Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

Wanabodi,
Japo ile clip ya Rwakatare kwenye Utube ni "bonafide genuine", nikimaanisha ni video ya ukweli na sio ya kupikwa au kufanyiwa maujanja yoyote, bali kwa mujibu wa sheria zetu za ushahidi, "law of Evidence", Lwakatare hawezi kushitakiwa kwa sababu ushahidi wa video ya utube hauwezi kutumika mahakamani kwa vile Tanzania bado hatuna e-legistlation on e-evidence.

Kwa mujibu wa sheria zetu, evidence must be original!. Hata wale vijana wa Ze Utamu wangekamatwa, wasingeweza kushitakiwa na hata ukimtukana mtu kwa kutumia e-mail au website, huwezi kushitakiwa!.

Kwenye E-laws kuna sheria mbili tulizipitisha ikiwemo Sosper, Anti Money Loundering na Sheria ya Anti Terorrist ambazo zote zina vipengele vya kukubali e-evidence lakini sina uhakika kama sheria zote hizi zilitengenezewa regulations za namna ya kutumika.

Mwaka 2006, nakumbuka wanasheria madada wawili, Dr. Hawa Senare na mdogo wake Mwanaidi Maajar, waliandika makala ndefu kuhusu madhara ambayo Tanzania itayapata kwa ukosefu wa E-law!.

Naendelea kulifanyia mapitio hili jambo na ikitokea nikajikuta mimi ndio nimepitwa na wakati, nitaiondoa hii thread!.

Najua nyingi ya hoja zitahusu "bonafide genuine", ile kwa sisi tunaofanya kazi za Audio Visual day&night, utatambua kwa naked ayes tuu kama picha imefanyiwa maujanja kwa kutazama flow na frames na utatambua kama imefanyiwa maujanja ya sauti kwa kusikiliza flow ya sauti na kuilinganisha na syncronization ya sound na lip movements!, hata waje wataalamu kutoka mbinguni, huwezi ku sinc 100% perfect!.

Nawatayarishia vipengele mahsusi vya kisheria ambavyo wangeweza kuvitumia na kwa kwanini hawawezi.
Angalizo: Hapa ninazungumzia ile clip ya utube tuu!, ikitokea original video ikapatikana!, hapa tutakuwa tunazungunza mengine!.

Pasco.
NB. Pasco wa jf sio mwanasheria bali alipitia pale UDSM Kitivo cha Sheria na kutoa tongotongo za sheria kwa kipindi cha miaka 4 full time!. Kwa sasa anaendeleza kazi ya Uandishi wa Habari wa Kujitegemea kwa Kujitolea!.

Pasco, mkuu kuna marekebisho ya TEA, yaliyofanyika mwaka 2007, kifungu cha 40A, umeishapata wasaa wa kukisoma kifungu hiki, na je mawazo yako unayapimaje kwenye kifungu hicho??
 
Wataalam wa I.T na wengine wa uzoefu kazin, wanasema Feki na kuyataja mapungufu kadhaa ya video. Aliyesoma sheria miaka 4 ful T, anasema ni "bonafide genuine". bila kufafanua usahih wa mapungufu yaliyotajwa na wataalam.

Kama sio ushabik ni nin?.
Mkuu Chiya Chibi, ulitaka ufafanuzi gani zaidi ya huu, au nikuwekee usome tena!.
Wanabodi,
Japo ile clip ya Rwakatare kwenye Utube ni "bonafide genuine", nikimaanisha ni video ya ukweli na sio ya kupikwa au kufanyiwa maujanja yoyote,
Najua nyingi ya hoja zitahusu "bonafide genuine", ile kwa sisi tunaofanya kazi za Audio Visual day&night, utatambua kwa naked ayes tuu kama picha imefanyiwa maujanja kwa kutazama flow na frames na utatambua kama imefanyiwa maujanja ya sauti kwa kusikiliza flow ya sauti na kuilinganisha na synchronization ya sound na lip movements!, hata waje wataalamu kutoka mbinguni, huwezi ku sinc 100% perfect!.

