Ruto anaonyesha kila dalili za kuja kuwa Kama Magufuli

Ruto anaonyesha kila dalili za kuja kuwa Kama Magufuli

Hotuba ya makamu wake tu inaonyesha hawana sifa za uongozi. Wamejaa visasi na chuki zisizo na sababu. Muda utaongea ila Wakenya watajuta kuendekeza ukabila.
Sasa kwenye uchaguzi huu ulikuwa baina ya makabila gani!

Vv
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
RUTO amekaa kwenye system muda mrefu. Hajapata URAIS kwa bahati anafahamu na wakenya wataenjoy utawala wa jamaa kwanza umemsikia Jana anasema yupo tayari kukosolewa kwenye media n.k
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Atalambishwa udongo,mwambieni a control feelings..

Dunia haihitaji watu wa kuhemka maana they are disterous to the society..

Mwisho hiyo dalili sijaiona maana huyu ni mwana demokrasia.
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
yaani kikwete na uhuru unawaona viongozi? wangekuwa viongozi wangegroom viongozi. mrithi wa kikwete ni huyohuyo magu unayemponda na mrithi wa uhuru ni ruto unayemponda.

usithubutu kusema kwamba uhuru alimtaka raila; raila si kiongozi wala mtawala. ni mwanaharakati. na hilo litafanya hata ruto amkumbatie huko mbele. siku zote mwanaharakati ni asset
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
kwa katiba ile ya kenya, sahau hilo la kuja kuwa kama marehemu jiwe.
 
Kama Tz tungekuwa na katiba nzuri kama waliyo nayo Wakenya, ikiwemo taasis na mihimili huru ya dola, ni dhahiri Magufuli angethibitiwa!
Ruto hata awe Dictator wa aina gani kwa katiba waliyo nayo wakenya hatafurukuta, vinginevyo labda aanzie kwenye kubadili katiba!
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Binafsi nishabiki wake tangu mwanzo ,ila naanza pata wasiwasi ,maana kuapishwa tu kaanza na Mambo mengi bila kujali why mtangulizi wake alisita
Mfano
Kupitisha wale majaji 6 ,je amefuatilia KWa kina KWa nini mtangulizi wake aliwapiga stop?

Naweza KWa kiasi anza kubaliana na mada Yako Japo ni mapema
 
Acheni kuwaonea wivu wakenya na demokrasia yao. Sisi bado tuna mfumo mbovu alioujenga Nyerere.
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Inawezekana wewe ni mmojawapo wa watu wasio na maadili mema ambao ndio hukumbatiwa na hao unaowaita viongozi wakati ndio watu walitengeneza mfumo wa wizi wa kutisha -acha awanyooshe wakenya ili makandokando yao nao yazimwe..

Hao uliowalaani ndio wananchi wanaowataka maana ndio watetezi wao na maendeleo yanaonekana kuliko mbwembwe za analicha
 
Sasa kwenye uchaguzi huu ulikuwa baina ya makabila gani!

Vv
Wakikuyu ambao ndio Ina wapiga kura wengi zaidi hawakumpa Kura Odinga maana Wana bifu natural na wajaluo. Yaani hawana sababu ya msingi ila chuki tu ya kikabila wakamnyima kura.

Hawa jamaa watajuta kwa ukabila wao.
 
Atakuwa dictator zaidi ya Magufuli. Nimesikiliza hotuba zake, naona viashiria vyote vya tabia za Magufuli. Wakenya watajuta kutomchagua Raila kwani ndio hasa baba wa demokrasia ya Kenya.
Kwa Kenya ilipofikia ni ngumu sana kwa Ruto kuongoza kama Magufuli, anyway time will tell
 
Wakikuyu ambao ndio Ina wapiga kura wengi zaidi hawakumpa Kura Odinga maana Wana bifu natural na wajaluo. Yaani hawana sababu ya msingi ila chuki tu ya kikabila wakamnyima kura.

Hawa jamaa watajuta kwa ukabila wao.
Mbona Wajaluo hawakumpa uhuru wala Ruto kura, hawa sio wakabila?
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
RUTO na MAGU wote ni viongozi wa Awamu ya TANO, Kuna sifa baadhi watarandana.

Ruto amejipambanua ni mwanademokrasia hivyo hawezi kuwa Dictator .

Tanzania tumlaumu Kikwete na CCM waliokwamisha mchakato wa KATIBA mpya hatimaye kutuletea dictator ambapo KATIBA mpya ingekuwepo, yasingetokea hayo.

Kenya wameanza vizuri, Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya ndo wakampata RUTO. Tz tulianza na RAIS mzuri Kwa Katiba mbovu tukalazimisha awe Dictator.😠😠

Makosa haya hayatorudiwa, NO KATIBA mpya, no Uchaguzi wowote, No TUME huru ya Uchaguzi no UCHAGUZI wowote.

Ameeeen.
 
Mbona Wajaluo hawakumpa uhuru wala Ruto kura, hawa sio wakabila?
Wakikuyu ndio wengi so upande wanaochagua unapata almost 30% ya kura zote. So kama sio ukabila wa WAKIKUYU Raila angekua ikulu maana tukiwa wakweli tu hivi Rigathi na Ruto kwa ufisadi wote ule walifaa kuwa Viongozi?

Huu Uzi tutakuja kufukua December, watu watamlilia uhuru arudi!! Ruto ni failure kote alikopita.
 
Hotuba ya makamu wake tu inaonyesha hawana sifa za uongozi. Wamejaa visasi na chuki zisizo na sababu. Muda utaongea ila Wakenya watajuta kuendekeza ukabila.
Nilimsikiliza huyo mwamba nikasema hapa hamna kitu.... full kujiliza na chuki iliyomkaba koo... nadhani watafunga na kuua sana.
 
Bahati nzuri Ruto hana mamlaka na nguvu alizokuwa nazo Moi kutokana na KATIBA MPYA ya Kenya.
Huyo ni mwanafunzi wa Moi.

Kama unajuwa Moi alikuwa kiongozi wa aina gani, utajuwa Ruto atakavyokuwa katika uongozi (utawala) bwake.
 
Back
Top Bottom