Kila idara imejaa upumbavu wa rushwa Kwa kwenda mbele! Shwaini wakubwa! Hawa maccm?Wala usitaje, ni nchi nzima! Walisharuhusiwa wale Kwa urefu wa kamba zao! Kudadeki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila idara imejaa upumbavu wa rushwa Kwa kwenda mbele! Shwaini wakubwa! Hawa maccm?Wala usitaje, ni nchi nzima! Walisharuhusiwa wale Kwa urefu wa kamba zao! Kudadeki!
CCM na rushwa ni kama pipa na mfuniko.Wakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? Mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Dawa akanunue kwenye pharmacy za staff nje ya geti
5. POLISI @trafiki - highway bagamoyo @msata kabuku SAME mwanga.
hivo mbona vinajulikana tangu enzi na enziWakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? Mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Dawa akanunue kwenye pharmacy za staff nje ya geti
5. POLISI @trafiki - highway bagamoyo @msata kabuku SAME mwanga.
Ili Sasa ni too much,rushwa imezidi kwa MAGU ilikuwa nafuu pamojja na mapungufu yakeMiaka yote rushwa ipo haijawahi kuisha whether JK au JPM rushwa ipogo. kasome ripoti za TAKUKURU kila mwaka ni mabilion wanaripoti yalitolewa kama rushwa haijalishi Rais alikua nani? Msiwe mnaropoka tu.
Tukisema tuna banana republic mnakataa!Wakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? Mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Dawa akanunue kwenye pharmacy za staff nje ya geti
5. POLISI @trafiki - highway bagamoyo @msata kabuku SAME mwanga.
Kwa kweli waliokaribu mkuu, iiiih , mkumbusheni hali ni tete MNO MNO ,!Ninaanza kujiaminisha kwamba zile enzi za uongozi legelege kama wakati wa Kikwete zimerudi kwa kishindo. Inaumiza!
Uliishawahi kutoa taarifa za kuombwa rushwa ukiwa na ushahidi kuntu kwenye vyombo husika na hatua hazikuchukuliwa?Wakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? Mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Dawa akanunue kwenye pharmacy za staff nje ya geti
5. POLISI @trafiki - highway bagamoyo @msata
6. Mortuary Muhimbili USER=111227]kabuku[/USER] SAME mwanga.
Ukifika huko kwenye vyombo husika kutoa taarifa nako unaombwa rushwa. Sasa hapo unafanyaje kweli?Uliishawahi kutoa taarifa za kuombwa rushwa ukiwa na ushahidi kuntu kwenye vyombo husika na hatua hazikuchukuliwa?