Pasco.
Kama hao wataalamu wa IT unaowaamini, wengine ni kutokana na uzoefu, nami tangu mwaka 1995 (sijui wewe ulikuwa na umri gani wakati huo), ndio nimerusha program yangu ya kwanza ikiitwa "Mada Moto" then 1997 ndipo nikaja na "Kiti Moto", na mpaka sasa hapa niliko, behind the camera ndipo ilipoafisi yangu!, hivyo kama ni mauzoefu na mimi nimo!, clip ile ni "bonafide genuine!".
Pasco.
 
Pasco, mkuu kuna marekebisho ya TEA, yaliyofanyika mwaka 2007, kifungu cha 40A, umeishapata wasaa wa kukisoma kifungu hiki, na je mawazo yako unayapimaje kwenye kifungu hicho??
Mkuu Denoo49, sisi wengine sio wazuri kwenye vifungu ndio maana mahakamani hatukanyagi, ukikiweka hapa nitakushukuru vinginevyo naomba reference!.
Pasco.
 
Mkuu Mzalendo kiukweli video ile si ya kupika hivyo hakuna upishi mwingine wowote on the making labda kama ndio uanze sasa!.

Pili Mzee wetu ni salama na mambo yake yote yanakwenda vizuri!. Si unajua lakini kuwa yeye ni "Yohana Mbatizaji tuu!" akinyoosha mapito ya "yule" ajaye!.

Wengi hawajui the motive behind ule mpango!, japo mlengwa wa mpango mzima ni yule mwandishi ila the motive behind sio yule mwandishi bali ni kumdhoofisha "the one and only" threat kwa "uimla" wa Chadema!. Mimi siko behind any threat to any party or anybody hivyo I'm very safe at least for the time being mpaka wakati nitakapo simama kuhesabiwa which is very soon from now, nitakuwa a very bad threat kwa "wababaishaji" wanaoitafuta ikulu ili kuijaribisha!.
Nitasimamia kuhakikisha wanaokwenda Ikulu 2015 ni wale tuu wanaostahili!. Hivyo soon nitakuwa "mwiba" wenye "ncha kali!" na kwa lessons za Kubebea na Kibanda, I'll be well equiped with A.38, A.45, kwenye gari nitatembea na Sub na hand gre, na nyumbani naweka full kit kuanzia LPG hadi AK 47!.
Pasco.
Pasco Pasco mwanangu mboni umekuwa mchungu hivoooo!?
 
Mbabaishaji kama Kikwete? naona sasa unataka kupelekwa Afrika kusini kwa matibabu kama wenzako wanavyopelekwa, wee kusia ubabaishaji. Ulikuwa wapi 2005 wakati wababaishaji wanajiandaa kuingia Magogoni na wakafanikiwa?

Huna lolote
Pasco unatetea kisichoteteeka, Mzee wako wa Monduli Ikulu ataisikia tu, mmbabaishaji mmoja tu ndie aliyebahatika kuingia magogoni sasa hivi watanzania hawatochagua sura kama 2005. Tutachagua mpiga kazi sio wababaishaji wako.

We will never never vote the looters part again in power ( CCM )
Mkuu Mzalendo80, mimi nimeipenda sana hiyo "we will never vote for ..." umeyatamka ukiwa determinant as if umefanya "mass mobilization" mkakubaliana wote kuwa "we" katika umoja wetu sisi Watanzania!. Kabla ya uchaguzi wa 2015, vyama vyote vitasaini makubaliano ya "rules of the game" na chama chochote kitakachoshinda, ndio itakuwa "we!", sasa kama hii "we" yako haitokani na mass mobilization, then, "we" ya atakayeshinda jumla ndio itakuwa ni "we" ya watanzania Wote!, kwa mambo yalivyo mpaka sasa, i very seriously doubt hiyo "we" yako!.
Pasco.
 
