Kenya 2022 Ruto Ameshinda, Je, ni kweli Rais Uhuru Kenyatta Ameshindwa? Au Odinga kachezewa Mchezo?

Kenya 2022 Ruto Ameshinda, Je, ni kweli Rais Uhuru Kenyatta Ameshindwa? Au Odinga kachezewa Mchezo?

Kenya 2022 General Election
Ndo maana umeambiwa KENYA KUNA TUME HURU YA UCHAGUZI.
pigia mstari TUME HURU.
kwa maana hyo yoyote anaweza kuwa
 
Ukomavu wake nini? Kuhamisha kura 10k
Ruto ni familia ya Ikulu
Kenyatta ya Ikulu
Odinga ana nani?
Kasome tena mkuu. Ruto hajawahi kuwa na influence yeyote ya kifamilia. Kafika alipofika kwa jitihada zake mwenye.

Unauliza Odinga ana nani? Baba yake Odinga alikuwa Makamo wa Raisi wa kwanza kabisa Kenya chini ya baba yake Uhuru. Sasa huoni kama huyo ana kila mtu? Kakulia kwenye mazingira ya madaraka kuchukulia kama ni haki yake na yeye kuwa raisi.
 
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC), jana ilimtangaza Ndugu, William Samoei Arap Ruto kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Kenya. Ruto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, na amehudumu chini ya Rais Uhuru Kenyatta kwa takribani miaka 10 sasa.

Pamoja na urafiki wa muda mrefu wa wawili hawa lakini mara kadhaa walikuwa wakipishana kauli na mwaka jana walikwaruzana kiasi cha Rais Kenyatta, kuamua kumuunga mkono mgombea urais kupitia Azimio la Umoja, Raila Odinga "Baba" akimtosa makamu wake Ruto aliyesimama kwa tiketi ya Kenya Kwanza.

Baada ya kutangazwa ushindi wa Ruto kuwa Rais Mteule wa Rais ya Kenya, maswali yamekuwa mengi vichwani mwa watu wengi.

Je Rais Uhuru Kenyatta ni kweli ameshindwa? Ni kweli kabisa Rais Kenyatta alichagua upande ambao hakua na uhakika wa kushinda?

Mwanafalsafa Muitaliano, Niccolò di Bernardo dei Machiavelli aliwahi kusema ni mpumbavu pekee anayeweza kupoteza uchaguzi akiwa madarakani, je tumuweke Uhuru katika hili kundi la Machiavelli au tuanze kuwa kwamba kuna namna Baba amechezewa mchezo?

Huyuhuyu Uhuru aliwahi kuwaambia Wakenya yeyey akitoka madarakani ataiacha nchi kwa kijana zaidi yake na sio kwa mzee, Je ndio tuseme amelihakikisha hilo?
Je, kugombana kwake na Ruto ilikuwa ni sehemu ya kumsafishia njia na kumuondoa kwenye kivuli cha madhila ya Serikali aliyohudumu kwa miaka 10?


Wakati bado unatafakari nakuacha na mfano huu:

"UHUU na RUU walikuwa marafiki. RUU akamwomba UHUU amuamchie kibanda chake cha mihogo kwa kuwa juma amemaliza muda wake…..........UHUU akamwambia RUU kuwa akimwachia kibanda ghafla atatengeneza uadui na wengine kwani kila mtu anataka kibanda hicho, lakini pia itaonekana kama wanapokezana kijiti …....... UHUU na RUU wakapanga kuwa wagombane kwa muda mrefu …..ugomvi wao ulidumu kwa mwaka mmoja hivi na watu wote mtaani waliamini hivyo........uchaguzi ukaja, HADHARANI, UHUU akamuunga mkono BABA, ila kwa kifupi ni kwamba jana UHUU kampa RUU kibanda."

Tafakari, TujadiliView attachment 2325005

Uhuru alidhamiria kumuunga mkono Raila kwa dhati na hakuna ushahidi wowote kwamba kulikuwa na njama za kufanya hivyo kimkakati ili Ruto ashindwe.
 
