Awashughulikie bila huruma. Eti GenZ hawatak Mawaziri wa zamani warejeshwe kwenye baraza. Katiba inakata Hilo?Tanzania tunaishi kwa hisani ya Rais na hakuna mtu anahoji, watu wanapotea na mambo ya ajabu ajabu lakini kimya, Ruto shughulika nao mwanzo nilikuwa upande wao kumbe ni wajinga