Acha kupeleka uzezeta wa kitanzania Kenya.Mheshimiwa pona yako ili kubaki ikulu ni kuzima Internet kama Tanganyika 2020 ili hao Gen Zero wapotezane huko mtandaoni. Vinginevyo Julai haiishi unaondoka
Punguza kimbelembele kwa mambo ya nchi nyingine.Kenya wanacheza na Nyani, inashangaza kina KTN mpaka sasa wapo hewani .
Atakuwa amekoleza moto akifanya hivyo.Funga shule na vyuo vyote, zima umeme kwa muda wa alafu suspect mitandao ya kijamii.
Ukijua wapi wapo! Zima internet japo kuna hatari ya kuamsha balaa zaidi...
Punguza dhihaka. Unajifanya una hasira na mambo ya wengine.Baada ya kuzima Internet ndo aanze kuwapelekea chuma hao Gen Zirooooo!
Kwani nchi ni mali yake? Mna fikra za kutawaliwa kijima milele.Kenya wanacheza na Nyani, inashangaza kina KTN mpaka sasa wapo hewani .
Walete hao kwenye mstari aseee. Mie nimeshawashindwa eti.Bongo mngeangalia ya kwenu. Mna mambo mengi ya hovyo mbona hamna time nayo? Kazi kushadadia ya wenzenu tu
Mheshimiwa pona yako ili kubaki ikulu ni kuzima Internet kama Tanganyika 2020 ili hao Gen Zero wapotezane huko mtandaoni. Vinginevyo Julai haiishi unaondoka..
Linda cheo chako na washkaji zako.
BTW Chebukati kaenda wapi?
Kenya sio mapimbi kama ww huko wanajielewa unafikiri km hukuWaziri wa Habari ni Nani? huko mbona hapigi simu moja tu. Internet izimwe nchi nzima?
Huyo chawa mzeeAcha kupeleka uzezeta wa kitanzania Kenya.
Mambo ya nchi ya kipuuzi unataka kuyaleta kenya?!! Kule askari magereza amejiunga na waandamaji!!! Kwa sasa kazi anayo hata hajui sasa hawa vijana wanataka nini?!!Kenya wanacheza na Nyani, inashangaza kina KTN mpaka sasa wapo hewani .
Kenya kuna SPACE X internet ambayo huwezi kuizima labda aamue eron muskTunisia na Misri walizima internet na bado wakaondoka.
Mkuu intelligence itakuwa imeenda vocation...Atakuwa amekoleza moto akifanya hivyo.
AiseBaada ya kuzima Internet ndo aanze kuwapelekea chuma kimya kimya hao Gen Zirooooo mpaka waishe wote