njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
-
- #21
hahahahahaha embu soma ya huyu jamaa wa raila aliyepigwa chini ubunge anakuambia hizo bulbs zinageuza mchana kuwa giza na walipokamata baadhi ili wapeleke mahakamani kama ushahidi zikayeyeuka kama maji in 7 hrsNimeamini ule msemo wa "Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu"
Raila kafanya kazi kubwa sana kuing'oa KANU madarakani na imekuwa Chama cha Upinzani .
Afrika na wizi wa kura hakuna HAKI.hahahahahaha embu soma ya huyu jamaa wa raila aliyepigwa chini ubunge anakuambia hizo bulbs zinageuza mchana kuwa giza na walipokamata baadhi ili wapeleke mahakamani kama ushahidi zikayeyeuka kama maji in 7 days
View attachment 2343485
Kibera ipi hiyo? Nairobi ni ya Raila tokea 1990s huko haiwezi ponyoka hata agombee mara elfu!! Siasa za kule ni za ukabila sio ajenda Wala sera.Hawawezi upeo wao kwa sasa ni mkubwa mnoo, ila lazima Raila atalazimisha machafuko sababu hata hii kesi inayoendelea alitaka wafuasi wake wafanye sit down nje ya mahakama baadaaye akaghairi, maskini wa kibera walimuambia wamechoka kutumika na mtu anayedai kuibiwa kila uchaguzi tena safari hii akisaidiwa na incumbent
Amekua makamu miaka 10 kafanya nini? Mie nasave hizi thread wakenya watajuta.hahahahaha kwa taarifa yako wakikuyu weeeengi wamempa ruto hawataki mjaluo labda watu wa kisumu ndiyo watakunja, cha kwanza Ruto kaahidi kufanyia kazi ni kushusha bei ya unga, in few days akifanikisha hakuna atakumbuka ujinga wa Raila
Mmeshindwa kwenda mahakamani kupinga tozo. Ila ni Wajuaji wa Mambo ya Kenya! Wabongo bhanaa.
hahaha drama zilee, madai yaliunganishwa yakajaa kwenye ki note book, kenya ina majaji very sharp na wana IQ kubwa sana tuwapongeze maana kuna nchi majaji wake wanatia huruma hata hukumu zao za kiiingereza zinachekesha sanaKwa hiyo lile scania alilikwenda nalo mahakamani kwa mbwembwe likiwa limejaa ushaidi kumbe yalikuwa ni matakataka?
wenyewe wanakuambia ni political science eti, ushaona wapi mbunge kapendekezwa na chama halafu kikaenda kumtoa jela na kuhakikishwa anaapishwa gereji ya bungeYani tunashabikia mambo ya Kenya wakati hapa Kuna kesi ya kina Halima Mdee inapigwa danadana ili miaka mitano iishe.
Rutto is energetic bana kwamiaka 3 ya mwisho alitengwa kabisa, naamini ataipeleka kenya mbele ,yule mzee hata kwenye misa anasinzia? Raila project ya Uhuru ili aendelee kutawala through backdoorAmekua makamu miaka 10 kafanya nini? Mie nasave hizi thread wakenya watajuta.
Then usidanganye, turn out ya Wakikuyu ilikua ndogo otherwise asingeshinda kwa gap ya 0.4%!!
Then Raila kapata kura za Wakikuyu kuliko chaguzi zote combined hivi ni lini Odinga angepata kura zote zile Nakuru au Kiambu?
hawezi ndiyo maana alichagua burundi kuchafuchafu kwenye wajinga wanaofanania na Tanzania na wanafiki kama wenzao wa kigoma..Mh.Mwigulu Nchemba angetushauri tuhamie Kenya.
Ruto kacheza hii game smart sana, leo ushahidi wa huyo njoroge uliotumiwa na ma lawayers wa Raila umegeuka kichekesho
Raila kaangushwa na vingi, hakuwa hata na ma agents karibu asilimia 50 ya pllling stations, kina Joho, Junet Mohamed walikula hel ya agents wakaweka nguvu mombasa tu na kuna mazungumzo ya simu walirekodiwa wakimkebehi Raila
Subiri jumatatu baada ya hukumu timbwili litakalozuka huko azimio
kwa conclusion ya leo ya jaji mkuu Koome naona kama jumatatu atakataa madai ya servers kudukuliwa sababu forms physically zilihesabiwa ila atashauri tume ya uchaguzi ifanyiwe marekebisho
Hustler anaapishwa tarehe 13....huyo Mganga hana watu wa mikakati na washauri wazuri linapokuja suala la kushinda uchaguzi...
Raila hajui kushinda uchaguzi ni mikakati...alidhani deep state itaagiza atangazwe hata asiposhinda...imekula kwake...aende Bondo apumzike sasa
Mkuu Ruto ni fisadi ni suala la muda tu tutakuja wote kukumbushana humu. Haiwezekani "muuza kuku" apate uongozi awe billionaire!! Hapana it's not right!! Majaji wawe wazalendo wafute matokeo in fact mahakama hiyo hiyo ilimkuta Rigathi na hatia ya kufuja mabilioni ya Nairobi county so they are not fit for office!!Rutto is energetic bana kwamiaka 3 ya mwisho alitengwa kabisa, naamini ataipeleka kenya mbele ,yule mzee hata kwenye misa anasinzia? Raila project ya Uhuru ili aendelee kutawala through backdoor
Au walitaka atawale mwaka mmoja wamle kichwa makamu wake Martha karua achukue nchi wamuendeshe kwa remote control
Hawawezi upeo wao kwa sasa ni mkubwa mnoo, ila lazima Raila atalazimisha machafuko sababu hata hii kesi inayoendelea alitaka wafuasi wake wafanye sit down nje ya mahakama baadaaye akaghairi, maskini wa kibera walimuambia wamechoka kutumika na mtu anayedai kuibiwa kila uchaguzi tena safari hii akisaidiwa na incumbent
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] salute kiongozi[emoji120][emoji120]mahakama iko nairobi au kinondoni? majaji wapi sasa we mzeeee? embu tumia akili bana tunazungumzia majaji wa kenya, kuna jaji hapa atapingana na kauli ya mwigulu kwamba wananchi wanaifurahia tozo na waliipendekeza?
unataka akose marupurupu?
hela nyingi aliiba kipindi cha KANu akiwa mkuu wa vijana wa chama walipewa kazi ya kusambaza mapesa mtaani kama rushwa hadi uchumi wa kenya ukaanguka in 1992Mkuu Ruto ni fisadi ni suala la muda tu tutakuja wote kukumbushana humu. Haiwezekani "muuza kuku" apate uongozi awe billionaire!! Hapana it's not right!! Majaji wawe wazalendo wafute matokeo in fact mahakama hiyo hiyo ilimkuta Rigathi na hatia ya kufuja mabilioni ya Nairobi county so they are not fit for office!!
NB: Raila kaanza siasa Kenyatta akiwa Bado ananyonya Maziwa!! In fact it's Raila who partly ended uhuru in 2002, how comes awe project ya junior kama Uhuru?