Kenya 2022 Ruto atashinda kesi, double agent kamuangusha Raila Odinga

Kenya 2022 Ruto atashinda kesi, double agent kamuangusha Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
kwani members wote wa baraza la usalama la kenya unawajua? chebukati kawataja kwamba walimtembelea saa 9 usiku kufosi kubadili matokeo na Tuju kakubali, hadi IGP kajipa likizo ya matibabu, wako hajakanusha madai mazito kama hayo sema wewe ndiye unakanusha kwa niaba yake
members kadhaa wa national security council walikuwepo akiwepo huyo state attorney wa zamani, amos wako

Hawajataja hata mjumbe mmoja wa security council. Unamuamini chebukati huyu aliyeharibu uchaguzi wa 2017 mpaka ukafutwa na mahakama ya juu. Mahakama imeiiuliza IEBC kwanini imeharakisha kutoa matokeo wakati walikuwa na siku moja ya kutoa tofauti zao.
 
sasa ndo hivyo basi kambeba Raila mgongoni lakini wale wazee wa zamani wanakumbuka kiapo walichoapa mbele ya baba yake uhurumzeekenyata KWAMBA HAKUNA KUWAPA NCHI MAGOVI YASIYOTAHIRIWA YA KIJALUO

Unajielewa kweli?. Yani kiapo ndio wanachoangalia na sio mabadiliko.
 
Haina shida tusubiri, uchaguzi uliopita dosari kubwa ilikua ni IEBC ilishindwa kuthibitisha matokeo ya kwenye vituo kwenye form 34A ni sawa sawa na yale waliyokuwa nayo kwenye national tallying center, pia walishindwa kutoa access ya server, round hii vyote hivyo vipo

Mbona mwaka huu dosari ndio nyingi. Kumtangaza matokeo haraka bila kufikia muafaka wa makamishna. Chebukati alikuwa na upande wake kuanzia zamani. Ndio maana wakacheza rafu Mombasa na kakamega maana wangejitokeza wengi.
 
Awaunganishe nini wakati miaka yote wako hivyo. Kama kuna uchaguzi unaoonekana wa amani ni huu, kila MTU amechoka na malalamiko ya Raila kuibiwa kura

Mwaka huu ndio malalamiko yanatakiwa kuwa mengi maana it was a tight race. Sasa kwenye tight race ambakao mnaachana asilimia moja tu, Kuna walakini. Halafu Kuna Raia sita wakenya pia wamefungua kesi ya kupinga matokeo sio raila pekee yake.
 
Rutto is energetic bana kwamiaka 3 ya mwisho alitengwa kabisa, naamini ataipeleka kenya mbele ,yule mzee hata kwenye misa anasinzia? Raila project ya Uhuru ili aendelee kutawala through backdoor
Au walitaka atawale mwaka mmoja wamle kichwa makamu wake Martha karua achukue nchi wamuendeshe kwa remote control

Nadhani kwa energy Ruto anafaa. Raila amezeeka wajanja watatake advantage na kumzunguka.
 
Naam ile nchi jirani iliyojipambanua kwamba ina majaji wenye akili timamu na judiciary yenye nguvu jumatatu inaweka historia nyingine kwa kuendesha kesi nzito ndani ya siku chache na kutoa maamuzi

Kesi hiyo ambayo kuna baadhi ya nchi majaji kama wangepewa waisikileze basi kila dakika wangekuwa kwenye simu kupata malekezo kutoka juu imekuwa na mvuto hadi katika nchi yenye matatizo ya kuibia watu bando la internet

Naam Baba Raila byebye kwishney , mtaalamu wako wa IT bwana Njoroge kakusaliti vibaya sana ka mislead ma lawyers haswa miss soweto wakajichoresha mahakamani,Ruto hatari sana

View attachment 2343408View attachment 2343409View attachment 2343410
Demokrasia imefeli, huu uchaguz wa Kenya umedhihirisha hilo. Hapa akina putin and co watapata cha kuzungumza.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka huu ndio malalamiko yanatakiwa kuwa mengi maana it was a tight race. Sasa kwenye tight race ambakao mnaachana asilimia moja tu, Kuna walakini. Halafu Kuna Raia sita wakenya pia wamefungua kesi ya kupinga matokeo sio raila pekee yake.
In short bro nilikuwa huko kipindi chote cha matokeo yalipotangazwa....at least hali ilikuwa shwari unlike other elections!!!!. Watu wengine washarejea kazini na shule zimefunguliwa.
 
mahakama iko nairobi au kinondoni? majaji wapi sasa we mzeeee? embu tumia akili bana tunazungumzia majaji wa kenya, kuna jaji hapa atapingana na kauli ya mwigulu kwamba wananchi wanaifurahia tozo na waliipendekeza?
unataka akose marupurupu?

