Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
- Thread starter
- #41
Motor kama kawaida wanafanya kaziFaranga elfu kumi mkuu au laki halafu vipi bodaboda sasa hivi wanaruhusiwa kufanya kazi ndani ya uzio wa mpaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Motor kama kawaida wanafanya kaziFaranga elfu kumi mkuu au laki halafu vipi bodaboda sasa hivi wanaruhusiwa kufanya kazi ndani ya uzio wa mpaka
Hasa za upande wa Tz zinaingia tu ndani ya uzioFaranga elfu kumi mkuu au laki halafu vipi bodaboda sasa hivi wanaruhusiwa kufanya kazi ndani ya uzio wa mpaka
Na ndiyo maana hatutafanikiwa kwa lolote daima.Hatujawahi kumaanisha katika jambo lolote
Umesema gharama ya vipim o ni elfu kumi ya Rwanda au sijakuelewaMotor kama kawaida wanafanya kazi
Siraha na Silaha ni tatizo kutamkaVIPI KUHUSU SIRAHA HARAMU MKUU?? NAYO SIO MAGENDO?? HUJUI KUWA ZILE NYINGI KUNA SIRAHA ZISIZO HALALI NYINGI MNO MITAANI?? HUJUI WANAWEZA ZIPENYEZA HUKU???
Kuwa mzalendoSo umeanzisha uzi ili kuwazibia ridhiki wenzio
Siyo kwa uchumi wa sasaKuwa mzalendo
huyu demu magumashi... magendo gani utakayoyatoa congo ama rwanda kuyaingiza tz.. hiyo boarder mizigo asilimia kubwa ama zote ni inayoenda huko..
VIPI KUHUSU SIRAHA HARAMU MKUU?? NAYO SIO MAGENDO?? HUJUI KUWA ZILE NYINGI KUNA SIRAHA ZISIZO HALALI NYINGI MNO MITAANI?? HUJUI WANAWEZA ZIPENYEZA HUKU???
Shusha mambo babuNimepitisha sana dhahabu ya congo pale, kahawa nimeipeleka Rwanda kutoka Burundi then unavushia Rusumo, simu kigali bei rahisi unavusha pale bila kodi yoyote, silaha na risasi zinavukia pale tena kule chini mtoni, kwa ufupi miaka 20 magendo nafanya na sijawahi kukamatwa boda yoyote ile tena kwa magufuli tulirudi nyuma lakini kwa sasa kazi inaendelea iwe kipodozi ngoma inogile, iwe kitenge cha congo unaingiza tu tani unazotaka mambo yanaenda kwa ufupi nchi imefunguliwa ngoja tufunguke nayo, wakisema wanalamba asali tunasema lazima tulambe wote kwani nini?
Shusha mambo babu
Nimepitisha sana dhahabu ya congo pale, kahawa nimeipeleka Rwanda kutoka Burundi then unavushia Rusumo, simu kigali bei rahisi unavusha pale bila kodi yoyote, silaha na risasi zinavukia pale tena kule chini mtoni, kwa ufupi miaka 20 magendo nafanya na sijawahi kukamatwa boda yoyote ile tena kwa magufuli tulirudi nyuma lakini kwa sasa kazi inaendelea iwe kipodozi ngoma inogile, iwe kitenge cha congo unaingiza tu tani unazotaka mambo yanaenda kwa ufupi nchi imefunguliwa ngoja tufunguke nayo, wakisema wanalamba asali tunasema lazima tulambe wote kwani nini?
silaha zipitie border.. !?? vichochoro vyote vya pori tu pori wapitishie nini sasa huko!?VIPI KUHUSU SIRAHA HARAMU MKUU?? NAYO SIO MAGENDO?? HUJUI KUWA ZILE NYINGI KUNA SIRAHA ZISIZO HALALI NYINGI MNO MITAANI?? HUJUI WANAWEZA ZIPENYEZA HUKU???
Kwa uongo uko vzr eti silaha na risasi unavusha tu Rwanda,juzi naona umeandika eti ulikua unawauzia M23 mabuti nikacheka Saana.
Yaani hao M23 wanaokua supported na serikali ya Rwanda/ jeshi Lao(RDF) liache kuwapa buti uje kua wewe mwananzengo ndio uwauzie mabuti [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1]Unaandika kuwasaidia wewe unaleta porojo, umetulia wapi sijui tungekuonesha wabeba mizigo kwa baiskeli pale wananvovusha magendo, au vijana wanaochenji pale dezi na wenzake sema tukuache na ujinga wako, haya chukua hii silaha inatoka pakistani, inashukia bandari ya mombasa, inapigwa kama ni risasi zinawekwa kwenye ndoo za mafuta na lebo kabisa halafu pale inapita kama mafuta ya kula hadi zinawafikia waasi na inaweza gari kupitia uganda au rwanda hadi m23 wanazipata iwe risasi au vinginevo wewe hujui lolote dogo tulia
[emoji1][emoji1][emoji1] kupata kichekesho hiki andika neno COMEDIAN kwenda no. 17899