Ruto anaonyesha kila dalili za kuja kuwa Kama Magufuli

Ruto anaonyesha kila dalili za kuja kuwa Kama Magufuli

Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Weka ushahidi wacha propaganda weye.
 
Raila hakupangiwa kuwa Rais...
Ova.
Hahahahaaaa tatizo Kenya, kihistoria ukabila bado utaendelea kuwasumbua sana. Wakikuyu au Wakalenjin ndo wameapa kuendelea kutoa Rais tu, na sio makabila yoyote mengine...na hasa hawataki kabisa kusikia Rais eti atoke kwa 'Jaluo'..... unfortunately that's the bitter truth' kwa nchi ya Kenya.
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Huyo ni mwanafunzi wa Moi.

Kama unajuwa Moi alikuwa kiongozi wa aina gani, utajuwa Ruto atakavyokuwa katika uongozi (utawala) bwake.
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Nonsense.
 
Kenya sio kama Tanzania.
Utawala wa sheria, Demokrasia,na separation of powers vipo juu sana.
Unaona maluilui, halafu unadhani umeona lulu yenyewe?

Uhuru Kenyatta tu hapo, alikuwa akikanyaga Katiba hiyo hiyo na kuyadharau mahakama hayo hayo, au hujui?

Halafu Uhuru Kenyatta ni mtu poa sana ukilinganisha na hili dubwasha walilopata sasa hivi.

Kwa hiyo, usiwe na haraka, tega tu sikio miaka hii mitano ijayo.
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
1663119845467.png

Kuna mambo ambayo kila kiongozi hijipambanua nayo.

Ruto kuna namna kajinasibisha na JPM kwa kuchagua kundi la walalahoi ambao kawaita (husslers)

Kashughulikiwa bei ya mbolea kutoka sawa na TZS 125,800 mpaka 67,700. Hii itashusha gharama za uzalishaji wa mazao ya kilimo na kupelekea bai za unga kuwa nafuu kwa walio wengi.
Hili jambo lazima litawaudhi "wapigaji" kwenye mfumo wa mbolea na mengineyo.

Ruto kaanzisha wizara ya ushirika na SME, hapa akifanya kwa vitendo kwa kuipa wizara fedha itasisimua sana biashara ya kuchochea vijana wengi kuingia kwenye shughuli za uzalishaji, likewise itaongeza pato la serikali. It's very obvious mtu akiwa na fedha huwa anatumia, eventually serikali itaongeza tax base kwenye hili.

Ruto kajifananisha na JPM kwa kutaka liwezekano leo, lisingoje kesho; kama tume Mahakama ilishafanya kazi yake ya kupendekeza majaji, yeye katumia madaraka yake ya Urais kuwathibitisha na kutangaza kuapishwa kesho yake (ambayo ni leo)

Tuwape kongole jirani zetu 254, bila shaka wapepata mtu anaejali maisha ya watu wa kawaida. Huenda along the way akawa dikteta kama JPM, hapendi kuzungushwa kwa umangi meza na "michakato" na hapo ndipo wanaompinga asipokuwa mvumilivu atatumia nguvu.
Ila uzuri Kenya kuna namna katiba yao imetengeneza balance of power kwa kuwapa nguvu wasioridhika kwenda mahakamani.

Ruto alikwenda mahakamani kumpinga boss wake asiendelee na BBI na akafanikiwa. Wakenya wakiona anatoka kwenye mstari wanaweza kumpeleka mahakamani.

Tuwape kongole majirani kwa kuvuka kwenye uchaguzi na sasa wana rais mpya. Ruto ashughulikie haki za binadamu kwa kutaka polisi na vyombo vya usalama viwajibike kwenye udhibiti wa watu.
Jana kuna watu wamepigwa sana kwenye harakati za kuzuiliwa wasiingie ndani ya uwanja kushuhudia tukio la Rais wao mpya akiapishwa.
Nguvu ingetumika kuzuia pasi kutoa kipondo wa wananchi.
 
Bado nampa benefit of doubt, anaonekana anavifahamu vizuri vifungu vya maandiko ya biblia, namsubiri atakapoanza majukumu yake, nione kama utawala wake utaendana na maandiko matakatifu aliyokuwa ana-quote kila anapozungumza/ tweet wakati wa kampeni zake.

Akienda kinyume na hapo, atakuwa anaenda kinyume na dhamira yake, hakika atastahili adhabu kali.
 
View attachment 2356136
Kuna mambo ambayo kila kiongozi hijipambanua nayo.

Ruto kuna namna kajinasibisha na JPM kwa kuchagua kundi la walalahoi ambao kawaita (husslers)

Kashughulikiwa bei ya mbolea kutoka sawa na TZS 125,800 mpaka 67,700. Hii itashusha gharama za uzalishaji wa mazao ya kilimo na kupelekea bai za unga kuwa nafuu kwa walio wengi.
Hili jambo lazima litawaudhi "wapigaji" kwenye mfumo wa mbolea na mengineyo.

Ruto kaanzisha wizara ya ushirika na SME, hapa akifanya kwa vitendo kwa kuipa wizara fedha itasisimua sana biashara ya kuchochea vijana wengi kuingia kwenye shughuli za uzalishaji, likewise itaongeza pato la serikali. It's very obvious mtu akiwa na fedha huwa anatumia, eventually serikali itaongeza tax base kwenye hili.

