Kenya 2022 Ruto atashinda kesi, double agent kamuangusha Raila Odinga

Kenya 2022 Ruto atashinda kesi, double agent kamuangusha Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
Nimeamini ule msemo wa "Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu"

Raila kafanya kazi kubwa sana kuing'oa KANU madarakani na imekuwa Chama cha Upinzani .
hahahahahaha embu soma ya huyu jamaa wa raila aliyepigwa chini ubunge anakuambia hizo bulbs zinageuza mchana kuwa giza na walipokamata baadhi ili wapeleke mahakamani kama ushahidi zikayeyeuka kama maji in 7 hrs

dadeeekiiii.JPG
 
Hawawezi upeo wao kwa sasa ni mkubwa mnoo, ila lazima Raila atalazimisha machafuko sababu hata hii kesi inayoendelea alitaka wafuasi wake wafanye sit down nje ya mahakama baadaaye akaghairi, maskini wa kibera walimuambia wamechoka kutumika na mtu anayedai kuibiwa kila uchaguzi tena safari hii akisaidiwa na incumbent
Kibera ipi hiyo? Nairobi ni ya Raila tokea 1990s huko haiwezi ponyoka hata agombee mara elfu!! Siasa za kule ni za ukabila sio ajenda Wala sera.
 
hahahahaha kwa taarifa yako wakikuyu weeeengi wamempa ruto hawataki mjaluo labda watu wa kisumu ndiyo watakunja, cha kwanza Ruto kaahidi kufanyia kazi ni kushusha bei ya unga, in few days akifanikisha hakuna atakumbuka ujinga wa Raila
Amekua makamu miaka 10 kafanya nini? Mie nasave hizi thread wakenya watajuta.

Then usidanganye, turn out ya Wakikuyu ilikua ndogo otherwise asingeshinda kwa gap ya 0.4%!!

Then Raila kapata kura za Wakikuyu kuliko chaguzi zote combined hivi ni lini Odinga angepata kura zote zile Nakuru au Kiambu?
 
Kwa hiyo lile scania alilikwenda nalo mahakamani kwa mbwembwe likiwa limejaa ushaidi kumbe yalikuwa ni matakataka?
hahaha drama zilee, madai yaliunganishwa yakajaa kwenye ki note book, kenya ina majaji very sharp na wana IQ kubwa sana tuwapongeze maana kuna nchi majaji wake wanatia huruma hata hukumu zao za kiiingereza zinachekesha sana
 
Yani tunashabikia mambo ya Kenya wakati hapa Kuna kesi ya kina Halima Mdee inapigwa danadana ili miaka mitano iishe.
wenyewe wanakuambia ni political science eti, ushaona wapi mbunge kapendekezwa na chama halafu kikaenda kumtoa jela na kuhakikishwa anaapishwa gereji ya bunge
wanajiooona wajaaanja eti ivuteivute hadi 2025 wakati huohuo unawaambia walipa tozo ni lazima waendelee kuumia kumbe zinalipia matapeli 19
 
Amekua makamu miaka 10 kafanya nini? Mie nasave hizi thread wakenya watajuta.

Then usidanganye, turn out ya Wakikuyu ilikua ndogo otherwise asingeshinda kwa gap ya 0.4%!!

Then Raila kapata kura za Wakikuyu kuliko chaguzi zote combined hivi ni lini Odinga angepata kura zote zile Nakuru au Kiambu?
Rutto is energetic bana kwamiaka 3 ya mwisho alitengwa kabisa, naamini ataipeleka kenya mbele ,yule mzee hata kwenye misa anasinzia? Raila project ya Uhuru ili aendelee kutawala through backdoor
Au walitaka atawale mwaka mmoja wamle kichwa makamu wake Martha karua achukue nchi wamuendeshe kwa remote control
 
Ruto kacheza hii game smart sana, leo ushahidi wa huyo njoroge uliotumiwa na ma lawayers wa Raila umegeuka kichekesho
Raila kaangushwa na vingi, hakuwa hata na ma agents karibu asilimia 50 ya pllling stations, kina Joho, Junet Mohamed walikula hel ya agents wakaweka nguvu mombasa tu na kuna mazungumzo ya simu walirekodiwa wakimkebehi Raila
Subiri jumatatu baada ya hukumu timbwili litakalozuka huko azimio
kwa conclusion ya leo ya jaji mkuu Koome naona kama jumatatu atakataa madai ya servers kudukuliwa sababu forms physically zilihesabiwa ila atashauri tume ya uchaguzi ifanyiwe marekebisho

Uchaguzi ulikuwa tight, hivyo lazima malalamiko yalikuwepo. All in all Rais atakaye ingia itabidi apige kazi Sana. Maana ameingia kwa asilimia moja akikosea tu anaharibu kila kitu. It is very tricky.
 
Hustler anaapishwa tarehe 13....huyo Mganga hana watu wa mikakati na washauri wazuri linapokuja suala la kushinda uchaguzi...

