeconomics hayana madhara yoyote ya maana. Tena yanasaidia kuongeza mzunguko. Kipindi cha JK rushwa na ufisadi vilishamiri, lakini pia shughuli za kiuchumi zilipamba moto.
Koo unataka maisha ya kuambiana unajua mimi ni nani??? .... Ilikuaga balaaa
 
Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.

Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.

Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.

Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
Kumbe na wewe ni hamnazo aiseee🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Sijazungumzia deni,imezungumzia mgawo ambao Japan ananufaika kutoka Kwa USA kutokana na makubaliano baada ya WW2!
Naona hata hoja imeshahama,hoja ni rushwa na uhusiano wake na maendeleo ya nchi!
Hakuna mgawo wowote Japan inaopata kutoka USA. Kuna makubalianao ya kibiashara waliyo nayo kama waliyo nayo sehemu nyingine nyingi duniani ikiwemo na Africa Mashariki. Makubaliano mengine iliyo nayo Japan na USA ni ya kiusalama, hakuna mgawo, ni nipe nikupe. 'win-win' relationship.
 
Tunapiga vita rushwa hadi tumeiundia taasisi. Na wengine wanasema nchi za Africa haziendelei sababu ya rushwa. Hili suala limefanyiwa utafiti na limeonekana halina ukweli. Imeonekana kuwa mtu anapokula rushwa na kuwekeza kwenye uchumi huo huo kunakuwa hakuna madhara yoyote ya maana kwenye uchumi.

Tatizo kubwa kwenye uchumi wa Africa ni utoroshwaji wa fedha. Viongozi wengi wa Africa wamekuwa wakiiba pesa na kwenda kuwekeza huko Ulaya au kuzitunza mabenki ya nje. Hapo wanaenda kukuza uchumi wa nchi hizo na kudhoofisha huku. Hili jambo linaathari kubwa sana kwa uchumi kuliko rushwa.

Matajiri wakubwa nao wamekuwa wakihamisha fedha nyingi kwenda nje ya nchi. Mambi haya yanaathari kubwa kiuchumi kuliko rushwa.

Pengine sasa PCCB waongezewe nguvu kubwa ili waweze kupambana na utoroshaji wa pesa, huo ndio moja ya adui wakubwa wa maendeleo yetu.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Na Kuna nchi zimeendelea kwasababu ya rasilimali zao nyingi!Sasa imagine ukiwa na viongozi imara wasiokula rushwa na ufisadi na ukawa na rasilimali!
Mfano wa hizo nchi zilizoendelea zikiwa na rasilimali nyingi ni pamoja na Russia, , Mexico, Brazil, India, Uturuki, Azerbaijan. Lakini pia hizi nchi zimeendelea zikiwa na viwango vikubwa sana vya rushwa.
 
Hizo fedha wanazotorosha viongozi wa kiafrika ni Rushwa ambayo wanapewa na wawekezaji uchwara a.k.a wezi wa Rasilimi .

Sidhani kama umeelewa hata ulichokiandika maana umepofuswa na ulevi wa Rushwa tayari.
 
Na Kuna nchi zimeendelea kwasababu ya rasilimali zao nyingi!Sasa imagine ukiwa na viongozi imara wasiokula rushwa na ufisadi na ukawa na rasilimali!
Kwa nini Russia, Uturuki na Italia zimeendelea sana pamoja na kiwango kikubwa cha ufisadi katika hizo nchi?
 
[
Hiyo ni shida nyingine. Mtu anaweza toa rushwa ili apate tenda sababu competition ni kubwa, lakini akatoa huduma nzuri. Mtu anaweza kuwa na sifa zote za kuajiriwa lakini akatoa rushwa ili aajiriwe.

Hiyo ya kutoa huduma kihuni hata ambaye hajatoa rushwa anaweza kufanya. Rushwa ina madhara, haitakiwi kushabikiwa, lakini haina madhara ya maana kwenye uchumi wa nchi. Shida kubwa ni pale mla rushwa au fisadi anapotorosha hiyo pesa
Unaonaje pale haki yako inapocheleweshwa kwasababu hujatoa rushwa? Utafanyaje uzalishaji wa Mali kama kila muda unahangaikia kupata haki yako
 
Mfano wa hizo nchi zilizoendelea zikiwa na rasilimali nyingi ni pamoja na Russia, , Mexico, Brazil, India, Uturuki, Azerbaijan. Lakini pia hizi nchi zimeendelea zikiwa na viwango vikubwa sana vya rushwa.
Weka na nchi ambazo zzi
 
Back
Top Bottom