Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28]Mbolea alete tutaitia kwapani ila kipigo kiko pale pale....lazima apigwe.
Kubwa jinga MK254 Majibu yake ndo hayaMbolea alete tutaitia kwapani ila kipigo kiko pale pale....lazima apigwe.
Ukimtafakari Putin amewatukana.Mbolea alete tutaitia kwapani ila kipigo kiko pale pale....lazima apigwe.
Km kwel vileUkimtafakari Putin amewatukana.
Kwa Nini hakupeleka kwingine?
Kwa Nini hakuwapa nafaka akawapa mbolea,ilihali anajua Hali ya hewa ya uko?
Nikukumbushe tu,,,mwanzoni mwa SMO hii,Kenya aliwanyooshea kidole na akawaeleza mpambane na njaa.
Mrusi yuko vitani baina yake na Ukraine. Lakini anapeleka mbolea ya bure nchini Kenya.(anatoa Free lunch). Hiko ni chambo au vipi. Leo anakupa mbolea bila malipo (anakulewesha/anakulegeza moyo); Kesho akikuomba asajili(mobilise & recruit) baadhi ya wananchi wako jeshini Urusi utamkatalia mtu uliyekula fadhili zake? Tuwe makini na vitu vya bure vina gharama yake.Wakati MK254 akimtukana na kumshambulia Rais Putin kila siku, yeye aamua kumjibu kwa vitendo kwa kupeleka mbolea bila malipo nchini Kenya na gharama za usafiri italipia Russia yenyewe ili kuwakomboa na njaa wakenya wanaoteseka na njaa kali.
Nasema hivi UUNGWANA NI VITENDO.
Russia to deliver free fertilizer to Africa – Foreign Ministry
Ukimtafakari Putin amewatukana.
Kwa Nini hakupeleka kwingine?
Kwa Nini hakuwapa nafaka akawapa mbolea,ilihali anajua Hali ya hewa ya uko?
Nikukumbushe tu,,,mwanzoni mwa SMO hii,Kenya aliwanyooshea kidole na akawaeleza mpambane na njaa.
Ukraine imeletaje ushoga Africa nijibu tafadhali?Wanao leta ushoga ndio wana haki?
Uwe una soma watu walicho andika na kufanya analysis b4 u comment?Ukraine imeletaje ushoga Africa nijibu tafadhali?
Ukraine imeletaje ushoga Africa nijibu tafadhali?
Umesema wametuletea ushoga sasa nieleze Ukraine imekuleteaje ushoga?Uwe una soma watu walicho andika na kufanya analysis b4 u comment?
Yeye na kundi lake ndio wafadhili wa ushoga. Vita haiondoi mipango yao toka miaka ya 2000. Hivyo anastahili adhabu.Umesema wametuletea ushoga sasa nieleze Ukraine imekuleteaje ushoga?
Kundi lake kivipi kwa Ukraine imekwisha jiunga na NATO?Yeye na kundi lake ndio wafadhili wa ushoga. Vita haiondoi mipango yao toka miaka ya 2000. Hivyo anastahili adhabu.
AahaaaaaWakati MK254 akimtukana na kumshambulia Rais Putin kila siku, yeye aamua kumjibu kwa vitendo kwa kupeleka mbolea bila malipo nchini Kenya na gharama za usafiri italipia Russia yenyewe ili kuwakomboa na njaa wakenya wanaoteseka na njaa kali.
Nasema hivi UUNGWANA NI VITENDO.
Russia to deliver free fertilizer to Africa – Foreign Ministry
Usi tusumbue. Na ww ni shoga?Kundi lake kivipi kwa Ukraine imekwisha jiunga na NATO?
Nitajie shirika hata moja linalodhaminiwa na UKRAINE hapa Africa kuleta ushogaYeye na kundi lake ndio wafadhili wa ushoga. Vita haiondoi mipango yao toka miaka ya 2000. Hivyo anastahili adhabu.
Una Elimu gani kufadhili hata utumie shirika? Ukraine yupo NATO? Mbona NATO ina mfadhili? Ww ukifadhili mtoto maskini huwa una shirika?Nitajie shirika hata moja linalodhaminiwa na UKRAINE hapa Africa kuleta ushoga
Baada mpigane msife kwa njaa mnapugania ujingaHatujali kutukanwa, alete mbolea bana ila apigwee....
Nasemaje nassmaje nasemaje!!! Apigweee!!!