Mkuu Denoo49, sisi wengine sio wazuri kwenye vifungu ndio maana mahakamani hatukanyagi, ukikiweka hapa nitakushukuru vinginevyo naomba reference!.Pasco.
binafsi pia, si mzuri kwenye sheria zaidi ya kujitoa tongotongo kwa kuijua sheria ngazi ya cheti miaka kadhaa iliyopita. Sema huwa ninapopata muda hupenda kudurufu vitabu vya sheria kwa manufaa yangu binafsi.Kifungu 40A, of TEA, "Evidence obtained under cover operations"In any cr.proceedings...(a) an information retrieved from computer systems, networks or servers; or(b)the records obtained through surveillance of means of preservation of information including facsimile machines, electronic transimission and communication facilities;(c)the audio or video recording of acts or behaviours or conversation of persons charged,shall be admissible in evidence.
 
hapa ninapata wasiwasi na 'capacity' ya jeshi la polisi. kuna na kutatokea challenge nyingi sana kwasababu jinsi ukizingatia jeshi linavyopatikana . inabidi zifanyike jitihada za dhati kuwa na jeshi dogo ambalo ni softiscated. ile habari ya kusema "umekosa nafasi, hata .....!! basi tukutafutie nafasi ya polisi" nadhani basi. Ukienda ulaya ukigusa tu kitu tayari informations ziko recorded na IT polices. inashindikana vipi kusema kila chuo chenye IT students tunachukua hawa kwenda jeshini, polisi au usalama wa Taifa. kesi nyingi serikali inashindwa na pesa zinapotea bure. Serikali itusaidie kufanya building capacity kwa jeshi letu. kuweza kufanya uchunguzi kitaalamu zaidi kuliko kukalia YUOTUBE masaa zaidi ya 100 ni aibu sana zingekuwa tano ingekuwaje? na hii inawatia wananchi mashaka na nyie.
 
Mkuu Pasco sijui kwanini unataka kurudi nyuma kwa kuogopa kelele aukupoza mashabiki wa kisiasa
Maana naona unatetea hiyo Clip tu, mbona kuna ushahidi wa miandiko yake Lwakatare?
AliyemTape keshapatikana unaposema hawezi kushtakiwa kwa copy ya Clip hata mm nakubaliana nawe kwa sababu unaweza kukuta Original iliibiwa wakaipeleka Youtube na kuidestroy maana kuna mmoja kasema alitekwa na kunyang'anya laptop na camera
Kwa vile Sheria yetu ya JF inakataza tusiweke u kuPaste vitu kutoka mitandao mingine nawaomba mperuzi Mitandao ya kijamii na mtayakuta hayo mpaka no. ya Voda ya Msaky Mwandishi wa Habari wa Mwananchi aliyekuwa Tardet
Karatasi na mwandiko wa WILFRED LWAKATARE WAKATI AKITOA MAELEKEZO YA UTEKAJI - YouTube



Kazi nzuri wataalam!
 
binafsi pia, si mzuri kwenye sheria zaidi ya kujitoa tongotongo kwa kuijua sheria ngazi ya cheti miaka kadhaa iliyopita. Sema huwa ninapopata muda hupenda kudurufu vitabu vya sheria kwa manufaa yangu binafsi.Kifungu 40A, of TEA, "Evidence obtained under cover operations"In any cr.proceedings...(a) an information retrieved from computer systems, networks or servers; or(b)the records obtained through surveillance of means of preservation of information including facsimile machines, electronic transimission and communication facilities;(c)the audio or video recording of acts or behaviours or conversation of persons charged,shall be admissible in evidence.
Mkuu Denno, asante kwa hii, for the sake of this, hiyo audio na video, inamaanisha the original recoding and not duplicate ya kwenye you tube. Wakifanikiwa kuipata computer iliyopandandisha kule youtube, wataichukua as an evidence, ushahidi wa storage devices kama DVD, Hard Disc na flash pia unakubalika kwa mujibu wa sheria ya Electronic Evidence Amendment Act 2007 yaliyopelekea kuongezwa kwa kifungu 40A kwenye sheria yetu ya Tanzania Evidence Act 1967 ambayo inaruhusu Information retrieved from computer systems, networks or servers; or records obtained through surveillance of means of preservation of information including facsimile machines, electronic transmission and communication facilities, the audio or video recording of acts or behaviours or conversation of persons charged utakubaliwa kama ushahidi, lakini video ile haiwezi kukubaliwa kwa sababu haujapatikana kwenye storage devices!.

