Ruto: Vile Wakenya wameikataa "Finance Bill", tutakopa Tsh. Trilioni 20.6 (Ksh.1 T) ili nchi iweze kujiendesha

Ruto: Vile Wakenya wameikataa "Finance Bill", tutakopa Tsh. Trilioni 20.6 (Ksh.1 T) ili nchi iweze kujiendesha

China hawajengi miradi kwa sifa za kijinga. Wanajenga kile wanachohitajika kuwa nacho.

Sasa Tanzania unajenga SGR matrilioni ya pesa ili ubebe watu kwa nauli ya sijui elfu 30 kwenda Dodoma, hela yenyewe umekopa. Hizo ni akili?

Badala ukope ujenge viwanda vya sukari, nguo, small oil refinery au mradi wa kufua chuma. Wewe unakopa ujenge miundombinu ambayo kazi kubwa ni kupigia picha.
Wenda hufahamu China miradi ipo chini ya SOEs miradi mingi ya China mengine hufanyika hata pale palipo na uhitaji mdogo.

Hizi HSR, bridges kuna mahali zinafanyika construction kwa akili ya kipebari unaweza sema ni miradi ya kipigaji isiyo na tija mahali hapo lakini ukikumbuka kuwa China ni nchi ya falsafa ipi unaelewa wanacho fanya.

By the way lengo langu lilikuwa sio kujifananisha na China bali kujua wapi China wanafanikiwa tofauti na sisi tunaoachwa na rundo la madeni tunabaki kulalamika na kuwapa miradi wageni watuokoe.
 
Wenda hufahamu China miradi ipo chini ya SOEs miradi mingi ya China mengine hufanyika hata pale palipo na uhitaji mdogo.

Hizi HSR, bridges kuna mahali zinafanyika construction kwa akili ya kipebari unaweza sema ni miradi ya kipigaji isiyo na tija mahali hapo lakini ukikumbuka kuwa China ni nchi ya falsafa ipi unaelewa wanacho fanya.

By the way lengo langu lilikuwa sio kujifananisha na China bali kujua wapi China wanafanikiwa tofauti na sisi tunaoachwa na rundo la madeni tunabaki kulalamika na kuwapa miradi wageni watuokoe.
Wameshakua kiuchumi,wame mature so wanaweza fanya hivyo.

Hapa Tanzania Bado tunapambana na umaskini,hayo mamiradi ya mapambo ndio yatazidi kuongeza umaskini badala ya kupunguza.
 
Rais wa Kenya ,William Ruto amesema kutokana na Wananchi wa Kenya kuukataa mswaada wa sheria ya Bajeti Maarufu kama Finance Bill uliozua Maandamano makubwa, Serikali yake italazimika kukopa Zaidi ya Shilingi Trilioni 20.6 ( Ksh.1Trilioni) za kulipia Madeni na kugharamia mambo mengine ya serikali.

Ruto amesema hatua hiyo ni sawa na kurudi nyuma miaka 2 😁😁👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1807844155281797191?t=_0LXMMUVV_ybPZs65UYj9A&s=19

My Take
Kenya imefika huko kutokana na Mamiradi mengi makubwa chini ya Rais Hayati Mwai Kibaki na Reli ya SGR ya Uhuru Kenyatta.

Mwenzako akinyolewa zako tia maji.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C86wRT4tMqV/?igsh=eDB1ZWs2YmNvZDJ4

Mnaposhangilia Sgr mkae mkijua ni mikopo na italazimika kuja kulipwa. Hakuna sababu ya kukurupukia miradi mikubwa ya kupigia picha za kisiasa "cosmetic projects" kama hakuna huo ulazima.

Pia soma Marais Museveni wa Uganda & Mwinyi wa Zanzibar Wamekataa Itikadi za Kijamaa, Bajeti zao kugharamiwa na Mikopo kwa 60%

Ukiona mwenzio ananyolewa zako tia maji
 
Walienda kidogo kidogi siyo kukurupuka kama jpm kila akiota anakuja na mamiradi inayoighrimu serikali na watu. Ndo mana alifikia hatua kuvamia na kuiba kwenye personal accounts za watu ili tu miradi iende.
Wachina hawajawahi kwenda kidogo kidogo katika maendeleo ya taifa lao.

