Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa dictator zaidi ya Magufuli. Nimesikiliza hotuba zake, naona viashiria vyote vya tabia za Magufuli. Wakenya watajuta kutomchagua Raila kwani ndio hasa baba wa demokrasia ya Kenya.
Hahahahaaaa... yeye Ruto amewachota Wakenya, kwa kutumia gia' ya kusema yeye ni' hustler' na kwamba anawapigania ' walala hoi.........siasa za Afrika kaazi kwelikweli.Ndivyo ilivyo, huo ndio ukweriii ndugu zangu.
USA wana democracy ila walijuta kumchagua TrumpKenya sio kama Tanzania.
Utawala wa sheria, Demokrasia,na separation of powers vipo juu sana.
Binafsi sikumchagua, ila pona yetu ni katiba, hawezi kupata jeuri ya kufanya hayo ya Magufuli maana katiba inambana sana, hata rais Uhuru alianza kwa mihemko ila akakatwa mbawa na katiba mpaka akanyooka.
Wapi nimesema Ruto ni mkikuyu? Nilichosema Wakikuyu hawako Radhi kumpigia Mjaluo hata asingegombea Ruto Bado wangempa hata Waihiga au Wajackoyah kuliko Odinga!!Halafu mbona Ruto sio Mkikuyu? Mgombea wa Uhuru ambae ndio Kiongozi wa hao Wakikuyu alikuwa Odinga
Sasa kama walikataa chaguo la Uhuru ambaye ndio mkikuyu mwenzao wakachagua Ruto wa kabila tofauti utasemaje ni wakabila?
Uko sawa 100%Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania
Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.
Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.
Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Raila ni mjaluo na Ruto ni mkalenjin kabila la Moi. Ukabila wa kenya wanataka rais awe mkikuyu au mkalenjin.Halafu mbona Ruto sio Mkikuyu? Mgombea wa Uhuru ambae ndio Kiongozi wa hao Wakikuyu alikuwa Odinga
Sasa kama walikataa chaguo la Uhuru ambaye ndio mkikuyu mwenzao wakachagua Ruto wa kabila tofauti utasemaje ni wakabila?
Na wajaluo walishampigia mtu mwingine kura zaidi ya Odinga?Raila ni mjaluo na Ruto ni mkalenjin kabila la Moi. Ukabila wa kenya wanataka rais awe mkikuyu au mkalenjin.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa hao Wajaluo walishawahi kumpigia nani kura zaidi ya Odinga? Huo sio ukabila?Wapi nimesema Ruto ni mkikuyu? Nilichosema Wakikuyu hawako Radhi kumpigia Mjaluo hata asingegombea Ruto Bado wangempa hata Waihiga au Wajackoyah kuliko Odinga!!
Maana Odinga angepata walau 30% ya kura za Wakikuyu angekua ikulu. Ndio maana hata wajimbo mengi ameshinda Odinga sababu anakubalika nchi nzima tofauti na Ruto ambaye Central Kenya/Rift Valley pekee ndio imempa Urais kwingine kote hakubaliki. Such ukabila hauna afya kama wanataka kiongozi makini. View attachment 2357793
Angalia hii ramani then uone nachojaribu kusema.
Ogopa sana kiongozi anaeongoza kwa kujifanya ni muumini wa dini sana na vifungu kakariri au awe wa kijijini kama anavyosema, wengi wao hua ni madikiteta, with exception of HichilemaBado nampa benefit of doubt, anaonekana anavifahamu vizuri vifungu vya maandiko ya biblia, namsubiri atakapoanza majukumu yake, nione kama utawala wake utaendana na maandiko matakatifu aliyokuwa ana-quote kila anapozungumza/ tweet wakati wa kampeni zake.
Akienda kinyume na hapo, atakuwa anaenda kinyume na dhamira yake, hakika atastahili adhabu kali.
Jpm style of administration ndio inafaa kwa nchi zetu hizi changa zinazokua kiuchumi.
Hangaya yeye ni mtawala au kiongozi? tuanzie hapo kwanza kabla ya kwenda uelekeo wa jirani.
Kikuyu for lifeKenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania
Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.
Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.
Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
RUTO ameanza kulipa VISASIKenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania
Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.
Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.
Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Ndio, 2003 kura ya Urais walimpigia Kibaki ilihali Mjaluo James Orengo aligombea ila alizidiwa kura na kibaki hapo hapo ujaluoni kitu ambacho mkikuyu hawezi fanya miaka 1000!!Sasa hao Wajaluo walishawahi kumpigia nani kura zaidi ya Odinga? Huo sio ukabila?
Miaka 1000 ni mingi sana hata hilo taifa la Kenya linaweza lisiwepoNdio, 2003 kura ya Urais walimpigia Kibaki ilihali Mjaluo James Orengo aligombea ila alizidiwa kura na kibaki hapo hapo ujaluoni kitu ambacho mkikuyu hawezi fanya miaka 1000!!