Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Japo ile clip ya Rwakatare kwenye Utube ni "bonafide genuine", nikimaanisha ni video ya ukweli na sio ya kupikwa au kufanyiwa maujanja yoyote, bali kwa mujibu wa sheria zetu za ushahidi, "law of Evidence", Lwakatare hawezi kushitakiwa kwa sababu ushahidi wa video ya utube hauwezi kutumika mahakamani kwa vile Tanzania bado hatuna e-legistlation on e-evidence.

Kwa mujibu wa sheria zetu, evidence must be original!. Hata wale vijana wa Ze Utamu wangekamatwa, wasingeweza kushitakiwa na hata ukimtukana mtu kwa kutumia e-mail au website, huwezi kushitakiwa!.

Kwenye E-laws kuna sheria mbili tulizipitisha ikiwemo Sosper, Anti Money Loundering na Sheria ya Anti Terorrist ambazo zote zina vipengele vya kukubali e-evidence lakini sina uhakika kama sheria zote hizi zilitengenezewa regulations za namna ya kutumika.

Mwaka 2006, nakumbuka wanasheria madada wawili, Dr. Hawa Senare na mdogo wake Mwanaidi Maajar, waliandika makala ndefu kuhusu madhara ambayo Tanzania itayapata kwa ukosefu wa E-law!.

Nimefanya mapitio ya baadhi ya sheria zetu kuhusu hili, ili audio na video, ikubalike kuwa ni ushahidi, inapaswa iwe ni the original recoding and not duplicate ya kwenye you tube. Wakifanikiwa kuipata computer iliyopandandisha kule youtube, wataichukua as an evidence, ushahidi wa storage devices kama DVD, Hard Disc na flash pia unakubalika kwa mujibu wa sheria ya Electronic Evidence Amendment Act 2007 yaliyopelekea kuongezwa kwa kifungu 40A kwenye sheria yetu ya Tanzania Evidence Act 1967 ambayo inaruhusu Information retrieved from computer systems, networks or servers; or records obtained through surveillance of means of preservation of information including facsimile machines, electronic transmission and communication facilities, the audio or video recording of acts or behaviours or conversation of persons charged utakubaliwa kama ushahidi, lakini video ile haiwezi kukubaliwa kwa sababu haujapatikana kwenye storage devices!.

Wangeweza kutumia kifungu namba 78 cha Tanzania Evidence Act ambacho kimeongezewa kipengele cha 78A ili kuruhusu printed out records kept or information system including but not limited to computers and storage devices , magnetic tapes, microfilm, video or computer display screen or any other form of mechanical or electronic data retrieval mechanism or other process which in itself ensures the accuracy of such print out, shall be received as evidence, kwa kuhalalisha download ya youtube, lakini hili litagonga mwamba in absence ya aliye upload ile video.
Najua nyingi ya hoja zitahusu "bonafide genuine", ile kwa sisi tunaofanya kazi za Audio Visual day&night, utatambua kwa naked ayes tuu kama picha imefanyiwa maujanja kwa kutazama flow na frames na utatambua kama imefanyiwa maujanja ya sauti kwa kusikiliza flow ya sauti na kuilinganisha na synchronization ya sound na lip movements!, hata waje wataalamu kutoka mbinguni, huwezi ku sinc 100% perfect!.

Nawatayarishia vipengele mahsusi vya kisheria ambavyo wangeweza kuvitumia na kwa kwanini hawawezi.
Angalizo: Hapa ninazungumzia ile clip ya utube tuu!, ikitokea original video ikapatikana!, hapa tutakuwa tunazungumza mengine!.

Paskali.
NB. Paskali sio mwanasheria bali alipitia pale UDSM Kitivo cha Sheria na kutoa tongotongo za sheria kwa kipindi cha miaka 4 full time!. Kwa sasa anaendeleza kazi ya Uandishi wa Habari wa Kujitegemea kwa Kujitolea!.
Kwa wale wenye interest zaidi kisheria, mnaweza kupitia hii link
ADMISSIBILITY OF ELECTRONIC EVIDENCE IN TANZANIA


 
naona unaisaka bahasha kutoka kundi la pili la sivyo unataka bahasha ya kundi la kwanza inenepe zaidi.
much respect Pasco
 
