Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waingereza huko bbc wako kwenye forum wakidai croatia wanamuhandle fresh kabisa, nawashangaa hawajacheza na colombia bado ila wanaona wameshapita.At last... bora leo nitalala usingizi jamani! Jana nilipata mang’amung’amu ya magoli ya Cavani hadi kunakucha [emoji23][emoji23][emoji23].
Nimefurahi zaidi kwa Croatia kushinda maana wangeshindwa leo lawama zote zingemuishia kipenzi changu Modric.
Naiona fainali ya Croatia na Mexico [emoji41]
hao jamaa siwapendi ngoja siku yao ifike.Waingereza huko bbc wako kwenye forum wakidai croatia wanamuhandle fresh kabisa, nawashangaa hawajacheza na colombia bado ila wanaona wameshapita.
Natamani wafungwe mapema zaidi.
Bingwa yupo nusu ya pili yaani kundi lenye uruguay, belgium, brazil, mexico na ufaransa. Si ajabu uingereza walijipanga wafungwe na ubelgiji ili wadondokee kundi la upande huu lenye colombia, croatia, spain, urusi, swiss, swiden. Kimuonekano ni njia rahisi ya kufika fainali.Denmark kiufundi wako vizuri zaidi, Kwa jinsi Croatia ilivyo na viungo bora vile sikutarajia,kama wangebanwa kiasi cha kushindwa kuonyesha mpira wao.
Sina uhakika na timu nyingeni ila nina uhakika, Uruguay anacheza fainali mwaka huu na kuna uwezekano akabeba ndoo
Nami nawasubiri kwa hamu zote siku yao ifike tena nitafurahi wakinyolewa na colombia.hao jamaa siwapendi ngoja siku yao ifike.
Bingwa mtetezi anayetokea ulaya.historia haidanganyi. Bingwa mtetezi anatoka mapema sana. Na ndivyo ilivyotokea.
ili kelele zisifike mbali.Nami nawasubiri kwa hamu zote siku yao ifike tena nitafurahi wakinyolewa na colombia.
Croatia nguvu ya SodaDenmark wamekufa kiume.
Croatia wamepita kwa mbinde, wajiandae na mechi ijayo hali itakuwa tete
Leo Croatia walipoteanaIlikuwa lazima tushinde japo wametuchelewesha hahaaaaa.
Ila hii ya leo haikuwa ile Croatia niliyoiona tokea mwanzo,wana kazi ya ziada ya kujipanga upya maana Warusi leo wametuonesha maajabu.
Sasa hivi naona kama vile Kombe litaenda ama Ufaransa, Ubelgiji.
mkuu edit hii kitu(A) In reality Kombe lipo hapa..
-Germany
-France
-Argentina
-Spain
(B) Strong competitors
-Russia(charity begins at home)
-Belgium
-Uruguay
-Colombia
-Portugal
-Brasil
(C)Unexpected poor performers
-England
-Croatia
-Poland
-MexicoT
(D)Tourist-Like teams
-All African teams
-Peru
-Saudi Arabia
-Denmark
-Sweden
-South Korea
-Panama
-Costa Rica
Nb: u can add more ....
wasijidanganyeBingwa yupo nusu ya pili yaani kundi lenye uruguay, belgium, brazil, mexico na ufaransa. Si ajabu uingereza walijipanga wafungwe na ubelgiji ili wadondokee kundi la upande huu lenye colombia, croatia, spain, urusi, swiss, swiden. Kimuonekano ni njia rahisi ya kufika fainali.
sioni mtu akizungumza kuhusu japani,Columbia, Mexico na mrusi mwenyewe watu mnatazama ukali wa kikosi na wachezaji wenye majina.Sasa hivi naona kama vile Kombe litaenda ama Ufaransa, Ubelgiji. Croatia na Sweden pia ziko karibukaribu. Asia, South na North America siyo strong sana. Bet yangu kubwa ni kwa Ufaransa, kwani ile forwad line yao ni kali sana ingawa defense yao ni legelege kidogo. Halafa bet yangu ya pili inakwenda Ubelgiji ka wao wanaonekana kuwa balanced sana kwani pale mbele Lukaku hana mchezo na kule nyuma ndiyo hivyo tena, siyo wabababishaji kabisa. Timu za Ufaranza na Ubelgigji ni watafuta magoli siyo waonyesa ball control kama ilivyokuwa kwa timu za Ureno na Uhispania. Urusi nayo siyo ya kubeza kwani nao wana kiu ya magoli huku ulinzi wao pia ukiwa siyo legelege ila naona kama hawana ubavu wa na Ufaransa au Ubelgiji. Kwango cha Russia ni level ya Croatia na Sweden, ila control yao siyo nzuri kama ile ya Croatia na Sweden.
Sikujua kama mgawanyiko huko hivi,Kwa namna hii nawapa nafasi Uruguay au Brazil (Ingawa Brazil hawaja onyesha cha ziada,naona kila mechi wanazidi kuimprove)Bingwa yupo nusu ya pili yaani kundi lenye uruguay, belgium, brazil, mexico na ufaransa. Si ajabu uingereza walijipanga wafungwe na ubelgiji ili wadondokee kundi la upande huu lenye colombia, croatia, spain, urusi, swiss, swiden. Kimuonekano ni njia rahisi ya kufika fainali.
Tuonane fainal(A) In reality Kombe lipo hapa..
-Germany
-France
-Argentina
-Spain
(B) Strong competitors
-Russia(charity begins at home)
-Belgium
-Uruguay
-Colombia
-Portugal
-Brasil
(C)Unexpected poor performers
-England
-Croatia
-Poland
-MexicoT
(D)Tourist-Like teams
-All African teams
-Peru
-Saudi Arabia
-Denmark
-Sweden
-South Korea
-Panama
-Costa Rica
Nb: u can add more ....