Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality


sasa mi nadhan ww ndo unaufinyu wa uchambuzi umeeleza vitu vingi kwa upana lakini nadhan unashida kwene kutoa hitimisho

-hii vita inapiganwa Ukraine syo Russia ( nan anapoteza hapo[emoji3][emoji1787][emoji1787]usijitekenye na kucheka mwenyewe)

-Ukraine inapoteza raia na wanajeshi wakat russia inapoteza wanajeshi cyo raia ,raia wake wako salama russia ( Nani kapoteza hapo[emoji1787][emoji1787])

-Ukraine inaharibiwa miundo mbinu na sirahana na vifaa vya jeshi wakat russia inaharibiwa siraha/Vifaa vya jeshi pekee ( Nan anapoteza hapo[emoji1787][emoji1787])

-vita ikiisha russia watarudi kwao ambako hakujaharibiwa Ukraine watabaki kwenr magofu na nchi iloharibiwa (Nan kafeli hapo)

Ebu nieleze ulimaanisha nn??
 

hamna mtu anakera dunian kama anaeandika normal msg kwa herufi kubwa!!!… sijui ulisomq wap ww!!! [mention]Perfectz [/mention]
 
Tukuamini tu kwa haya maneno from 'a friend of yours',utakuwa haupo serious aisee 😀
 

tofautisha propaganda na uhalisia!! ingekua hivo wasingekua wanalia lia
 
Huo ndiyo ukweli wenyewe na siyo hizo propaganda za britanicca kuwa eti Ukraine kakomboa miji. Unakomboa miji baada ya wanajeshi kuondoka na kuelekea mwingine!?? Uchambuzi mahaba huu.
Tunajua mmekuwa dissapointed sana,hapo mwanzo mlikuwa mnatamba kutakuwa na show ya nguvu kutoka kwa Putin,sasa mnaanza kuleta bla blah za malengo kufanikiwa kwa maneno matupu.
 
Lakini proPutin hata kidogo jaribuni kuwa waungwana na wakweli.
Leo ni siku ya 37 Toka vita vianze Putin Bado hajauona mwezi kuingia Kyv🤔
Wenyewe wanakwambia malengo yamefanikiwa kwa asilimia mia moja 🤣
 

huyo jamaa si mchambuzi n shabiki anasikiliza western midia af anakuja kutapika hapa taarifa yenye ulalo wa upande mmoja
 
Siko CNN wala na sijAweza kubase Huko Nina vyanzo sahihi kutoka field na ukitaka nianze kuweka habari ambazo naweka sasa hivi Alafu CNN na hao wengine RT wanakuja kuzitangaza Baada ya Lisaa?

unyeeee[emoji3][emoji3]

ww wakusema russia wanaloose wako kwene foreign land ambayo inapoteza kila kitu[emoji3]
 
Unataka kufail Mkuu,inakuwaje huwezi ruhusu masikio yako yapokee kile usichopenda kukisikia pia ili upate kujifunza? Tuupuuze huu uzi halafu tusome nini,basi tuletee uzi wako ili tupuuze huu🙂
Hapana MKUU maoni yangu si sheria kwamba nilazima yafuatwe
 
Ukienda facebook kwa yericko nyerere kashapoteza legacy yake kisa urusi ,haaminiki tena watu wanamponda balaa,alikuwa anajiita mtetea uhuru kumbe wapi sijui kisa alisoma urusi
huyu hapa [emoji28]
 
Sasa unakereka nini medula yako ina defects.Nyie ndio mkisikia honi ya gari barabarani mnarukaruka hovyo.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app

Nashukuru ujumbe umekufikia na hiyo tabia umeiacha!! nilitegemea mabadiliko siwezi kuanza kujibu hiizi taarabu cha msingi saa izi unatumia herufi ndogo
 
nyie ndo mnafanya wizara ya elimu kuonekana haitoi elimu bora kumbe tu mwenye shule ulikimbia
 
Mabeberu endeleeni kujifariji, ila cha moto mnakipata.

