Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Ukienda facebook kwa yericko nyerere kashapoteza legacy yake kisa urusi ,haaminiki tena watu wanamponda balaa,alikuwa anajiita mtetea uhuru kumbe wapi sijui kisa alisoma urusi
 
Ukienda facebook kwa yericko nyerere kashapoteza legacy yake kisa urusi ,haaminiki tena watu wanamponda balaa,alikuwa anajiita mtetea uhuru kumbe wapi sijui kisa alisoma urusi
Facebook nshatoka Kitambo sana Yericko nacho Muheshimu akishawapa matango Pori yake wala haji kujibu Kama alivyodanganya Umma eti Putin kaishi Bagamoyo Haha
 
Mkuu, kuna sehemu umedokeza kuwa Abrahamovich alipewa sumu kule Belarus. Je ktk majadiliano yale yeye yuko upande gani, hata asumishwe na wa Russia.
Alipewa na warusi japo haijajulikana why
 
ukifikiria nje ya box utagundua huu uzi wa huyu BRITANICCA ni moja ya mikakati ya Propaganda mfu za kudanganya dunia.
Amekuja na kisingizio cha Uchambuzi lakini uhalisia ni uzi wa PROPAGANDA MFU DHIDI YA RUSSIA. Ni Uzi maalum wa kuichafua Russia.
Na hii sio hapa tu ni Dunia nzima kuna watu wamepewa hii kaz. Fun enough na Moderator kampa Uzi ujitegemee wakati nyingi sana zinazo balance amekuwa akiziunga mwenye uzi wa Mwanzo.

Hebu mtu alete Uzi kama huu unao propagate negatively issue za West/NATO kama utaachwa ujitegemee.
Umefanya analysis kama mtoto wa chekechea, leta facts ambazo ni well balanced kuprove wrong, harafu unapaswa kujua propaganda ni silaha ya ushindi ndani na nje ya vita.
 
Ukraine ana 72Trilions za Kuijenga nchi yake Upya ziko mkononi kwa Kutoka America Na washirika , alafu sehemu Ilo vanima Ukraine haifikii hata Nusu Ya miundombinu Ya Ukraine Majimbo yaliyo athirika Sana ni Yale Ya Mauripolo, Summy , Kharkiv Na Iripina Na Bucha Pia Na Viwanda tu Vya ndege Na Kambi za jeshi, Ukraine kapoteza kwa miundombinu sawa ila siyo Kwamba hatajenga,

Jana Zelensky katangaza kwa kila mu Ukriane alopatwa Na Janga watalipwa ndani Ya miezi miwili wajiandae Baada Ya Vita,

Kapoteza ndege Yao Ya Mirya Antonov ndo suala wanaloona ni pigo kubwa Sana
Sawasawa
 
Umefanya analysis kama mtoto wa chekechea, leta facts ambazo ni well balanced kuprove wrong, harafu unapaswa kujua propaganda ni silaha ya ushindi ndani na nje ya vita.
Tatizo huyo Britannica Mwenyewe facts zake haziko balanced , hoja zake kazipamba kuwafurahisha Pro NATO. Hivyo Msichukie wengine tunapokosoa.
 
Uzi wa ovyo kuwahi kutokea.

Ila sishangai leo ni siku yenu. Mjinafasi hadi saa sitt usiku.
Hamchoki tu kutoa deadline? Nilidhani baada ya funzo la 'special operation ya 72hrs' kufail mgekuwa mmejifunza kitu.Haya leo ni Jumapili kuna nini cha ajabu kimetokea tangu Friday saa sita usiku zaidi ya majeshi ya Russia kuzidi kurudishwa nyuma.
 
Hamchoki tu kutoa deadline? Nilidhani baada ya funzo la 'special operation ya 72hrs' kufail mgekuwa mmejifunza kitu.Haya leo ni Jumapili kuna nini cha ajabu kimetokea tangu Friday saa sita usiku zaidi ya majeshi ya Russia kuzidi kurudishwa nyuma.
🤣🤣🤣🤣🤣 Utazani wao wanapigana, Kila siku deadline inaongezeka muda
 
Ulaya wana msiba mkubwa mpaka sasa. Achana na CNN na BBC, tafuta vyanzo vya uhakika
Unaonaje ukiviweka hapa hivyo vyanzo vyako vya uhakika? Yani unapinga kwa maneno matupu na unataka tukuamini
 
Huu uzi wakupuuzwa kabisaaa
Unataka kufail Mkuu,inakuwaje huwezi ruhusu masikio yako yapokee kile usichopenda kukisikia pia ili upate kujifunza? Tuupuuze huu uzi halafu tusome nini,basi tuletee uzi wako ili tupuuze huu🙂
 
Russia mnahisi amepoteza sababu mnamatarajio kwamba faster tu kamaliza mchezo...

Vita ya faster duniani ni moja tu, kati ya Muingereza na Mzanzibari...
Lakini Kremlin ilisema hii ni 'special operation' ya muda mfupi tu,au kwa sasa na wao wanakiri hii ni Total War?
 
Mpka sasa ukrein imekubali kufwata mapendekezo yote ya russia ikiwa ni kutojiunga na nato na hicho hasa ndicho russia walikuwa wanakitaka,[emoji635]
Hizi sasa porojo,watu wanarudisha nyuma majeshi baada ya kuzidiwa wewe una sugarcoat kukubaliwa masharti🙂
 
Back
Top Bottom