Hakuna taifa duniani lililoweza fikia rekodi ya China ya ukuaji wa kasi wa uchumi na hakuna ukuaji wa kasi wa uchumi kama miundombinu ni ya hovyo.

Labda kama hufahamu moja ya principle ya wachina katika maendeleo ni ujenzi wa miundombinu.

Wachina hawanaga tabia za uslow slow.

Pamoja ya kwamba sikuwahi kukubaliana na Magufuli na baadhi ya maamuzi yake.
 
Wameshakua kiuchumi,wame mature so wanaweza fanya hivyo.

Hapa Tanzania Bado tunapambana na umaskini,hayo mamiradi ya mapambo ndio yatazidi kuongeza umaskini badala ya kupunguza.
Wamekua kiuchumi ?😀 wachina hawajaanza kujenga leo.

Fanyeni mabadiliko katika sera za kiuchumi, imarisheni Central Bank.

Hivi hata Construction Bank ipo ?
 
Wenda hufahamu China miradi ipo chini ya SOEs miradi mingi ya China mengine hufanyika hata pale palipo na uhitaji mdogo.

Hizi HSR, bridges kuna mahali zinafanyika construction kwa akili ya kipebari unaweza sema ni miradi ya kipigaji isiyo na tija mahali hapo lakini ukikumbuka kuwa China ni nchi ya falsafa ipi unaelewa wanacho fanya.

By the way lengo langu lilikuwa sio kujifananisha na China bali kujua wapi China wanafanikiwa tofauti na sisi tunaoachwa na rundo la madeni tunabaki kulalamika na kuwapa miradi wageni watuokoe.
China wanakopa hela yenye riba nje ya nchi kujenga hizo SOEs zako?

China hawana njaa kama sisi. Yaani viwanda vya kutengeneza chupi za kufunikia matako hatuna, pampaz na karatasi za hedhi tunatoa uko China. Na pamba tunayo kilimo chake kimelala, viwanda vya nguo vimekufa tunanunua vitenge na mitumba nje kwa matrilioni ya shilingi kwa mwaka.

Hata karatasi zote tunanunua nje wakati magogo yapo miti ya kutosha nchi 40% ya eneo lake ni hifadhi na uoto.

Alafu unakopa matrilioni yenye riba, unawekeza kwenye miradi mabayo haizalishi direct. Matokeo yake inabidi uongeze kodi kwa wananchi ili kulipa madeni. Ni upumbavu huo.

Hizo trilioni zote zingewekezwa kwenye textile industry tukazalisha makumi elfu ya tani za nguo automatically tungefufua kilimo cha pamba, tungeuza nje na kufufua thamani ya shilingi yetu, tukaongeza idadi kubwa sana ya ajira viwanda vyote vya textile kama Sunguratext, Mwatext, Urafiki, etc vingefufuka na kuanzishwa vipya. Bado ajira za maelfu kwenye kilimo.

Ndani ya miaka miwili tungeanza kulipa deni la mkopo. Sasa unakopa unatandaza vyuma ardhini na kujenga madaraja juu, alafu unasubiri eti wazungu waje wajenge viwanda, uwape tax free period, wamalize walipe kodi, ndio upate trilioni 11 za mkopo. Bado hujaongeza riba, inflation na ucheleweshwaji wa malipo.

Akili hizi za makamasi huwezi zikuta kwa hao Wachina.
 
China wanakopa hela yenye riba nje ya nchi kujenga hizo SOEs zako?

China hawana njaa kama sisi. Yaani viwanda vya kutengeneza chupi za kufunikia matako hatuna, pampaz na karatasi za hedhi tunatoa uko China. Na pamba tunayo kilimo chake kimelala, viwanda vya nguo vimekufa tunanunua vitenge na mitumba nje kwa matrilioni ya shilingi kwa mwaka.