Kenya hawana siasa za ukijani system yote kijani
Sjui tume ya uchaguz kijani
Vyombo vya ulinz na usalama kijani
Wasimamizi uchaguz kijani
Sasa kwa style hiyo kuna uchaguz kweli

Ova
 
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC), jana ilimtangaza Ndugu, William Samoei Arap Ruto kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Kenya. Ruto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, na amehudumu chini ya Rais Uhuru Kenyatta kwa takribani miaka 10 sasa.

Pamoja na urafiki wa muda mrefu wa wawili hawa lakini mara kadhaa walikuwa wakipishana kauli na mwaka jana walikwaruzana kiasi cha Rais Kenyatta, kuamua kumuunga mkono mgombea urais kupitia Azimio la Umoja, Raila Odinga "Baba" akimtosa makamu wake Ruto aliyesimama kwa tiketi ya Kenya Kwanza.

Baada ya kutangazwa ushindi wa Ruto kuwa Rais Mteule wa Rais ya Kenya, maswali yamekuwa mengi vichwani mwa watu wengi.

Je Rais Uhuru Kenyatta ni kweli ameshindwa? Ni kweli kabisa Rais Kenyatta alichagua upande ambao hakua na uhakika wa kushinda?

Mwanafalsafa Muitaliano, Niccolò di Bernardo dei Machiavelli aliwahi kusema ni mpumbavu pekee anayeweza kupoteza uchaguzi akiwa madarakani, je tumuweke Uhuru katika hili kundi la Machiavelli au tuanze kuwa kwamba kuna namna Baba amechezewa mchezo?

Huyuhuyu Uhuru aliwahi kuwaambia Wakenya yeyey akitoka madarakani ataiacha nchi kwa kijana zaidi yake na sio kwa mzee, Je ndio tuseme amelihakikisha hilo?
Je, kugombana kwake na Ruto ilikuwa ni sehemu ya kumsafishia njia na kumuondoa kwenye kivuli cha madhila ya Serikali aliyohudumu kwa miaka 10?


Wakati bado unatafakari nakuacha na mfano huu:

"UHUU na RUU walikuwa marafiki. RUU akamwomba UHUU amuamchie kibanda chake cha mihogo kwa kuwa juma amemaliza muda wake…..........UHUU akamwambia RUU kuwa akimwachia kibanda ghafla atatengeneza uadui na wengine kwani kila mtu anataka kibanda hicho, lakini pia itaonekana kama wanapokezana kijiti …....... UHUU na RUU wakapanga kuwa wagombane kwa muda mrefu …..ugomvi wao ulidumu kwa mwaka mmoja hivi na watu wote mtaani waliamini hivyo........uchaguzi ukaja, HADHARANI, UHUU akamuunga mkono BABA, ila kwa kifupi ni kwamba jana UHUU kampa RUU kibanda."

Tafakari, TujadiliView attachment 2325005
"kihee" hawezi ongoza kenya--- Kikuyu mafias-- Hadi Kiambu na Nyeri na kirinyaga kwa Martha wakapigwa. Kikuyus kikuyus kikuyus kikuyus mungu anawaona mmemmuuza Baba
 
Hojaless za sampuli hii utazisikia kutoka kwenu nyie majirani, no offence. Wengi wenu mnajazia comments tu, wakati ni wazi kwamba hamuelewi hata abc za siasa za Kenya. Mnatuchosha acheni tupumue sasa, kipenga kimepigwa game imeisha hiyo. Nyanyukeni kutoka kwenye viti vya mashabik, giza ndio hilo linatanda na daladala zitaisha.
 
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC), jana ilimtangaza Ndugu, William Samoei Arap Ruto kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Kenya. Ruto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, na amehudumu chini ya Rais Uhuru Kenyatta kwa takribani miaka 10 sasa.

Pamoja na urafiki wa muda mrefu wa wawili hawa lakini mara kadhaa walikuwa wakipishana kauli na mwaka jana walikwaruzana kiasi cha Rais Kenyatta, kuamua kumuunga mkono mgombea urais kupitia Azimio la Umoja, Raila Odinga "Baba" akimtosa makamu wake Ruto aliyesimama kwa tiketi ya Kenya Kwanza.