Tanzania hatuna majaji. Wote wapo in favour ya Rais. Wenzao wanaendesha kesi ya uchaguzi wa urais kwa siku tano lakini wenyewe kesi ya akina Halima Mdee itachukua miaka mitano, ila kumfurahisha Mwenyekiti wa CCM. I admire Kenya politically and judiciary
 
Hawajataja hata mjumbe mmoja wa security council. Unamuamini chebukati huyu aliyeharibu uchaguzi wa 2017 mpaka ukafutwa na mahakama ya juu. Mahakama imeiiuliza IEBC kwanini imeharakisha kutoa matokeo wakati walikuwa na siku moja ya kutoa tofauti zao.
Ila katibu wa chama cha Raila TUJU kakiri kuwepo, unafikiri ni kwa nini IGP kajipa likizo ya matibabu kabla ya kesi kuanza? unafikiri ni kwa nini siku ile chebukati anazongwazongwa ,laptops na simu zinapokonywa mikononi kwa wafanyakzi wa IEBC na kina esther pasaris ni assistant iGP ndiye alifika pale na kutuliza hali ya mambo hadi matokeo yakatangazwa?
 
Mbona uchaguzi uliopita alishinda kesi uchaguzi ukafutwa?.
So Akawa Rais?😂😂

Alijua hakushinda ndio maana akagomea marudio, anajua hata mahakama ilipofuta ilikuwa sababu ya makosa ya kiufundi tu na sio kuwa aliibiwa kura, maana alizidiwa kwenye wabunge, magavana na maseneta na upande wa uhuru

Hata Jumatatu mahakama ikifuta uchaguzi ikasema urudiwe, Raila hatakubali urudiwe, atatoa masharti ya kijinga ili apate kisingizio cha kugoma vurugi zitokee apate tena handshake
 
Tanzania hatuna majaji. Wote wapo in favour ya Rais. Wenzao wanaendesha kesi ya uchaguzi wa urais kwa siku tano lakini wenyewe kesi ya akina Halima Mdee itachukua miaka mitano, ila kumfurahisha Mwenyekiti wa CCM. I admire Kenya politically and judiciary
jaji mkuu aliyepo keshatoa kauli za utata sana hadi inatisha aliwekwa kama naibu jaji na JPM kwa kipindi kirefu kumbe kulikuwa na lengo maalumu , so sad
 
Ruto kacheza hii game smart sana, leo ushahidi wa huyo njoroge uliotumiwa na ma lawayers wa Raila umegeuka kichekesho
Raila kaangushwa na vingi, hakuwa hata na ma agents karibu asilimia 50 ya pllling stations, kina Joho, Junet Mohamed walikula hel ya agents wakaweka nguvu mombasa tu na kuna mazungumzo ya simu walirekodiwa wakimkebehi Raila
Subiri jumatatu baada ya hukumu timbwili litakalozuka huko azimio
kwa conclusion ya leo ya jaji mkuu Koome naona kama jumatatu atakataa madai ya servers kudukuliwa sababu forms physically zilihesabiwa ila atashauri tume ya uchaguzi ifanyiwe marekebisho
Kutokuwepo kwa agents haimaanishi kuwa ndo uibiwe kura sasa!.
Wizi ni wizi!
Ile fomu ilikuwa inafanya nini kwenye servers za IEBC?
 
so? au umesahau kuna laana ya miaka na miaka inayomuathiri kipenzi chenu Raila?

Raila sio kipenzi changu mkuu. Nitakuwaje na mgombea wakati nipo Tanzania. Ila apewe credit kwa mageuzi ya kisiasa aliyoleta. Kutoka kesi ya uhaini miaka ya 80 mpaka kukaa kizuizini miaka Saba. Na baadae kupambania mfumo wa vyama vingi na kucheza mchezo ulioiondoa Kanu madarakani.

Kibaki mwenyewe aliwahi kukiri hadharani kuwa Raila ndio nguzo iloyoiondoa kanu madarakani
 
Kutokuwepo kwa agents haimaanishi kuwa ndo uibiwe kura sasa!.
Wizi ni wizi!
Ile fomu ilikuwa inafanya nini kwenye servers za IEBC?
hahahahaha bro hizo hoja zote kuhusu servers zimedunda, forensic analysis imeonyesha hakukuwa na shida hata chief justice koome alisema hilo, wasubirie tu jumatatu wajaluo wenzake wa kisumu wachome mji wao
 
Naam ile nchi jirani iliyojipambanua kwamba ina majaji wenye akili timamu na judiciary yenye nguvu jumatatu inaweka historia nyingine kwa kuendesha kesi nzito ndani ya siku chache na kutoa maamuzi

Kesi hiyo ambayo kuna baadhi ya nchi majaji kama wangepewa waisikileze basi kila dakika wangekuwa kwenye simu kupata malekezo kutoka juu imekuwa na mvuto hadi katika nchi yenye matatizo ya kuibia watu bando la internet

Naam Baba Raila byebye kwishney , mtaalamu wako wa IT bwana Njoroge kakusaliti vibaya sana ka mislead ma lawyers haswa miss soweto wakajichoresha mahakamani,Ruto hatari sana

View attachment 2343408View attachment 2343409View attachment 2343410
UNA AMINI WEWE SIO WANAVYOAMINI MAJAJI
 
Back
Top Bottom