Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Japo ile clip ya Rwakatare kwenye Utube ni "bonafide genuine", nikimaanisha ni video ya ukweli na sio ya kupikwa au kufanyiwa maujanja yoyote, bali kwa mujibu wa sheria zetu za ushahidi, "law of Evidence", Lwakatare hawezi kushitakiwa kwa sababu ushahidi wa video ya utube hauwezi kutumika mahakamani kwa vile Tanzania bado hatuna e-legistlation on e-evidence.
Kwa mujibu wa sheria zetu, evidence must be original!. Hata wale vijana wa Ze Utamu wangekamatwa, wasingeweza kushitakiwa na hata ukimtukana mtu kwa kutumia e-mail au website, huwezi kushitakiwa!.
Kwenye E-laws kuna sheria mbili tulizipitisha ikiwemo Sosper, Anti Money Loundering na Sheria ya Anti Terorrist ambazo zote zina vipengele vya kukubali e-evidence lakini sina uhakika kama sheria zote hizi zilitengenezewa regulations za namna ya kutumika.
Mwaka 2006, nakumbuka wanasheria madada wawili, Dr. Hawa Senare na mdogo wake Mwanaidi Maajar, waliandika makala ndefu kuhusu madhara ambayo Tanzania itayapata kwa ukosefu wa E-law!.
Nimefanya mapitio ya baadhi ya sheria zetu kuhusu hili, ili audio na video, ikubalike kuwa ni ushahidi, inapaswa iwe ni the original recoding and not duplicate ya kwenye you tube. Wakifanikiwa kuipata computer iliyopandandisha kule youtube, wataichukua as an evidence, ushahidi wa storage devices kama DVD, Hard Disc na flash pia unakubalika kwa mujibu wa sheria ya Electronic Evidence Amendment Act 2007 yaliyopelekea kuongezwa kwa kifungu 40A kwenye sheria yetu ya Tanzania Evidence Act 1967 ambayo inaruhusu Information retrieved from computer systems, networks or servers; or records obtained through surveillance of means of preservation of information including facsimile machines, electronic transmission and communication facilities, the audio or video recording of acts or behaviours or conversation of persons charged utakubaliwa kama ushahidi, lakini video ile haiwezi kukubaliwa kwa sababu haujapatikana kwenye storage devices!.
Wangeweza kutumia kifungu namba 78 cha Tanzania Evidence Act ambacho kimeongezewa kipengele cha 78A ili kuruhusu printed out records kept or information system including but not limited to computers and storage devices , magnetic tapes, microfilm, video or computer display screen or any other form of mechanical or electronic data retrieval mechanism or other process which in itself ensures the accuracy of such print out, shall be received as evidence, kwa kuhalalisha download ya youtube, lakini hili litagonga mwamba in absence ya aliye upload ile video.
Najua nyingi ya hoja zitahusu "bonafide genuine", ile kwa sisi tunaofanya kazi za Audio Visual day&night, utatambua kwa naked ayes tuu kama picha imefanyiwa maujanja kwa kutazama flow na frames na utatambua kama imefanyiwa maujanja ya sauti kwa kusikiliza flow ya sauti na kuilinganisha na synchronization ya sound na lip movements!, hata waje wataalamu kutoka mbinguni, huwezi ku sinc 100% perfect!.
Nawatayarishia vipengele mahsusi vya kisheria ambavyo wangeweza kuvitumia na kwa kwanini hawawezi.
Angalizo: Hapa ninazungumzia ile clip ya utube tuu!, ikitokea original video ikapatikana!, hapa tutakuwa tunazungumza mengine!.
Paskali.
NB. Paskali sio mwanasheria bali alipitia pale UDSM Kitivo cha Sheria na kutoa tongotongo za sheria kwa kipindi cha miaka 4 full time!. Kwa sasa anaendeleza kazi ya Uandishi wa Habari wa Kujitegemea kwa Kujitolea!.