Last edited by a moderator:
naona unaisaka bahasha kutoka kundi la pili la sivyo unataka bahasha ya kundi la kwanza inenepe zaidi.
much respect Pasco
Mkuu Jack, si nimejieleza mimi ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea?!, hizo bahasha atoe nani na kwa malengo yepi?.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco vipi yule mzee wetu wa Monduli hajambao? Nasikia nae anapikiwa video yake na uangalie na wewe usije ukajikuta umeingia kwenye hilo genge la kuchomekewa video
 
Wataalam wa I.T na wengine wa uzoefu kazin, wanasema Feki na kuyataja mapungufu kadhaa ya video. Aliyesoma sheria miaka 4 ful T, anasema ni "bonafide genuine". bila kufafanua usahih wa mapungufu yaliyotajwa na wataalam.

Kama sio ushabik ni nin?

Baada ya muda analeta hoja sheria hazina makal na kwenye hiyohiyo anajishtukia na kusema najua watu watajadil "bonafide genuine"

Sheria miaka 4, KAZI= Uandish wa habar kujitegemea, na wala si mwanasheria.
 
Wanabodi,
Japo ile clip ya Rwakatare kwenye Utube ni "bonafide genuine", nikimaanisha ni video ya ukweli na sio ya kupikwa au kufanyiwa maujanja yoyote, bali kwa mujibu wa sheria zetu za ushahidi, "law of Evidence", Lwakatare hawezi kushitakiwa kwa sababu ushahidi wa video ya utube hauwezi kutumika mahakamani kwa vile Tanzania bado hatuna e-legistlation on e-evidence.

Kwa mujibu wa sheria zetu, evidence must be original!. Hata wale vijana wa Ze Utamu wangekamatwa, wasingeweza kushitakiwa na hata ukimtukana mtu kwa kutumia e-mail au website, huwezi kushitakiwa!.

Kwenye E-laws kuna sheria mbili tulizipitisha ikiwemo Sosper, Anti Money Loundering na Sheria ya Anti Terorrist ambazo zote zina vipengele vya kukubali e-evidence lakini sina uhakika kama sheria zote hizi zilitengenezewa regulations za namna ya kutumika.

Mwaka 2006, nakumbuka wanasheria madada wawili, Dr. Hawa Senare na mdogo wake Mwanaidi Maajar, waliandika makala ndefu kuhusu madhara ambayo Tanzania itayapata kwa ukosefu wa E-law!.

Naendelea kulifanyia mapitio hili jambo na ikitokea nikajikuta mimi ndio nimepitwa na wakati, nitaiondoa hii thread!.

Najua nyingi ya hoja zitahusu "bonafide genuine", ile kwa sisi tunaofanya kazi za Audio Visual day&night, utatambua kwa naked ayes tuu kama picha imefanyiwa maujanja kwa kutazama flow na frames na utatambua kama imefanyiwa maujanja ya sauti kwa kusikiliza flow ya sauti na kuilinganisha na syncronization ya sound na lip movements!, hata waje wataalamu kutoka mbinguni, huwezi ku sinc 100% perfect!.

Nawatayarishia vipengele mahsusi vya kisheria ambavyo wangeweza kuvitumia na kwa kwanini hawawezi.
Angalizo: Hapa ninazungumzia ile clip ya utube tuu!, ikitokea original video ikapatikana!, hapa tutakuwa tunazungunza mengine!.

Pasco.
NB. Pasco wa jf sio mwanasheria bali alipitia pale UDSM Kitivo cha Sheria na kutoa tongotongo za sheria kwa kipindi cha miaka 4 full time!. Kwa sasa anaendeleza kazi ya Uandishi wa Habari wa Kujitegemea kwa Kujitolea!.