Baada ya kutangazwa ushindi wa Ruto kuwa Rais Mteule wa Rais ya Kenya, maswali yamekuwa mengi vichwani mwa watu wengi.

Je Rais Uhuru Kenyatta ni kweli ameshindwa? Ni kweli kabisa Rais Kenyatta alichagua upande ambao hakua na uhakika wa kushinda?

Mwanafalsafa Muitaliano, Niccolò di Bernardo dei Machiavelli aliwahi kusema ni mpumbavu pekee anayeweza kupoteza uchaguzi akiwa madarakani, je tumuweke Uhuru katika hili kundi la Machiavelli au tuanze kuwa kwamba kuna namna Baba amechezewa mchezo?

Huyuhuyu Uhuru aliwahi kuwaambia Wakenya yeyey akitoka madarakani ataiacha nchi kwa kijana zaidi yake na sio kwa mzee, Je ndio tuseme amelihakikisha hilo?
Je, kugombana kwake na Ruto ilikuwa ni sehemu ya kumsafishia njia na kumuondoa kwenye kivuli cha madhila ya Serikali aliyohudumu kwa miaka 10?

Wakati bado unatafakari nakuacha na mfano huu:

"UHUU na RUU walikuwa marafiki. RUU akamwomba UHUU amuamchie kibanda chake cha mihogo kwa kuwa juma amemaliza muda wake…..........UHUU akamwambia RUU kuwa akimwachia kibanda ghafla atatengeneza uadui na wengine kwani kila mtu anataka kibanda hicho, lakini pia itaonekana kama wanapokezana kijiti …....... UHUU na RUU wakapanga kuwa wagombane kwa muda mrefu …..ugomvi wao ulidumu kwa mwaka mmoja hivi na watu wote mtaani waliamini hivyo........uchaguzi ukaja, HADHARANI, UHUU akamuunga mkono BABA, ila kwa kifupi ni kwamba jana UHUU kampa RUU kibanda."

Tafakari, Tujadili.

View attachment 2325005
Eti kwa nini vifungo vya chini vya koti hawafungi?
 
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC), jana ilimtangaza Ndugu, William Samoei Arap Ruto kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Kenya. Ruto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, na amehudumu chini ya Rais Uhuru Kenyatta kwa takribani miaka 10 sasa.

Pamoja na urafiki wa muda mrefu wa wawili hawa lakini mara kadhaa walikuwa wakipishana kauli na mwaka jana walikwaruzana kiasi cha Rais Kenyatta, kuamua kumuunga mkono mgombea urais kupitia Azimio la Umoja, Raila Odinga "Baba" akimtosa makamu wake Ruto aliyesimama kwa tiketi ya Kenya Kwanza.

Baada ya kutangazwa ushindi wa Ruto kuwa Rais Mteule wa Rais ya Kenya, maswali yamekuwa mengi vichwani mwa watu wengi.

Je Rais Uhuru Kenyatta ni kweli ameshindwa? Ni kweli kabisa Rais Kenyatta alichagua upande ambao hakua na uhakika wa kushinda?

Mwanafalsafa Muitaliano, Niccolò di Bernardo dei Machiavelli aliwahi kusema ni mpumbavu pekee anayeweza kupoteza uchaguzi akiwa madarakani, je tumuweke Uhuru katika hili kundi la Machiavelli au tuanze kuwa kwamba kuna namna Baba amechezewa mchezo?

Huyuhuyu Uhuru aliwahi kuwaambia Wakenya yeyey akitoka madarakani ataiacha nchi kwa kijana zaidi yake na sio kwa mzee, Je ndio tuseme amelihakikisha hilo?
Je, kugombana kwake na Ruto ilikuwa ni sehemu ya kumsafishia njia na kumuondoa kwenye kivuli cha madhila ya Serikali aliyohudumu kwa miaka 10?