Ruto kajifananisha na JPM kwa kutaka liwezekano leo, lisingoje kesho; kama tume Mahakama ilishafanya kazi yake ya kupendekeza majaji, yeye katumia madaraka yake ya Urais kuwathibitisha na kutangaza kuapishwa kesho yake (ambayo ni leo)

Tuwape kongole jirani zetu 254, bila shaka wapepata mtu anaejali maisha ya watu wa kawaida. Huenda along the way akawa dikteta kama JPM, hapendi kuzungushwa kwa umangi meza na "michakato" na hapo ndipo wanaompinga asipokuwa mvumilivu atatumia nguvu.
Ila uzuri Kenya kuna namna katiba yao imetengeneza balance of power kwa kuwapa nguvu wasioridhika kwenda mahakamani.

Ruto alikwenda mahakamani kumpinga boss wake asiendelee na BBI na akafanikiwa. Wakenya wakiona anatoka kwenye mstari wanaweza kumpeleka mahakamani.

Tuwape kongole majirani kwa kuvuka kwenye uchaguzi na sasa wana rais mpya. Ruto ashughulikie haki za binadamu kwa kutaka polisi na vyombo vya usalama viwajibike kwenye udhibiti wa watu.
Jana kuna watu wamepigwa sana kwenye harakati za kuzuiliwa wasiingie ndani ya uwanja kushuhudia tukio la Rais wao mpya akiapishwa.
Nguvu ingetumika kuzuia pasi kutoa kipondo wa wananchi.
Hilo fungu alilowapa judiciary isije kuwa anatoa asante kwa kushinda ile kesi yake.

Kwa sababu nimeona hapo, pesa iliyokwenda kwa judiciary ni nyingi zaidi ya pesa iliyokwenda kwenye kilimo, wakati anasema yupo kwa ajili ya walalahoi, I doubt.

Japo kwa upande mwingine anaonekana alishajua akiingia ikulu ataanza kufanyia kazi maeneo yapi, hii ni nzuri kwa kiongozi mwenye maono.
 
View attachment 2356136
Kuna mambo ambayo kila kiongozi hijipambanua nayo.

Ruto kuna namna kajinasibisha na JPM kwa kuchagua kundi la walalahoi ambao kawaita (husslers)

Kashughulikiwa bei ya mbolea kutoka sawa na TZS 125,800 mpaka 67,700. Hii itashusha gharama za uzalishaji wa mazao ya kilimo na kupelekea bai za unga kuwa nafuu kwa walio wengi.
Hili jambo lazima litawaudhi "wapigaji" kwenye mfumo wa mbolea na mengineyo.

Ruto kaanzisha wizara ya ushirika na SME, hapa akifanya kwa vitendo kwa kuipa wizara fedha itasisimua sana biashara ya kuchochea vijana wengi kuingia kwenye shughuli za uzalishaji, likewise itaongeza pato la serikali. It's very obvious mtu akiwa na fedha huwa anatumia, eventually serikali itaongeza tax base kwenye hili.

Ruto kajifananisha na JPM kwa kutaka liwezekano leo, lisingoje kesho; kama tume Mahakama ilishafanya kazi yake ya kupendekeza majaji, yeye katumia madaraka yake ya Urais kuwathibitisha na kutangaza kuapishwa kesho yake (ambayo ni leo)

Tuwape kongole jirani zetu 254, bila shaka wapepata mtu anaejali maisha ya watu wa kawaida. Huenda along the way akawa dikteta kama JPM, hapendi kuzungushwa kwa umangi meza na "michakato" na hapo ndipo wanaompinga asipokuwa mvumilivu atatumia nguvu.
Ila uzuri Kenya kuna namna katiba yao imetengeneza balance of power kwa kuwapa nguvu wasioridhika kwenda mahakamani.

Ruto alikwenda mahakamani kumpinga boss wake asiendelee na BBI na akafanikiwa. Wakenya wakiona anatoka kwenye mstari wanaweza kumpeleka mahakamani.

Tuwape kongole majirani kwa kuvuka kwenye uchaguzi na sasa wana rais mpya. Ruto ashughulikie haki za binadamu kwa kutaka polisi na vyombo vya usalama viwajibike kwenye udhibiti wa watu.
Jana kuna watu wamepigwa sana kwenye harakati za kuzuiliwa wasiingie ndani ya uwanja kushuhudia tukio la Rais wao mpya akiapishwa.
Nguvu ingetumika kuzuia pasi kutoa kipondo wa wananchi.
Jpm style of administration ndio inafaa kwa nchi zetu hizi changa zinazokua kiuchumi.
 
Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania

Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.

Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.

Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
RAFIKI, HUJATOA SABABU LAKINI. VIGEZO/VIASHIRIA VIPI VINAKUPELEKA KUFIKIRI HIVYO
 
Bado nampa benefit of doubt, anaonekana anavifahamu vizuri vifungu vya maandiko ya biblia, namsubiri atakapoanza majukumu yake, nione kama utawala wake utaendana na maandiko matakatifu aliyokuwa ana-quote kila anapozungumza/ tweet wakati wa kampeni zake.

Akienda kinyume na hapo, atakuwa anaenda kinyume na dhamira yake, hakika atastahili adhabu kali.
Magufuli alikuwa anajifanya kusali sana na kumtaja Mungu sana, muogoipe mtu wa namna hivyo. magufuli alitufuna mengi sana ya unafiki wa dini
 
Back
Top Bottom