Kwa nn umeleta thread ambayo huna hakika nayo? Vema kama ungekamilisha uchunguzi wako ili upate hakika wa sheria ipoje kwa sasa,na siyo unaleta maelezo ambayo ata wewe hujui kama ni sahihi au hapana kwa sasa.
Habari ya kusema " NAENDA KULIFANYIA MPITIO"
ulipaswa kufanya hivyo kwanza.
***nina mashaka na wasomi wetu wa siku hizi kama huu ndiyo utaratibu wenu***
 
Kwa nn umeleta thread ambayo huna hakika nayo? Vema kama ungekamilisha uchunguzi wako ili upate hakika wa sheria ipoje kwa sasa,na siyo unaleta maelezo ambayo ata wewe hujui kama ni sahihi au hapana kwa sasa.
Habari ya kusema " NAENDA KULIFANYIA MPITIO"
ulipaswa kufanya hivyo kwanza.
***nina mashaka na wasomi wetu wa siku hizi kama huu ndiyo utaratibu wenu***

mkuu umeandika pumba, pumba kabisa, yani pumba tupu... unajaribu kuwa critical lakini huna mchango wowote. kibaya zaidi ni hayo mashaka uliyo nayo, ati mashaka na wasomi, wewe ni nani?? mashaka ya nini?? umeshajicheki kwanza kama una quality yoyote??

Pasco has brought a good thread, kama huna la kuchangia kaa kimya!! JF haihitaji majaji au analyst ambao kazi yao ni mapitio ya mabandiko na kuonyesha mashaka

Mambaaaf wahed
 
shitaka ni kupanga njama na wala video clip aitazungumziwa kwa taarifa yako na ushaidi ajakamilika subili kesho saa 4 kisutu kwa kuwa we ni muandishi wa kujitegemea kama ulivyo jidadavua natumaini autakosa.....!!!ha!ha! mpaka raha
 
Mkuu Pasco sijui kwanini unataka kurudi nyuma kwa kuogopa kelele aukupoza mashabiki wa kisiasa
Maana naona unatetea hiyo Clip tu, mbona kuna ushahidi wa miandiko yake Lwakatare?
AliyemTape keshapatikana unaposema hawezi kushtakiwa kwa copy ya Clip hata mm nakubaliana nawe kwa sababu unaweza kukuta Original iliibiwa wakaipeleka Youtube na kuidestroy maana kuna mmoja kasema alitekwa na kunyang'anya laptop na camera
Kwa vile Sheria yetu ya JF inakataza tusiweke u kuPaste vitu kutoka mitandao mingine nawaomba mperuzi Mitandao ya kijamii na mtayakuta hayo mpaka no. ya Voda ya Msaky Mwandishi wa Habari wa Mwananchi aliyekuwa Tardet
Karatasi na mwandiko wa WILFRED LWAKATARE WAKATI AKITOA MAELEKEZO YA UTEKAJI - YouTube


 

Attachments

Mkuu Pasco vipi yule mzee wetu wa Monduli hajambao? Nasikia nae anapikiwa video yake na uangalie na wewe usije ukajikuta umeingia kwenye hilo genge la kuchomekewa video
Mkuu Mzalendo kiukweli video ile si ya kupika hivyo hakuna upishi mwingine wowote on the making labda kama ndio uanze sasa!.

Pili Mzee wetu ni salama na mambo yake yote yanakwenda vizuri!. Si unajua lakini kuwa yeye ni "Yohana Mbatizaji tuu!" akinyoosha mapito ya "yule" ajaye!.

Wengi hawajui the motive behind ule mpango!, japo mlengwa wa mpango mzima ni yule mwandishi ila the motive behind sio yule mwandishi bali ni kumdhoofisha "the one and only" threat kwa "uimla" wa Chadema!. Mimi siko behind any threat to any party or anybody hivyo I'm very safe at least for the time being mpaka wakati nitakapo simama kuhesabiwa which is very soon from now, nitakuwa a very bad threat kwa "wababaishaji" wanaoitafuta ikulu ili kuijaribisha!.
Nitasimamia kuhakikisha wanaokwenda Ikulu 2015 ni wale tuu wanaostahili!. Hivyo soon nitakuwa "mwiba" wenye "ncha kali!" na kwa lessons za Kubebea na Kibanda, I'll be well equiped with A.38, A.45, kwenye gari nitatembea na Sub na hand gre, na nyumbani naweka full kit kuanzia LPG hadi AK 47!.
Pasco.
 
Tunawashukuruni saana kwa analysis yenu ambao kwa namna moja au nyingin wengine hufuata ushabiki wa itikadi wa siasa na kadhalika. Muhimu nui vyombo vya dola vifanye kazi yake kwa haki bila upendeleoa au kuonea

Mungu ibariki Tanzania
 
Pasco Just out of curiosity, who is the complainant in this case, if there is one!!!!!!!!