Hakuna kiongozi smart kama Putin zama hizi. Na jamaa ni immortal
Mara nying waga nasema kila mtu anajiona smart kurko kila mtu duniani apa, ata kichaa hujiona smart sanaa, wewe pia nahisi
Putin angekuwa smart sana unavyosemea anamaliza pambano mapema ka alivyohisi
Angemaliza ndani ya wiki tu ka majasusi yake yalivyomwambia
 
Twende kazi...,

Kwanza kabisa umedai kuwa wewe ni muumini mkubwa wa facts kiasi cha kutuasa tusitegemee tu tunayoambiwa bali tutizame zaidi 'facts' kabla ya kuchukua maoni ya kukubali au kupinga upnde fulani. Lakini ndani ya bandiko lako umejaza madai (bila 'proofs) mengi, maoni, utabiri, 'accusations', mahaba, na hata pale ulipotoa vyanzo kuhusu baadhi ya taarifa zako kwenye uchambuzi wako huu umetumia vyanzo vyenye uwalakini na upendeleo wa upande fulani (Ukraine & West) kwa makusudi ukiwa unajua mt. Kutoa taarifa ya kutiliwa mshaka hali ya kiafya ya Putin kutoka Kyiev Independent!!!

Kadri tunavyozidi kwenda mbele tutakuonesha jinsi ulivyokosa uadilifu kwenye uchambuzi wako. Alafu kuna shida hapa. A fallacy of appealing to authority. I.e. Just because i do have a PhD in mechanical engineering it doesn't mean everything I say about mechanical engineering is true! Kuwepo Moscow au kuishi Moscow hakufanyi yale (yote) unayoyasema kuhusu Moscow kuwa ndio ya kweli zaidi.

1. Ijapokuwa haujaonesha kwa vyanzo vya uhakika zaidi i.e. MoD of RF idadi kamili na rank za hao majenerali waliouawa vitani Ukraine lakini kushinda/kupoteza kwenye uwanja wa medani hakupimwi kwa idadi ya mejenerali waliouawa bali kwa malengo ya vita kufikiwa/kutofikiwa. Na wauawe majenerali wote kama malengo ya vita/Operation yamefikiwa ni ushindi. Kuna taarifa zilotoka mwanzoni kuhusu kuuawa kwa majenerali kadhaa wa RAF lkn baadae wameonekana wakiwa wazima kwa nyakati tofauti.

2. Kuisha kwa vitu supermarket pia sio namna ya kuonesha/kuthibitisha ushindi vitani. Na juzi tuliona juzi mahojiano ya DW swahili na mtanzania anayeishi Moscow na alichokisema kuhjsu athari za vita hapo Moscow ni tofauti na ulichokisema hapa. Unataka kusema DW walituongopea kwenye yale mahojiano!? Watu 1200 kwenye taifa la watu 140+m ni asilimia ngapi!? Kama watu 1200 tu ndio wanaopinga operation ya kijeshi ya nchi yao Ukr ni dhahiri watu waliobaki 99.9% wameridhia operation hiyo au simply they don't care. Either way hiyo namba ni tone kwenye bahari. Hata wakti USA wanavamia Iraq wapo wamarekani waliopinga. FYI baada ya kutangazwa kwa Op hiyo asilimia za viwango vya kukubalika kwa Putin vimepanda kutoka 60% mpk 80% sasa hivi, unapata picha najribu kusema nini!?
Wanajeshi zaidi ya 7000 wa Urusi wameuawa na ukasema hiyo ndio namba sahihi! Kwa mujibu wa nani!? Au wewe ndio ulikuwa unahesabu wanajeshi wa Urusi waliokuwa wanadondoka vitani!? Vyanzo kutoka UKr vinasema ni zaidi ya 15000, Urusi kupitia MoD wamesema ni wanajeshi wao 1300 tu waliouawa. Sasa Hao 7000 wewe umetoa wapi!? Hata kama UKr na Urusi hawawezi kuaminika kuhusu taarifa za casualties sio sasa ndio mtu ujitungie tu, eti 7000 Loh!

