Rushwa imepeleka Kombe la Dunia Qatar, majuto yamebaki kwa mashabiki

Kombe la dunia Qatar nalikataa kwasababu limenisimamishia ligi yangu pendwa, lakini hizo sababu nyingine wanazotoa wazungu sizielewi.
 
wazungu wenyewe ndio wamekataa kombe ilo kuchezwa mwezi wa 6 Qatar kwasababu ya joto ,Qatar walisema kama ishu ni Joto kutakuwa na AC viwanja vyote mitaani adi barabarani[emoji23][emoji23] jamaa wana jeuri ya pesa ndio nchi iliyovunja record kwa maandalizi ya kombe la dunia dola billioni 200 sawa na tirioni 456 na zaidi za kitanzania yani bajeti yetu ya miaka karibu 9 watu wanatumia kuandalia kombe tu, na nasikia wameweka record nyingine ya kuweza kuweka screen yani smart TV yenye ubora wa 8K siyo 4k kama za uku kwetu yenye urefu wa mita 62 kwa ajili ya watu watakaokuwa nje ya uwanja kuweza kuangalia..
 
Ushoga sio concerned kwa mtu ambaye sio shoga, tatizo ni kukataza mpaka bia yaan unywe mafichoni
 
Platini na wenzie walikula rushwa ndefu sana
Ila Qatar walitaka sifa tu kushindana na Saudia na UAE kwa kila kitu
Hawakuwaza haya kuwa jamaa kwenye mpira ni utalii tosha na wanakuja kila aina ya watu

Pombe lazima, mashoga hawawezi kuwazuia kwani wamekubali wenyewe
Naona hawakuwazia haya wao waliona ni mpira tu na ijulikane duniani
 
Na wanasema kombe la Dunia likiisha wanaya dismantled viwanja na viti vyote kugawa nchi masikini

Hapo naona kuna mataifa wameisha weka order
 
Okay nimekusoma, nilihis ni mambo ya LGBT tu pekee......Ila hata hivo Qatar imewekaa bayana kuwa hawatabadili iman yao ya dini ndani hizo siku 28. Kwaio hao jamaa acha waongee tuu
David Beckham kapewa £10m na Qatar awe Ambassador wa World Cup
Sasa njoo usikie mashoga wanavyomponda leo
Eti David ainamishe kichwa chini kwa aibu
 
Ona haka nako,kanakurupuka tu kucomment ili nakenyewe kasisahaulike kua kamo humu JF,

Hivi umeisoma Thd na kuielewa kua inahusu nini?
Si ungereply hiyo thread yenyewe ndgu yang, mbona umeifata comment yangu??

Punguza mikurupuko mzee.
 
Kwahiyo kwakuwa Qatar inapinga mahusiano ya jinsia moja wazungu wanaona haikutakiwa kuwa mwenyeji wa World Cup?

Laana kabisa.
Wazungu ni washenzi sana, mbona Urusi hatukuwaona hawa mashoga na hawakuongea lolote?
 
Wajomba wana jeuri mnoo.

Sasa wao wananufaika nini mkuu, maana kusema pesa yao itarudi, sidhani kabisa maana naskia hadi pesa ya maandalizi toka fifa wameikataa.

Nikajua labda ni ushawaishi wa nchi za magharibi ili kupenyeza ajenda zao ila kwa hapo naanza kuamini ni ujeuri yao tu.
 
Haya yote yamekuja baada ya wajomba zake mama kukataa ushoga nchini mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…