Who are witnesses in this case!!!!!!!!!!

What the offence??????????
 
Kwa nn umeleta thread ambayo huna hakika nayo? Vema kama ungekamilisha uchunguzi wako ili upate hakika wa sheria ipoje kwa sasa,na siyo unaleta maelezo ambayo ata wewe hujui kama ni sahihi au hapana kwa sasa.
Habari ya kusema " NAENDA KULIFANYIA MPITIO"
ulipaswa kufanya hivyo kwanza.
***nina mashaka na wasomi wetu wa siku hizi kama huu ndiyo utaratibu wenu***
Mkuu Tafakari Kali, sisi jf ni kawaida yetu ukipata tuu habari yoyote unairusha kwa utaratibu wa "jf- be the first to know!".

Ukishapata habari yoyote tunaiita "news tip" ukiirusha humu, wafuatiliaji makini wata dig deep na kuja na nondo kamili. Sio lazima kila kitu ufanye wewe!. Baada ya kusema kuwa Rwakatare hawezi kufikishwa mahakamani kwa video ya youtube kwa sababu sisi hatuna sheria hiyo!. Hiyo peke yake inatosha kuwatuliza wafuasi wake na mashabiki wake walioshaanza kupandisha munkali hadi kupanga kufanya maandamano batili hiyo kesho as if atafikishwa mahakamani!.
Mengine yatafuata tuu, hayana pressure!.
Pasco.
 
Pasco Just out of curiosity, who is the complainant in this case, if there is one!!!!!!!!

Who are witnesses in this case!!!!!!!!!!

What the offence??????????
Mkuu Ngambo Ngali, hii sio civil ya kumtafuta complainant hii ni criminal hivyo mshtaki angekuwa state!. The witness ni aliyekuwa anaelekezwa, wengi wanadhani muelekezwaji ndie lazima aliyepiga ile video!, its not necesarily inawezekana mpiga video ni mwingine nae pia ni shahidi namba 2. Aliyeipandisha youtube ni shahidi number 3!.

Ikithibitishwa Rwakatare was not acting alone, washirika wake pia watakamatwa na kuwa joined together wengine wakiwa ni accsesories before the fact na wengine after the facts wakithibitisha kuwa tayari jinai nyingine ya mipango hiyo dhalimu ilikwisha tekelezwa.

The offence ni " felony to plot to commit the criminal offence agains humanity!". Kwangu sina umeme nitakuwekea mpaka vifungu!.

Ila haya yote ni kama!.
Pasco.
 
Mkuu Mzalendo kiukweli video ile si ya kupika hivyo hakuna upishi mwingine wowote on the making labda kama ndio uanze sasa!.

Pili Mzee wetu ni salama na mambo yake yote yanakwenda vizuri!. Si unajua lakini kuwa yeye ni "Yohana Mbatizaji tuu!" akinyoosha mapito ya "yule" ajaye!.

Wengi hawajui the motive behind ule mpango!, japo mlengwa wa mpango mzima ni yule mwandishi ila the motive behind sio yule mwandishi bali ni kumdhoofisha "the one and only" threat kwa "uimla" wa Chadema!. Mimi siko behind any threat to any party or anybody hivyo I'm very safe at least for the time being mpaka wakati nitakapo simama kuhesabiwa which is very soon from now, nitakuwa a very bad threat kwa "wababaishaji" wanaoitafuta ikulu ili kuijaribisha!.
Nitasimamia kuhakikisha wanaokwenda Ikulu 2015 ni wale tuu wanaostahili!. Hivyo soon nitakuwa "mwiba" wenye "ncha kali!" na kwa lessons za Kubebea na Kibanda, I'll be well equiped with A.38, A.45, kwenye gari nitatembea na Sub na hand gre, na nyumbani naweka full kit kuanzia LPG hadi AK 47!.
Pasco.

Mbabaishaji kama Kikwete? naona sasa unataka kupelekwa Afrika kusini kwa matibabu kama wenzako wanavyopelekwa, wee kusia ubabaishaji. Ulikuwa wapi 2005 wakati wababaishaji wanajiandaa kuingia Magogoni na wakafanikiwa?

