wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Zitakua zinaenda kwa M23 hizo.Kichekesho kingine ni Dawa za Alu za maleria hua zinapita pale kimagendo kwenda wapi vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitakua zinaenda kwa M23 hizo.Kichekesho kingine ni Dawa za Alu za maleria hua zinapita pale kimagendo kwenda wapi vile
Zitakua zinaenda kwa M23 hizo.
Andika Malaria kwenda no. 14467Kichekesho kingine hiki
Naona uko busy na spinning.Au ni mtumishi wa hapo mpakani?Kwa uongo uko vzr eti silaha na risasi unavusha tu Rwanda,juzi naona umeandika eti ulikua unawauzia M23 mabuti nikacheka Saana.
Yaani hao M23 wanaokua supported na serikali ya Rwanda/ jeshi Lao(RDF) liache kuwapa buti uje kua wewe mwananzengo ndio uwauzie mabuti [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Tuma salamu kwa watu watatu tafadhali.Naona uko busy na spinning.Au ni mtumishi wa hapo mpakani?
Unaitakatisha story mleta mada aonekane hana point
Mkuu hapo ndipo uwezo wako wa kujadili mada zenye manufaa kwa Taifa umefuka au unachangamsha kijiwe tu?
Habari imeshafika hiyo.JiandaeTuma salamu kwa watu watatu tafadhali.
Wanaumeeeeeee hatariiiiiiiiiiHabari imeshafika hiyo.Jiandae
Vipi hadi uhamiaji wanakuwa hawapo?Wanafanya,bali ni uzembe wa hali ya juu unaofanyika pale.
Wenzetu pale upande wa Rwanda wapo makini na wanatimiza majukumu yao ipasavyo.
😇😇😇😇😇Mpaka wa Tanzania na Rwanda upande wetu Tanzania ndio mpaka pekee unaoweza kupitisha magendo ya aina yoyote iwe kutokea Rwanda ama Congo DR.
Ndio mpaka unaolindwa kizembe kuliko huenda kuliko mipaka yote ya Tanzania!
Suma JKT eti ndio walinzi wakuu wa Exit gate letu pale Rusumo huku nyakati za usiku maafisa wa forodha na usalama wa taifa wakiwa ama baa wakilewa ama makwao wakikoroma.
Aibu zaidi ni pale exit gate letu kuelekea Rwanda ifikapo saa 5 usiku huwezi kukuta afisa wa forodha pale na ukiuliza unaambiwa ndiyo kawaida yao huwa wanaenda kulala hadi saa 10 alfajiri kesho yake jambo ambalo huwa linasababisha foleni ya maroli usiku.
Ajabu ukivuka upande wa Rwanda maafisa wao wote huwepo kwa saa 24 tena kamwe hukuti amesinzia hata kwa bahati mbaya!
Hii ni aibu kubwa kwa mamlaka za Tanzania.
KAGAME yuko vizuri. Sio hawa wanaobembeleza.Wanafanya,bali ni uzembe wa hali ya juu unaofanyika pale.
Wenzetu pale upande wa Rwanda wapo makini na wanatimiza majukumu yao ipasavyo.
Akijibu naomba unitagVipi hadi uhamiaji wanakuwa hawapo?
Yah unakaa kubishana na mdada jf ilhali mdada anakushinda hoja na ujasiri. Jipime jinsia kijana benNjoo tuishi wote
Huyo ni Chawa wa King Zumaridi! angoja teuzi za wakurugenzi wa miji na manispaa!Naona uko busy na spinning.Au ni mtumishi wa hapo mpakani?
Unaitakatisha story mleta mada aonekane hana point
Usiku ukitopea huwa wanaondoka na utagonga mlango wao hadi mikono itaumia ajabu uhamiaji wa Rwanda utawakuta macho kodo kabisa.Vipi hadi uhamiaji wanakuwa hawapo?