Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi kuona mtu aliyesoma Urusi ana akili?Ukienda facebook kwa yericko nyerere kashapoteza legacy yake kisa urusi ,haaminiki tena watu wanamponda balaa,alikuwa anajiita mtetea uhuru kumbe wapi sijui kisa alisoma urusi
safi kabisa uzi uendelee..
Facebook nshatoka Kitambo sana Yericko nacho Muheshimu akishawapa matango Pori yake wala haji kujibu Kama alivyodanganya Umma eti Putin kaishi Bagamoyo HahaUkienda facebook kwa yericko nyerere kashapoteza legacy yake kisa urusi ,haaminiki tena watu wanamponda balaa,alikuwa anajiita mtetea uhuru kumbe wapi sijui kisa alisoma urusi
Mkuu, kuna sehemu umedokeza kuwa Abrahamovich alipewa sumu kule Belarus. Je ktk majadiliano yale yeye yuko upande gani, hata asumishwe na wa Russia.Uzi unaendelea
Alipewa na warusi japo haijajulikana whyMkuu, kuna sehemu umedokeza kuwa Abrahamovich alipewa sumu kule Belarus. Je ktk majadiliano yale yeye yuko upande gani, hata asumishwe na wa Russia.
Leta facts kuniprove wrong mleta mada sio kejeliUzi wa ovyo kuwahi kutokea.
Ila sishangai leo ni siku yenu. Mjinafasi hadi saa sitt usiku.
Matusi sio mazuri, mwenzako kaweka mawazo yake kama una yakwako leta wengine tunapenda kusema analysed info kama uzi umekuzidi soma tu upite uende zakoOna hii ng'ombe ya America 😆😆
Umefanya analysis kama mtoto wa chekechea, leta facts ambazo ni well balanced kuprove wrong, harafu unapaswa kujua propaganda ni silaha ya ushindi ndani na nje ya vita.ukifikiria nje ya box utagundua huu uzi wa huyu BRITANICCA ni moja ya mikakati ya Propaganda mfu za kudanganya dunia.
Amekuja na kisingizio cha Uchambuzi lakini uhalisia ni uzi wa PROPAGANDA MFU DHIDI YA RUSSIA. Ni Uzi maalum wa kuichafua Russia.
Na hii sio hapa tu ni Dunia nzima kuna watu wamepewa hii kaz. Fun enough na Moderator kampa Uzi ujitegemee wakati nyingi sana zinazo balance amekuwa akiziunga mwenye uzi wa Mwanzo.
Hebu mtu alete Uzi kama huu unao propagate negatively issue za West/NATO kama utaachwa ujitegemee.
SawasawaUkraine ana 72Trilions za Kuijenga nchi yake Upya ziko mkononi kwa Kutoka America Na washirika , alafu sehemu Ilo vanima Ukraine haifikii hata Nusu Ya miundombinu Ya Ukraine Majimbo yaliyo athirika Sana ni Yale Ya Mauripolo, Summy , Kharkiv Na Iripina Na Bucha Pia Na Viwanda tu Vya ndege Na Kambi za jeshi, Ukraine kapoteza kwa miundombinu sawa ila siyo Kwamba hatajenga,
Jana Zelensky katangaza kwa kila mu Ukriane alopatwa Na Janga watalipwa ndani Ya miezi miwili wajiandae Baada Ya Vita,
Kapoteza ndege Yao Ya Mirya Antonov ndo suala wanaloona ni pigo kubwa Sana
Mkuu tuko pamoja..wabishi sana hao.Mkuu bahati nzuri Technology ni nzuri sana. Kuna miezi kadhaa utakimbia comments Zako hapa ,
Ndio c kashinda na njaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] Eti kashinda? Watu wanateka majimbo huko na miji kugeuzwa majagwa unakuja hapa na uharo wako eti Ukraine kashinda [emoji16]
Tatizo huyo Britannica Mwenyewe facts zake haziko balanced , hoja zake kazipamba kuwafurahisha Pro NATO. Hivyo Msichukie wengine tunapokosoa.Umefanya analysis kama mtoto wa chekechea, leta facts ambazo ni well balanced kuprove wrong, harafu unapaswa kujua propaganda ni silaha ya ushindi ndani na nje ya vita.
Hamchoki tu kutoa deadline? Nilidhani baada ya funzo la 'special operation ya 72hrs' kufail mgekuwa mmejifunza kitu.Haya leo ni Jumapili kuna nini cha ajabu kimetokea tangu Friday saa sita usiku zaidi ya majeshi ya Russia kuzidi kurudishwa nyuma.Uzi wa ovyo kuwahi kutokea.
Ila sishangai leo ni siku yenu. Mjinafasi hadi saa sitt usiku.
🤣🤣🤣🤣🤣 Utazani wao wanapigana, Kila siku deadline inaongezeka mudaHamchoki tu kutoa deadline? Nilidhani baada ya funzo la 'special operation ya 72hrs' kufail mgekuwa mmejifunza kitu.Haya leo ni Jumapili kuna nini cha ajabu kimetokea tangu Friday saa sita usiku zaidi ya majeshi ya Russia kuzidi kurudishwa nyuma.
Unaonaje ukiviweka hapa hivyo vyanzo vyako vya uhakika? Yani unapinga kwa maneno matupu na unataka tukuaminiUlaya wana msiba mkubwa mpaka sasa. Achana na CNN na BBC, tafuta vyanzo vya uhakika
Unataka kufail Mkuu,inakuwaje huwezi ruhusu masikio yako yapokee kile usichopenda kukisikia pia ili upate kujifunza? Tuupuuze huu uzi halafu tusome nini,basi tuletee uzi wako ili tupuuze huu🙂Huu uzi wakupuuzwa kabisaaa
Lakini Kremlin ilisema hii ni 'special operation' ya muda mfupi tu,au kwa sasa na wao wanakiri hii ni Total War?Russia mnahisi amepoteza sababu mnamatarajio kwamba faster tu kamaliza mchezo...
Vita ya faster duniani ni moja tu, kati ya Muingereza na Mzanzibari...
Hizi sasa porojo,watu wanarudisha nyuma majeshi baada ya kuzidiwa wewe una sugarcoat kukubaliwa masharti🙂Mpka sasa ukrein imekubali kufwata mapendekezo yote ya russia ikiwa ni kutojiunga na nato na hicho hasa ndicho russia walikuwa wanakitaka,[emoji635]