Huna lolote
Pasco unatetea kisichoteteeka, Mzee wako wa Monduli Ikulu ataisikia tu, mmbabaishaji mmoja tu ndie aliyebahatika kuingia magogoni sasa hivi watanzania hawatochagua sura kama 2005. Tutachagua mpiga kazi sio wababaishaji wako.

We will never never vote the looters part again in power ( CCM )
 
Wanabodi,
Japo ile clip ya Rwakatare kwenye Utube ni "bonafide genuine", nikimaanisha ni video ya ukweli na sio ya kupikwa au kufanyiwa maujanja yoyote, bali kwa mujibu wa sheria zetu za ushahidi, "law of Evidence", Lwakatare hawezi kushitakiwa kwa sababu ushahidi wa video ya utube hauwezi kutumika mahakamani kwa vile Tanzania bado hatuna e-legistlation on e-evidence.

Kwa mujibu wa sheria zetu, evidence must be original!. Hata wale vijana wa Ze Utamu wangekamatwa, wasingeweza kushitakiwa na hata ukimtukana mtu kwa kutumia e-mail au website, huwezi kushitakiwa!.

Kwenye E-laws kuna sheria mbili tulizipitisha ikiwemo Sosper, Anti Money Loundering na Sheria ya Anti Terorrist ambazo zote zina vipengele vya kukubali e-evidence lakini sina uhakika kama sheria zote hizi zilitengenezewa regulations za namna ya kutumika.

Mwaka 2006, nakumbuka wanasheria madada wawili, Dr. Hawa Senare na mdogo wake Mwanaidi Maajar, waliandika makala ndefu kuhusu madhara ambayo Tanzania itayapata kwa ukosefu wa E-law!.

Naendelea kulifanyia mapitio hili jambo na ikitokea nikajikuta mimi ndio nimepitwa na wakati, nitaiondoa hii thread!.

Najua nyingi ya hoja zitahusu "bonafide genuine", ile kwa sisi tunaofanya kazi za Audio Visual day&night, utatambua kwa naked ayes tuu kama picha imefanyiwa maujanja kwa kutazama flow na frames na utatambua kama imefanyiwa maujanja ya sauti kwa kusikiliza flow ya sauti na kuilinganisha na syncronization ya sound na lip movements!, hata waje wataalamu kutoka mbinguni, huwezi ku sinc 100% perfect!.

Nawatayarishia vipengele mahsusi vya kisheria ambavyo wangeweza kuvitumia na kwa kwanini hawawezi.
Angalizo: Hapa ninazungumzia ile clip ya utube tuu!, ikitokea original video ikapatikana!, hapa tutakuwa tunazungunza mengine!.

Pasco.
NB. Pasco wa jf sio mwanasheria bali alipitia pale UDSM Kitivo cha Sheria na kutoa tongotongo za sheria kwa kipindi cha miaka 4 full time!. Kwa sasa anaendeleza kazi ya Uandishi wa Habari wa Kujitegemea kwa Kujitolea!.

Unaweza fafanua hiyo 'original video'?
nimeona Manyerere anasema ile video ilikuwepo mitaani siku nyiingi
unaweza sema chochote?
 
Pasco! In as much as my legal knowledge is concerned, "kula njama" is the only one concerned!!!
BUT kumbuka hiyo clip ni namba TANO ambayo imekuja public! Kuna NNE public haijaziona, once they are out naamini kabisa tutakuwa tunaongea maneno ingine!!
SALUTE
 
mkuu umeandika pumba, pumba kabisa, yani pumba tupu... unajaribu kuwa critical lakini huna mchango wowote. kibaya zaidi ni hayo mashaka uliyo nayo, ati mashaka na wasomi, wewe ni nani?? mashaka ya nini?? umeshajicheki kwanza kama una quality yoyote??

Pasco has brought a good thread, kama huna la kuchangia kaa kimya!! JF haihitaji majaji au analyst ambao kazi yao ni mapitio ya mabandiko na kuonyesha mashaka

Mambaaaf wahed

mkuu samahani kuuliza sio ujinga, hivi ulikua unakimbizwa.?
 
Back
Top Bottom