Raila hajui kushinda uchaguzi ni mikakati...alidhani deep state itaagiza atangazwe hata asiposhinda...imekula kwake...aende Bondo apumzike sasa

Mkakati gani?. Hakuna mwaka Raila amepata kura za wakikuyu Kama mwaka huu, ndio maana wamechana kidogo Sana kwa kura na Ruto ambaye alikuwa kipenzi Cha wakikuyu ambao ndio wengi kwenye kura.
 
Rutto is energetic bana kwamiaka 3 ya mwisho alitengwa kabisa, naamini ataipeleka kenya mbele ,yule mzee hata kwenye misa anasinzia? Raila project ya Uhuru ili aendelee kutawala through backdoor
Au walitaka atawale mwaka mmoja wamle kichwa makamu wake Martha karua achukue nchi wamuendeshe kwa remote control
Mkuu Ruto ni fisadi ni suala la muda tu tutakuja wote kukumbushana humu. Haiwezekani "muuza kuku" apate uongozi awe billionaire!! Hapana it's not right!! Majaji wawe wazalendo wafute matokeo in fact mahakama hiyo hiyo ilimkuta Rigathi na hatia ya kufuja mabilioni ya Nairobi county so they are not fit for office!!

NB: Raila kaanza siasa Kenyatta akiwa Bado ananyonya Maziwa!! In fact it's Raila who partly ended uhuru in 2002, how comes awe project ya junior kama Uhuru?
 
Hawawezi upeo wao kwa sasa ni mkubwa mnoo, ila lazima Raila atalazimisha machafuko sababu hata hii kesi inayoendelea alitaka wafuasi wake wafanye sit down nje ya mahakama baadaaye akaghairi, maskini wa kibera walimuambia wamechoka kutumika na mtu anayedai kuibiwa kila uchaguzi tena safari hii akisaidiwa na incumbent

Punguza uongo. Lini odinga amepanga machafuko?. Mtu kapeleka kesi mahakamani Tena sio yeye tu na wengine sita walifungua kesi kupinga matokeo. Usilazimishe mambo ya bongo Kenya. Kenya wanajitambua ndio maana mpaka Sasa hivi Kuna amani.
 
mahakama iko nairobi au kinondoni? majaji wapi sasa we mzeeee? embu tumia akili bana tunazungumzia majaji wa kenya, kuna jaji hapa atapingana na kauli ya mwigulu kwamba wananchi wanaifurahia tozo na waliipendekeza?
unataka akose marupurupu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] salute kiongozi[emoji120][emoji120]
 
Jamaa mbona unaandika utadhani watu wengine hatufatilii uchaguzi wa Kenya.Ruto ana nafasi ndogo sana ya kupenyeza-95 % inaonesha uchaguzi huu utarudiwa.

Kasoro zilizobainishwa ni nyingi na ambayo majibu yake yamejibiwa kisiasa sana na Mawakili wa Ruto.issue kubwa zinazofanya uchaguzi huu kuwa batili kwa 99% ni 3.

1.Dosari katika masanduku yaliyorudiwa kura-ambapo dosari hizo zimeibuka katika vituo 6 kati ya vituo 15 vilivyokiwa vimechaguliwa.

2.Bwana Chibukati kutoshirikisha Makimishina 4 katika maamuzi yote ya uchaguzi-hadi Jaji akatolea mfano vipi ingetokea kwa bahati mbaya Chibukati amefariki ni nani angeweza kuongoza Tume.Kwa mujibu wa Katiba yao Jaji Mkuu alifafanua hao Ma Kamishina 6 wana majukumu katika maamuzi,sasa aliwezaje kufanya maamuzi huku Pasipo Makamishina 4 kati ya 6.

3.Kete ya mwisho inayofanya uchaguzi kuwa batili ni swala la bwana Chibukati kuharakisha kutangaza matokeo huku akijua fika walikuwa bado wana siku 1 ili kusolve hizo irregularities.
 
Mkuu Ruto ni fisadi ni suala la muda tu tutakuja wote kukumbushana humu. Haiwezekani "muuza kuku" apate uongozi awe billionaire!! Hapana it's not right!! Majaji wawe wazalendo wafute matokeo in fact mahakama hiyo hiyo ilimkuta Rigathi na hatia ya kufuja mabilioni ya Nairobi county so they are not fit for office!!

NB: Raila kaanza siasa Kenyatta akiwa Bado ananyonya Maziwa!! In fact it's Raila who partly ended uhuru in 2002, how comes awe project ya junior kama Uhuru?
hela nyingi aliiba kipindi cha KANu akiwa mkuu wa vijana wa chama walipewa kazi ya kusambaza mapesa mtaani kama rushwa hadi uchumi wa kenya ukaanguka in 1992
Ufisadi wote wanao unless hujui Rail alichukua mabilllions ya pesa kwenye handshake .......muacheni Rutto akapige kazi huyo Rail ashukuru tu Mungu maana hata uchaguzi ukirudiwa ashinde mwaka mmoja wanamuua kenya ipate Rais w kwanza mwanamke ambaye atakuwa anaendeshwa kwa remote control na uhuru kenyatta
 
Back
Top Bottom