Rusumo: Mpaka pekee unaoweza kupitisha magendo yoyote hasa usiku

Rusumo: Mpaka pekee unaoweza kupitisha magendo yoyote hasa usiku

Wanafanya,bali ni uzembe wa hali ya juu unaofanyika pale.

Wenzetu pale upande wa Rwanda wapo makini na wanatimiza majukumu yao ipasavyo.
Ina maana hapo hawa wa kwetu wana tatizo kubwa la uzalendo.Wale wa Rwanda wanajitambua kuwa wapo pale kwa faida na usalama wa wananchi wao Rwanda.Ila sisi ukute watu wamewekana pale ki dili dili wala si kwa maslahi mapana ya nchi.Inasikitisha kama habari hii ni ya kweli.
 
Mpaka wa Tanzania na Rwanda upande wetu Tanzania ndio mpaka pekee unaoweza kupitisha magendo ya aina yoyote iwe kutokea Rwanda ama Congo DR.

Ndio mpaka unaolindwa kizembe kuliko huenda kuliko mipaka yote ya Tanzania!

Suma JKT eti ndio walinzi wakuu wa Exit gate letu pale Rusumo huku nyakati za usiku maafisa wa forodha na usalama wa taifa wakiwa ama baa wakilewa ama makwao wakikoroma.

Aibu zaidi ni pale exit gate letu kuelekea Rwanda ifikapo saa 5 usiku huwezi kukuta afisa wa forodha pale na ukiuliza unaambiwa ndiyo kawaida yao huwa wanaenda kulala hadi saa 10 alfajiri kesho yake jambo ambalo huwa linasababisha foleni ya maroli usiku.

Ajabu ukivuka upande wa Rwanda maafisa wao wote huwepo kwa saa 24 tena kamwe hukuti amesinzia hata kwa bahati mbaya!

Hii ni aibu kubwa kwa mamlaka za Tanzania.
Nenda kajaribu kupitisha ndio utaona, kama Rwanda hawalali, Tanzania yatapitaje? Rwanda wanapenda kukaa na mabunduki na uniform, Tanzania wanatumia staili nyingine ya kiulinzi
 
Ina maana hapo hawa wa kwetu wana tatizo kubwa la uzalendo.Wale wa Rwanda wanajitambua kuwa wapo pale kwa faida na usalama wa wananchi wao Rwanda.Ila sisi ukute watu wamewekana pale ki dili dili wala si kwa maslahi mapana ya nchi.Inasikitisha kama habari hii ni ya kweli.
Wa kwetu pale uzalendo kwa nchi ni zero.
 
Nenda kajaribu kupitisha ndio utaona, kama Rwanda hawalali, Tanzania yatapitaje? Rwanda wanapenda kukaa na mabunduki na uniform, Tanzania wanatumia staili nyingine ya kiulinzi
Mamia ya maroli yanapitisha simu,vitenge,maziwa,dhahabu na huenda hata siraha haramu hupitia hapo kwa uzembe wetu.

Kuhusu Wanyarwanda wengi kutorokea kwetu kupitia ndani ya maroli ndiyo usiseme!

Pori na hifadhi ya Burigi inateketezwa kwa mamia ya mkaa unaopelekwa huko Rwanda na watu wanapiga hela tu.

Suala la ukaguzi na ulinzi katika mageti yetu pale Rusumo ni zero kabisa!
 
Wanafanya,bali ni uzembe wa hali ya juu unaofanyika pale.

Wenzetu pale upande wa Rwanda wapo makini na wanatimiza majukumu yao ipasavyo.

ooooh shida ni wafanyakazi wazembe kutotimiza majukumu yao.... Hili ni shida kwa watanzania karibu wote "uzembe" na "uvivu" ni inborn inayohitaji mimi na wewe kuanzia kwenye ngazi ya familia tufundishe vijana kuwa hardworker.... Ulaya na America walivuka hizi hatua ndio maana tunawaona wako kwenye "lets the horse fly free" Tatizo hili lilianzia kwa babu zetu baada ya uhuru...
 
Mpaka wa Tanzania na Rwanda upande wetu Tanzania ndio mpaka pekee unaoweza kupitisha magendo ya aina yoyote iwe kutokea Rwanda ama Congo DR.

Ndio mpaka unaolindwa kizembe kuliko huenda kuliko mipaka yote ya Tanzania!

Suma JKT eti ndio walinzi wakuu wa Exit gate letu pale Rusumo huku nyakati za usiku maafisa wa forodha na usalama wa taifa wakiwa ama baa wakilewa ama makwao wakikoroma.

Aibu zaidi ni pale exit gate letu kuelekea Rwanda ifikapo saa 5 usiku huwezi kukuta afisa wa forodha pale na ukiuliza unaambiwa ndiyo kawaida yao huwa wanaenda kulala hadi saa 10 alfajiri kesho yake jambo ambalo huwa linasababisha foleni ya maroli usiku.

Ajabu ukivuka upande wa Rwanda maafisa wao wote huwepo kwa saa 24 tena kamwe hukuti amesinzia hata kwa bahati mbaya!

Hii ni aibu kubwa kwa mamlaka za Tanzania.
Tz ni shamba la Bibi..........
 
Back
Top Bottom