Kwa wale wenye interest zaidi kisheria, mnaweza kupitia hii link
ADMISSIBILITY OF ELECTRONIC EVIDENCE IN TANZANIA
Japo ile clip ya Rwakatare kwenye Utube ni "bonafide genuine", nikimaanisha ni video ya ukweli na sio ya kupikwa au kufanyiwa maujanja yoyote, bali kwa mujibu wa sheria zetu za ushahidi, "law of Evidence", Lwakatare hawezi kushitakiwa kwa sababu ushahidi wa video ya utube hauwezi kutumika mahakamani kwa vile Tanzania bado hatuna e-legistlation on e-evidence.
Kwa mujibu wa sheria zetu, evidence must be original!. Hata wale vijana wa Ze Utamu wangekamatwa, wasingeweza kushitakiwa na hata ukimtukana mtu kwa kutumia e-mail au website, huwezi kushitakiwa!.
Kwenye E-laws kuna sheria mbili tulizipitisha ikiwemo Sosper, Anti Money Loundering na Sheria ya Anti Terorrist ambazo zote zina vipengele vya kukubali e-evidence lakini sina uhakika kama sheria zote hizi zilitengenezewa regulations za namna ya kutumika.
Mwaka 2006, nakumbuka wanasheria madada wawili, Dr. Hawa Senare na mdogo wake Mwanaidi Maajar, waliandika makala ndefu kuhusu madhara ambayo Tanzania itayapata kwa ukosefu wa E-law!.
Nimefanya mapitio ya baadhi ya sheria zetu kuhusu hili, ili audio na video, ikubalike kuwa ni ushahidi, inapaswa iwe ni the original recoding and not duplicate ya kwenye you tube. Wakifanikiwa kuipata computer iliyopandandisha kule youtube, wataichukua as an evidence, ushahidi wa storage devices kama DVD, Hard Disc na flash pia unakubalika kwa mujibu wa sheria ya Electronic Evidence Amendment Act 2007 yaliyopelekea kuongezwa kwa kifungu 40A kwenye sheria yetu ya Tanzania Evidence Act 1967 ambayo inaruhusu Information retrieved from computer systems, networks or servers; or records obtained through surveillance of means of preservation of information including facsimile machines, electronic transmission and communication facilities, the audio or video recording of acts or behaviours or conversation of persons charged utakubaliwa kama ushahidi, lakini video ile haiwezi kukubaliwa kwa sababu haujapatikana kwenye storage devices!.
Wangeweza kutumia kifungu namba 78 cha Tanzania Evidence Act ambacho kimeongezewa kipengele cha 78A ili kuruhusu printed out records kept or information system including but not limited to computers and storage devices , magnetic tapes, microfilm, video or computer display screen or any other form of mechanical or electronic data retrieval mechanism or other process which in itself ensures the accuracy of such print out, shall be received as evidence, kwa kuhalalisha download ya youtube, lakini hili litagonga mwamba in absence ya aliye upload ile video.
Najua nyingi ya hoja zitahusu "bonafide genuine", ile kwa sisi tunaofanya kazi za Audio Visual day&night, utatambua kwa naked ayes tuu kama picha imefanyiwa maujanja kwa kutazama flow na frames na utatambua kama imefanyiwa maujanja ya sauti kwa kusikiliza flow ya sauti na kuilinganisha na synchronization ya sound na lip movements!, hata waje wataalamu kutoka mbinguni, huwezi ku sinc 100% perfect!.
Nawatayarishia vipengele mahsusi vya kisheria ambavyo wangeweza kuvitumia na kwa kwanini hawawezi.
Angalizo: Hapa ninazungumzia ile clip ya utube tuu!, ikitokea original video ikapatikana!, hapa tutakuwa tunazungumza mengine!.
Paskali.
NB. Paskali sio mwanasheria bali alipitia pale UDSM Kitivo cha Sheria na kutoa tongotongo za sheria kwa kipindi cha miaka 4 full time!. Kwa sasa anaendeleza kazi ya Uandishi wa Habari wa Kujitegemea kwa Kujitolea!.
Kwa wale wenye interest zaidi kisheria, mnaweza kupitia hii link
ADMISSIBILITY OF ELECTRONIC EVIDENCE IN TANZANIA