Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Romelu Lukaku’s involvement for Belgium’s winner is world class. Didn’t touch the ball once but look at how he creates space for the first pass and sells the defender with a dummy for the second pass. My number 9. Jake. on Twitter
 
Fun Fact: Marouane Fellaini has now scored more career goals (81) than Danny Welbeck (80).

The https://jamii.app/JFUserGuide
 
Romelu Lukaku’s involvement for Belgium’s winner is world class. Didn’t touch the ball once but look at how he creates space for the first pass and sells the defender with a dummy for the second pass. My number 9. Jake. on Twitter
Huyu jamaa ni hatari aisee, kuna moja alizungukwa na mabeki 3 wa Japan ila aligeuka na mpira na kuupigia golini mwa Japan.
 
Yap kwa kombe La mwaka huu ni kweli,ila huyu Ubelgiji nimeshampunguzia maksi.Mjapan kamtoa Jasho mno
Usiwalaumu Ubelgiji, ile game plan ya Japan ya kukaba kila mpira na kutokuacha nafasi wakati huo huo wakiwa very comfortable on the ball ingeisumbua timu yoyote kwenye mashindano haya.
Wali 'raise' the game kiasi ambacho Ubelgiji walishindwa kuhimili.
Game yao (Belgium) na Brazil haitakuwa ngumu kama hii, hata kama watafungwa.
 
Pole Kaka ake ndio Soka lile.

Haya niambie umehamia timu gani sasa?
 
Wadada wengi mnaipenda Germany 😀😀😀

Argentina moja..

Argentina
Germany
Spain
France
Belgium
Hapa kwa mbaali Kaka una sehemu ya kushika.

Sababu Farance na Belgium si timu za mchezo. Mie nilikuwa Germany ila baada ya kutolewa nimehamia Belgium na France.

Hivyo kama jana nimelala kwa raha kabisa baada ya kumzamisha Mjapan.
 
Swiss ni timu bora, rekodi yao mechi za nyuma mpaka inafika hapa ni nzuri. Kundi hilo la pili wao ndio wapo juu ktk ranking za fifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…