Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niko Spain japo lolote laweza kutokea
Mkuu mimi nashabikia underdogs wote kwenye hii michuano..jana cavanni alifanya kweli,akanitolea ronaldo..ngoja na leo tuone
 
Mkuu mimi nashabikia underdogs wote kwenye hii michuano..jana cavanni alifanya kweli,akanitolea ronaldo..ngoja na leo tuone
Jana japo nilikuwa Portugal ila alipofungwa nilifurahi sana.

Leo pia japo nipo Spain akifungwa napo poa tu, maana nimeipa Belgium kipaumbele kwenye hii ndoo
 
Line up za timu zote mbili hizi hapa. Spain wamempunzisha maestro Iniesta na nafasi yake kapewa Koke. Asensio nae kaanza sambamba na golgota msumbufu Costa.
 
Safari hii hatupigi kelele, mambo ni kimya kimyaa.

Ndoo ni yetu.

Go England Gooooo!!
 
Yaani waespanyol wanataka kundaza mpira, angalia kikosi kina middle lukuki
 
Aisee.

Sina la kusema
licha ya umri wake kuwa ni mdogo uongozi wa monaco walimuamini na kumpa nafasi leo hii anazungumzwa zaidi yeye kuliko shujaa wake wa kila siku ambaye jana mpaka dakika 90 zinamaliza amepiga shoot target mbili.
ukiangalia hiki chumba chake kinaonyesha dhahiri uhalisia wa maisha aliyopitia, huku kwetu kuna watu walikutana na hali ngumu na baadae wakapata nafasi ya kutengeneza maisha yao ila mwisho wa siku waliamua kurudi nyumbani eti kwa sababu atakosa kupiga stori na rafiki yake kipenzi athuman iddi chuji.

 
Post yangu ya kwanza JF baada ya mwaka mmoja kupita!
I miss everything... especially marafiki zangu vipenzi na huku mpirani hahaaaaa.

Anyways,baada ya kipenzi changu Cr7 kutoka jana imebidi nichepuke kwa France na Croatia.
Hello JF [emoji1423]
 
Iwe alinacha Hemu amka uache kulala mchana angalia ndoto unazo ota sasa
 
Ni mzaliwa wa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…