Ruvuma: Watu wawili wanaodaiwa kuwa Majambazi wamefariki Dunia baada ya kujeruhiwa wakati wakitaka kufanya uhalifu

Siku hizi siamini hizi taarifa za polisi.
Nawasi wasi wanafanya biashara ya mauaji.
They kill for money then wanampa muathilika ujambazi
Kwa hiyo zamani ulikuwa unaamini taarifa zao?. Elekea wewe hujakumbana na sekeseke za majambazi ndio maana unawaponda Polisi. I wish siku moja ukutane na mkono wa wezi au ndugu yako ndio utajua wanachokifanya polisi kina umuhimu gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…