Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
Uhuru ni mtoto wa Mjini, ametokea kabila kubwa na tajiri Kenya.Yanaanza yale yale ya Magufuli na Kikwete Sasa ni Uhuru na Ruto
Akiamia kumhujuma Ruto atajuta kuwa rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru ni mtoto wa Mjini, ametokea kabila kubwa na tajiri Kenya.Yanaanza yale yale ya Magufuli na Kikwete Sasa ni Uhuru na Ruto
Ruto alisaidiwa na venezuela(wajamaa) sasa anapambana na mzee wa msoga ya kenya/uhuru kumnyang'anya biashara kama alivyofanya mwendazake kuihujumu miradi ya mzee wa msoga sasa yalotokea tz march 17 yatatokea kenya pia Kenya lisu wao ni railaUhuru ni mtoto wa Mjini, ametokea kabila kubwa na tajiri Kenya.
Akiamia kumhujuma Ruto atajuta kuwa rais
Ruto alisaidiwa na venezuela(wajamaa) sasa anapambana na mzee wa msoga ya kenya/uhuru kumnyang'anya biashara kama alivyofanya mwendazake kuihujumu miradi ya mzee wa msoga sasa yalotokea tz march 17 yatatokea kenya pia Kenya lisu wao ni railaKenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania
Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.
Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.
Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
1 Updates. Rais Ruto amesema ataagiza mafuta urusi ambayo imewekewa vikwazo na Mataifa ya Magharibi kwa sababu ya Putin kuua watu wasio na hatia nchini Ukraine.
2 Update. Wakili aliyewahonga mashahidi waliotaka kutoa ushaidi kwenye mahakama ya ICC kuwa Ruto aliusika na mauaji ya watu wasio na hatia mwaka 2007 baada ya uchaguzi ameuwawa kwa sumu.
Uzuri Kenya wana katiba.
Kipindi kile si walikuwa wanaomba tubadilishane na Magufuli? Wameshapewa wakutoka huko huko.Atakuwa dictator zaidi ya Magufuli. Nimesikiliza hotuba zake, naona viashiria vyote vya tabia za Magufuli. Wakenya watajuta kutomchagua Raila kwani ndio hasa baba wa demokrasia ya Kenya.
Yaah ni ngumu mno kwa Ruto kutoboa kwa aina ya utawala wake ulivyo.Ruto alisaidiwa na venezuela(wajamaa) sasa anapambana na mzee wa msoga ya kenya/uhuru kumnyang'anya biashara kama alivyofanya mwendazake kuihujumu miradi ya mzee wa msoga sasa yalotokea tz march 17 yatatokea kenya pia Kenya lisu wao ni raila