Hata karatasi zote tunanunua nje wakati magogo yapo miti ya kutosha nchi 40% ya eneo lake ni hifadhi na uoto.

Alafu unakopa matrilioni yenye riba, unawekeza kwenye miradi mabayo haizalishi direct. Matokeo yake inabidi uongeze kodi kwa wananchi ili kulipa madeni. Ni upumbavu huo.

Hizo trilioni zote zingewekezwa kwenye textile industry tukazalisha makumi elfu ya tani za nguo automatically tungefufua kilimo cha pamba, tungeuza nje na kufufua thamani ya shilingi yetu, tukaongeza idadi kubwa sana ya ajira viwanda vyote vya textile kama Sunguratext, Mwatext, Urafiki, etc vingefufuka na kuanzishwa vipya. Bado ajira za maelfu kwenye kilimo.

Ndani ya miaka miwili tungeanza kulipa deni la mkopo. Sasa unakopa unatandaza vyuma ardhini na kujenga madaraja juu, alafu unasubiri eti wazungu waje wajenge viwanda, uwape tax free period, wamalize walipe kodi, ndio upate trilioni 11 za mkopo. Bado hujaongeza riba, inflation na ucheleweshwaji wa malipo.

Akili hizi za makamasi huwezi zikuta kwa hao Wachina.
Bank za kiserikali ndizo zinatoa pesa uchina katika miradi kinyume na hapa bongo.
 
Rais wa Kenya ,William Ruto amesema kutokana na Wananchi wa Kenya kuukataa mswaada wa sheria ya Bajeti Maarufu kama Finance Bill uliozua Maandamano makubwa, Serikali yake italazimika kukopa Zaidi ya Shilingi Trilioni 20.6 ( Ksh.1Trilioni) za kulipia Madeni na kugharamia mambo mengine ya serikali.

Ruto amesema hatua hiyo ni sawa na kurudi nyuma miaka 2 😁😁👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1807844155281797191?t=_0LXMMUVV_ybPZs65UYj9A&s=19

My Take
Kenya imefika huko kutokana na Mamiradi mengi makubwa chini ya Rais Hayati Mwai Kibaki na Reli ya SGR ya Uhuru Kenyatta.

Mwenzako akinyolewa zako tia maji.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C86wRT4tMqV/?igsh=eDB1ZWs2YmNvZDJ4

Mnaposhangilia Sgr mkae mkijua ni mikopo na italazimika kuja kulipwa. Hakuna sababu ya kukurupukia miradi mikubwa ya kupigia picha za kisiasa "cosmetic projects" kama hakuna huo ulazima.

Pia soma Marais Museveni wa Uganda & Mwinyi wa Zanzibar Wamekataa Itikadi za Kijamaa, Bajeti zao kugharamiwa na Mikopo kwa 60%

Alikosea sana kutosaini bill hiyo
 
Wamekua kiuchumi ?😀 wachina hawajaanza kujenga leo.

Fanyeni mabadiliko katika sera za kiuchumi, imarisheni Central Bank.

Hivi hata Construction Bank ipo ?
Sio lazima hiyo construction Bank Kuna Benki ya Uwekezaji na Mitaji TIB.

Sera za Uchumi zinaendelea kufanyika ,mama ndio atabadili sera za ajabu ajabu zilizokuwepo mfano Kwa Sasa kwenye ujenzi amewapa exclusively rights za Bilioni 50 Kwa wakandarasi wazawa kutoka Bilioni 10.

The Government is working on Samia Bond Infrastructure ambayo itakuwa inawapa Mitaji wakandarasi wa ndani.

Tayari mamlaka za maji zimeanza kutoa bond ambazo zitawawezesha kupata hela za Miradi eg Mamlaka ya maji Tanga imepata hela Kwa utaratibu huo huo kwenye soko la ndani nk nk
 
Back
Top Bottom