Wakati bado unatafakari nakuacha na mfano huu:

"UHUU na RUU walikuwa marafiki. RUU akamwomba UHUU amuamchie kibanda chake cha mihogo kwa kuwa juma amemaliza muda wake…..........UHUU akamwambia RUU kuwa akimwachia kibanda ghafla atatengeneza uadui na wengine kwani kila mtu anataka kibanda hicho, lakini pia itaonekana kama wanapokezana kijiti …....... UHUU na RUU wakapanga kuwa wagombane kwa muda mrefu …..ugomvi wao ulidumu kwa mwaka mmoja hivi na watu wote mtaani waliamini hivyo........uchaguzi ukaja, HADHARANI, UHUU akamuunga mkono BABA, ila kwa kifupi ni kwamba jana UHUU kampa RUU kibanda."

Tafakari, Tujadili.

View attachment 2325005
Siasa ni akili!
 
Nipo najiuliza yani sisi tunawezaje kujua kwamba odinga anachezewa mchezo wakati huo odinga asijue kuwa anachezewa mchezo? Kama anajua na alijua bas vp alikubali?
 
Mnaofikilia kuwa RUTO na UHURU ati walikuwa na ugomvi basi mlikuwa mbali sana na uhalisia.Wale ni marafiki wakubwa na urafiki wao haukuwahi kuteteleka.Walichokuwa wanakifanya ni kumlaghai RAILA ODINGA tuuu.
 
Kwa mlioanza kufuatilia siasa za Kenya kipindi cha kampeni za uchaguzi 2022 ndiyo mnaulizana maswali kama hayo.

UHURUTO walionesha kutofautiana baada tu ya uchaguzi wa 2017.

Hayo ma-Hand shake na BBI walikuwa wako mbingu na ardhi.
 
Kura ndio zimeamua mshindi, hayo ya kuuzwa ni hadithi za kubuni tu.
 
Mnaofikilia kuwa RUTO na UHURU ati walikuwa na ugomvi basi mlikuwa mbali sana na uhalisia.Wale ni marafiki wakubwa na urafiki wao haukuwahi kuteteleka.Walichokuwa wanakifanya ni kumlaghai RAILA ODINGA tuuu.
Haya mawazo mnawaza wabongo, wakenya wao hawana akili ya kujua hili?
 
Huu ni mchezo umechezwa. Akili kubwa sana imetumika. Raila kauzwa.

Hili igizo la ugomvi ilikuwa ni muhimu kwa sababu zifuatazo;

1. Serikali inayomaliza muda wake huwa haipendwi hivyo Ruto angegombea toka serikali inayomaliza muda wake asingeuzika. Hivyo ilibidi wajifanye wanagombana ili chuki dhidi ya serikali inayomaliza muda wake isimuhusu Ruto.

2. Rais kumaliza muda wake na kumuachia makamu wake ingeleta dhana ya Ufalme na wananchi wangemkataa Ruto.

3. Hata angeuzika na akashinda kiuhalali au kwa kuiba kura, kutangazwa kwake Ruto kungeleta fujo kubwa hivyo ilibidi serikali ijifanye inamuunga mkono Odinga ili akitangazwa kushindwa ionekane hapakuwa na namna.

4. Serikali inayoondoka madarakani mara nyingi inachukiwa, hivyo Kenyata kumuunga mkono Raila ni kumuhamishia lawama zake hivyo wasiompenda Kenyata na serikali yake lazima wamchukie na mgombea wake / anayemuunga mkono. A friend of my enemy is my enemy.

5. Kujifanya Uhuru na Ruto wanagombana ni kumtafutia kura za huruma kwa Ruto kwamba kasalitiwa na ananyanyaswa.

6. Uhuru kumuunga mkono Raila ni kumvuta karibu ili kumshauri vibaya na kuchota siri za kambi yake wakati wa uchaguzi.

7. Uhuru kumuunga mkono Raila ni kuonesha kuwa watoto wa viongozi wanataka kupeana madaraka so Ruto anajitokeza kama Hustler, son of no body ili kuwavuta watu wengi wa hali ya chini.

Hapa Uhuru kafaulu kumuachia jamaa yake kama walivyoahidiana.
Ni kweli kabisa serikali inayotoka madarakani mara nyingi huchukiwa sana na wananchi ndio maana bongo 2015 walimpa Magu ili kufifisha chuki za wananchi na kupooza hali.
 
Back
Top Bottom