3. India & China
Kwanza Russia hawahitaji hao wawe upande wake ili ashinde vita dhidi ya UKr. Lakini Wakiwa neutral (kama walivyo sasa hivi) ni faida sana kwa Urusi. Umekuja na data za biashara baina ya mataifa hayo na marekani lakini umesahau kwamba biashara kubwa baina ya Russia na hizo nchi ni energy. Laiti kama hao wawili wangesusua energy za Russia ingekuwa na impact kubwa sana kwake na West/US walitaka wazisusie (ref statment ya jen Psaki) lkn imeshindikana. India bado anaendelea kununua mafuta ya urusi na China pia gesi.

India
Ukiachilia mbali faida wanayopata kwa US fuatilia na faida wanayoipata kwa urusi. Trade partnership sio kila kitu. India anategemea 85% ya oil yake frm imports na uchumi wake utakuwa katika hali ngumu endapo bei (ya crude oil) itabaki juu ya 80Usd na ndio maana wameagiza zaidi ya mapip milioni 5 kutoka Urusi kwa bei rahisi. Pengine kukosekana kwa Mafuta au mafuta kupanda kutakuwa na impact kwenye hiyo biashara anayofanya na USA. Pia India anamuhutaji Urusi kama mshirika wake security/kijeshi as New delhi relies heavily to Moscow on arms and ammunition dhidi ya mahasimu wake kwenye mipaka, China na Pakistani. Kumbuka US anatoa msaada wa kijeshi mkubwa sana kwa pakistani. Kama India atachagua trade partner (US) wke au security ally (Russia) wanajua wenyewe, usiwatabirie.
Ila Mpaka sasa India ameact in favour of Moscow a. Anaendelea kununua mafuta ya Urusi na hajamuwekea vikwazo b. Hajalaani uvamizi wa Urusi UKr c. Hajapiga kura dhidi ya Urusi UN (abstain).

China
Kusema China na america sio mahasimu ni kichekesho unless utuoneshe kivipi hasa na sio kwa conspiracy theory-like arguments kama ulizotoa. Ni ngumu kuamini kwa position ya US kwenye suala la Taiwan na Hong kong eti awe rafiki na China. kwenye list ya allies ya Us, China ipo!?? Njoo kwenye suala la Corona, Huawei, TikTok, biolabs za US huko UKr etc. Umeziona kauli za msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa China? huo urafiki wa china na US unaupatia wapi!? China na US ni washirika wa kibiashara nothing more. Na kila mtu anamhitaji mwenzie sio kwamba China ndio anamhutaji zaidi US. Unaposema US kaitengeneza china nakushangaa hata kama So what!? Mbona yeye US alitengenezwa na Uingereza!? Kama China ataichagua US au Urusi, wanajua wenyewe usiwatabirie. Ila mpma sasa China wameact in favour of Moscow a. Anaendelea kununua bidhaa za urusi kama gesi b. Hajaungana na West kwenye vikwazo dhidi ya Urusi c. Ana msimamo unaofanana na wa Urusi kuhusu biolabs za Us zilizopo UKr d. Hajalaani uvamizi wa Urusi Ukr kwanza amesema US/NATO ndio chanzo e. Hajapiga kura dhidi ya urusi UN. hayo yote kayafanya akiwa anajua kuwa biashara kubwa sana ya dola b330+ na US inaweza kuwa at stake.

Kuhusu ulipaji wa gesi by ruble tutakuja hapa by the end of the month tukiwa na update zaidi kwa sababu malipo ya gesi yanakuwa dues aftr one month.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
britanicca siku nyingine ukipandisha Uzi kama huu usisahau kunitag...
Hongera Sana Kwa mada zako zenye Akili Sisi wachache tunaokujua Toka miaka mingi hapa jamiiforum hatuna mashaka na mada zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…