howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 242
- 392
Bandugu hamjambo?
Hivi mwakumbuka ujinga wa kuita viongozi wa Dini Ikulu na kupiga nao stori za kijinga, uku akiishia kuwawekea SADAKA zilizojaa DAMU za watu walio kuwa wanauliwa na kutupwa kwenye viroba na kutupwa jalalani kulikotokea enzi za mwendazake?
Sikuwai sikia kiongozi wa Dini yyte aliyejitokeza kupigia kelele unyama huo mpk wa leo.
Wengi wetu tulimwona Magufuli kama Mungu mtu,viongozi wa Dini ikifika hatua viongozi kama mwamposa wakaamua kuchagua kabira kubwa la wachaga na kuwatoa kafara hakuna aliyeguswa.
Nauoma ujinga huo alio ufanya Magufuli na Akaishia kufa kifo Cha MENDE, Rais Ruto na Mkewe wanaurudia ebu tizama picha hii utaona kiongozi wa Dini anaingia mikono mitupu anatoka na bahasha kubwa iliyojaa pesa za walipa Kodi.
Hiyo ni sadaka au kitu gani?Kwa nn hisipelekwe mazabauni itakaswe?bahasha imekuwa kubwa mpaka mchugaji anaonekana kulemewa minoti anashindwa hata kuificha
Ujumbe wangu Ruto na mkeo peleka sadaka mazabauni Ikulu sio pahala pa ulanguzi
Watawala wa zamani walikuwa na hekimaTangu zama za mababu watumishi wa Mungu (mitume na manabii) hufanya kazi chini ya watawa wa nchi (marais/wafalme)
Na watawala wanashirikiana na watumishi wa Mungu kufanikiwa kufanya kazi kwa amani sababu zipo siri au tafsiri za ndoto au maono ambazo hakuna anayeweza kuwa nayo isipokua wale waliokirimiwa na Mungu
Acha amani itawale
Sio hawa mitume na manabii wa mchongoTangu zama za mababu watumishi wa Mungu (mitume na manabii) hufanya kazi chini ya watawa wa nchi (marais/wafalme)
Na watawala wanashirikiana na watumishi wa Mungu kufanikiwa kufanya kazi kwa amani sababu zipo siri au tafsiri za ndoto au maono ambazo hakuna anayeweza kuwa nayo isipokua wale waliokirimiwa na Mungu
Acha amani itawale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]inawezekana ikawa mabaki ya half cake baba askofu kazielewa akaomba afungiwe kiporo π π π π
Sio hawa mitume na manabii wa mchongo
Ahaha,wagalatia mnachekesha,natamani Samia siku moja awaalike mashehe na maimamu ikulu awape sadaka ya namna yoyote,sipati picha jinsi mtavyotukana humu na chuki zenu kwa hiyo diniWewe utakua ni mpumbavu, unasema ujinga ilihali wewe ndo mjinga, hakuna mamlaka isiyo toka kwa MUNGU kwa makusudi yake, wewe unaita ujinga? Farasi wewe
Bandugu hamjambo?
Hivi mwakumbuka ujinga wa kuita viongozi wa Dini Ikulu na kupiga nao stori za kijinga, uku akiishia kuwawekea SADAKA zilizojaa DAMU za watu walio kuwa wanauliwa na kutupwa kwenye viroba na kutupwa jalalani kulikotokea enzi za mwendazake?
Sikuwai sikia kiongozi wa Dini yoyote aliyejitokeza kupigia kelele unyama huo mpaka wa leo.
Wengi wetu tulimwona Magufuli kama Mungu mtu,viongozi wa Dini ikifika hatua viongozi kama mwamposa wakaamua kuchagua kabira kubwa la wachaga na kuwatoa kafara hakuna aliyeguswa.
Nauoma ujinga huo alio ufanya Magufuli na Akaishia kufa kifo Cha MENDE, Rais Ruto na Mkewe wanaurudia ebu tizama picha hii utaona kiongozi wa Dini anaingia mikono mitupu anatoka na bahasha kubwa iliyojaa pesa za walipa Kodi.
Hiyo ni sadaka au kitu gani? Kwa nn hisipelekwe mazabauni itakaswe?bahasha imekuwa kubwa mpaka mchugaji anaonekana kulemewa minoti anashindwa hata kuificha.
Ujumbe wangu Ruto na mkeo peleka sadaka mazabauni Ikulu sio pahala pa ulanguzi.
View attachment 2359610View attachment 2359611
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23] hii spana imenichekesha hakyana ne!Magufuli alikuachia mimba ya miezi mingapi?
Acha tu awe maarufu maradufu, la muhimu keshakufa kizembe na hatorudi tena na wala hatutomuona tena.Magufuli anazidi kuwa maarufu.
Kwa namna awamu hii ilivyopwaya hatuachi kumkumbuka.
Kama sio mwizi. Utakua tapeli . au ulifukuzwa kwa vyeti feki.Acha tu awe maarufu maradufu, la muhimu keshakufa kizembe na hatorudi tena na wala hatutomuona tena.
Ashukuriwe Mungu Mkuu kutuondoshea dhalimu lile
Hangaika na mambo unayoyawezaBandugu hamjambo?
Hivi mwakumbuka ujinga wa kuita viongozi wa Dini Ikulu na kupiga nao stori za kijinga, uku akiishia kuwawekea SADAKA zilizojaa DAMU za watu walio kuwa wanauliwa na kutupwa kwenye viroba na kutupwa jalalani kulikotokea enzi za mwendazake?
Sikuwai sikia kiongozi wa Dini yoyote aliyejitokeza kupigia kelele unyama huo mpaka wa leo.
Wengi wetu tulimwona Magufuli kama Mungu mtu,viongozi wa Dini ikifika hatua viongozi kama mwamposa wakaamua kuchagua kabira kubwa la wachaga na kuwatoa kafara hakuna aliyeguswa.
Nauoma ujinga huo alio ufanya Magufuli na Akaishia kufa kifo Cha MENDE, Rais Ruto na Mkewe wanaurudia ebu tizama picha hii utaona kiongozi wa Dini anaingia mikono mitupu anatoka na bahasha kubwa iliyojaa pesa za walipa Kodi.
Hiyo ni sadaka au kitu gani? Kwa nn hisipelekwe mazabauni itakaswe?bahasha imekuwa kubwa mpaka mchugaji anaonekana kulemewa minoti anashindwa hata kuificha.
Ujumbe wangu Ruto na mkeo peleka sadaka mazabauni Ikulu sio pahala pa ulanguzi.
View attachment 2359610View attachment 2359611