Heaven kama heaven
JF-Expert Member
- Nov 27, 2021
- 453
- 788
Ina maana hapo hawa wa kwetu wana tatizo kubwa la uzalendo.Wale wa Rwanda wanajitambua kuwa wapo pale kwa faida na usalama wa wananchi wao Rwanda.Ila sisi ukute watu wamewekana pale ki dili dili wala si kwa maslahi mapana ya nchi.Inasikitisha kama habari hii ni ya kweli.Wanafanya,bali ni uzembe wa hali ya juu unaofanyika pale.
Wenzetu pale upande wa Rwanda wapo makini na wanatimiza majukumu yao ipasavyo.
...endelea kuishi kwa shemejiUna mume kweli wewe? wanawake mwenzako hawabishani na wanaume wanakuwa wanyenyekevu siyo kama wewe
Nenda kajaribu kupitisha ndio utaona, kama Rwanda hawalali, Tanzania yatapitaje? Rwanda wanapenda kukaa na mabunduki na uniform, Tanzania wanatumia staili nyingine ya kiulinziMpaka wa Tanzania na Rwanda upande wetu Tanzania ndio mpaka pekee unaoweza kupitisha magendo ya aina yoyote iwe kutokea Rwanda ama Congo DR.
Ndio mpaka unaolindwa kizembe kuliko huenda kuliko mipaka yote ya Tanzania!
Suma JKT eti ndio walinzi wakuu wa Exit gate letu pale Rusumo huku nyakati za usiku maafisa wa forodha na usalama wa taifa wakiwa ama baa wakilewa ama makwao wakikoroma.
Aibu zaidi ni pale exit gate letu kuelekea Rwanda ifikapo saa 5 usiku huwezi kukuta afisa wa forodha pale na ukiuliza unaambiwa ndiyo kawaida yao huwa wanaenda kulala hadi saa 10 alfajiri kesho yake jambo ambalo huwa linasababisha foleni ya maroli usiku.
Ajabu ukivuka upande wa Rwanda maafisa wao wote huwepo kwa saa 24 tena kamwe hukuti amesinzia hata kwa bahati mbaya!
Hii ni aibu kubwa kwa mamlaka za Tanzania.
Njoo tuishi wote...endelea kuishi kwa shemeji
Wa kwetu pale uzalendo kwa nchi ni zero.Ina maana hapo hawa wa kwetu wana tatizo kubwa la uzalendo.Wale wa Rwanda wanajitambua kuwa wapo pale kwa faida na usalama wa wananchi wao Rwanda.Ila sisi ukute watu wamewekana pale ki dili dili wala si kwa maslahi mapana ya nchi.Inasikitisha kama habari hii ni ya kweli.
Silei vibenteniNjoo tuishi wote
Mamia ya maroli yanapitisha simu,vitenge,maziwa,dhahabu na huenda hata siraha haramu hupitia hapo kwa uzembe wetu.Nenda kajaribu kupitisha ndio utaona, kama Rwanda hawalali, Tanzania yatapitaje? Rwanda wanapenda kukaa na mabunduki na uniform, Tanzania wanatumia staili nyingine ya kiulinzi
Mkomao kama wewe nakupeleka wapi na wakati kuna watoto warembo tena wadogo snNina pesa ya kukuozesha usipojali maana huko kwenu naambiwa ndiyo yenu jadi
Mtu huna hata mvuto mi nakupeleka wapiNina pesa ya kukuozesha usipojali maana huko kwenu naambiwa ndiyo yenu jadi
Ee Mungu niepushe na hii laana isinisababishie ban bure!Mkomao kama wewe nakupeleka wapi na wakati kuna watoto warembo tena wadogo sn
Suzy Elias ni mwanaume anayetumia gender ya kike ku disguise parody yakeWe demu,ni very........!!!!!??????!!!!(
KaribuEe Mungu niepushe na hii laana isinisababishie ban bure!
Acha kubishana kindezi ivi mtoto wa kiume. Ungekaa kwenye mada badala ya kuleta kejeli za hovyo, tena kubishana na mwanamke aliyeletea hoja nzito jukwaani.Mkomao kama wewe nakupeleka wapi na wakati kuna watoto warembo tena wadogo sn
Wanafanya,bali ni uzembe wa hali ya juu unaofanyika pale.
Wenzetu pale upande wa Rwanda wapo makini na wanatimiza majukumu yao ipasavyo.
vipi gharama za kupimaNdiyo na wenzetu wameweka utaratibu mzuri mno wa kupimwa na majibu unayapata ndani ya dakika 5.
Dereva wa roli bure wengine 10k frwvipi gharama za kupima
Tz ni shamba la Bibi..........Mpaka wa Tanzania na Rwanda upande wetu Tanzania ndio mpaka pekee unaoweza kupitisha magendo ya aina yoyote iwe kutokea Rwanda ama Congo DR.
Ndio mpaka unaolindwa kizembe kuliko huenda kuliko mipaka yote ya Tanzania!
Suma JKT eti ndio walinzi wakuu wa Exit gate letu pale Rusumo huku nyakati za usiku maafisa wa forodha na usalama wa taifa wakiwa ama baa wakilewa ama makwao wakikoroma.
Aibu zaidi ni pale exit gate letu kuelekea Rwanda ifikapo saa 5 usiku huwezi kukuta afisa wa forodha pale na ukiuliza unaambiwa ndiyo kawaida yao huwa wanaenda kulala hadi saa 10 alfajiri kesho yake jambo ambalo huwa linasababisha foleni ya maroli usiku.
Ajabu ukivuka upande wa Rwanda maafisa wao wote huwepo kwa saa 24 tena kamwe hukuti amesinzia hata kwa bahati mbaya!
Hii ni aibu kubwa kwa mamlaka za Tanzania.
Faranga elfu kumi mkuu au laki halafu vipi bodaboda sasa hivi wanaruhusiwa kufanya kazi ndani ya uzio wa mpakaD
Dereva wa roli bure wengine 10k frw