Ruto anaonyesha kila dalili za kuja kuwa Kama Magufuli

Ruto anaonyesha kila dalili za kuja kuwa Kama Magufuli

Nchi za Africa zinahitaji watawala. Viongozi achia wazungu wenye demokrasia yao.
 
Uhuru ni mtoto wa Mjini, ametokea kabila kubwa na tajiri Kenya.
Akiamia kumhujuma Ruto atajuta kuwa rais
Ruto alisaidiwa na venezuela(wajamaa) sasa anapambana na mzee wa msoga ya kenya/uhuru kumnyang'anya biashara kama alivyofanya mwendazake kuihujumu miradi ya mzee wa msoga sasa yalotokea tz march 17 yatatokea kenya pia Kenya lisu wao ni raila
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.

1 Updates. Rais Ruto amesema ataagiza mafuta urusi ambayo imewekewa vikwazo na Mataifa ya Magharibi kwa sababu ya Putin kuua watu wasio na hatia nchini Ukraine.

2 Update. Wakili aliyewahonga mashahidi waliotaka kutoa ushaidi kwenye mahakama ya ICC kuwa Ruto aliusika na mauaji ya watu wasio na hatia mwaka 2007 baada ya uchaguzi ameuwawa kwa sumu.
Ruto alisaidiwa na venezuela(wajamaa) sasa anapambana na mzee wa msoga ya kenya/uhuru kumnyang'anya biashara kama alivyofanya mwendazake kuihujumu miradi ya mzee wa msoga sasa yalotokea tz march 17 yatatokea kenya pia Kenya lisu wao ni raila
 
Atakuwa dictator zaidi ya Magufuli. Nimesikiliza hotuba zake, naona viashiria vyote vya tabia za Magufuli. Wakenya watajuta kutomchagua Raila kwani ndio hasa baba wa demokrasia ya Kenya.
Kipindi kile si walikuwa wanaomba tubadilishane na Magufuli? Wameshapewa wakutoka huko huko.
 
Ruto alisaidiwa na venezuela(wajamaa) sasa anapambana na mzee wa msoga ya kenya/uhuru kumnyang'anya biashara kama alivyofanya mwendazake kuihujumu miradi ya mzee wa msoga sasa yalotokea tz march 17 yatatokea kenya pia Kenya lisu wao ni raila
Yaah ni ngumu mno kwa Ruto kutoboa kwa aina ya utawala wake ulivyo.
Wakenya huwezi kuwapeleka kama Mang'ombe watamtoa jasho.

Raila akirudi tena mtaani kitanuka zaidi.
 
Back
Top Bottom