Wangeweza kutumia kifungu namba 78 cha Tanzania Evidence Act ambacho kimeongezewa kipengele cha 78A ili kuruhusu printed out records kept or information system including but not limited to computers and storage devices , magnetic tapes, microfilm, video or computer display screen or any other form of mechanical or electronic data retrieval mechanism or other process which in itself ensures the accuracy of such print out, shall be received as evidence, kwa kuhalalisha download ya youtube, lakini hili litagonga mwamba in absence ya aliye upload ile video.
 
hii ni tamthilia kushinda ya Isidindo!! mnakumbuka isue ya Osama! chuo kilipokea waomabji wa nafasi za urubani more than two year before action. mara Kigogo, Morogoro, Iringa, kitaeleka tu.
 
Mkuu Jack, si nimejieleza mimi ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea?!, hizo bahasha atoe nani na kwa malengo yepi?.
kwahiyo yakitokea mauaji nami nikawa namkanda wa mauaji ukionyesha muuaji anavyoua,nikauweka utube watu wakaona muuaji hawezi kushitakiwa?kwa sababu tu iko online
 
Pasco.
NB. Pasco wa jf sio mwanasheria bali alipitia pale UDSM Kitivo cha Sheria na kutoa tongotongo za sheria kwa kipindi cha miaka 4 full time!. Kwa sasa anaendeleza kazi ya Uandishi wa Habari wa Kujitegemea kwa Kujitolea!.
Kwa wale wenye interest zaidi kisheria, mnaweza kupitia hii link
ADMISSIBILITY OF ELECTRONIC EVIDENCE IN TANZANIA | Tanzania Legal News

Ungekuwa mbunge wa chadema, wafuasi wa chadema wangekupigania kukutea kuwa wewe ni mwanasheria. Si unaona Mnyika anavyotetewa kuwa hajaishia form six kwa sababu alipita pita kwenye corridors za UDSM...
 
Ndugu, mimi nadhani sheria ya ushahidi haina utata katika hii. Kumbe hakuna sababu ya kuuma maneno. kinacho wakwaza polisi kumfikisha mahakamani ni watashtaki na kosa gani. Maana hakuna sehemu hata moja katika video alitaja mlengwa.

Lakini ngoma ni watadhibitishaje kwamba hii si-video ya kugushiwa. Kumbuka kazi yake kama mshitakiwa ni kujenga shaka tu kwamba kunauzekano wa kuipika.

lakini sasa police wamisha kwaa kisiki kingine cha 24 hrs rule. maana ni dhaili pia kwamba 'fair trial' inaanzia hapo.
 
Mkuu Denno, asante kwa hii, for the sake of this, hiyo audio na video, inamaanisha the original recoding and not duplicate ya kwenye you tube. Wakifanikiwa kuipata computer iliyopandandisha kule youtube, wataichukua as an evidence, ushahidi wa storage devices kama DVD, Hard Disc na flash pia unakubalika kwa mujibu wa sheria ya Electronic Evidence Amendment Act 2007 yaliyopelekea kuongezwa kwa kifungu 40A kwenye sheria yetu ya Tanzania Evidence Act 1967 ambayo inaruhusu Information retrieved from computer systems, networks or servers; or records obtained through surveillance of means of preservation of information including facsimile machines, electronic transmission and communication facilities, the audio or video recording of acts or behaviours or conversation of persons charged utakubaliwa kama ushahidi, lakini video ile haiwezi kukubaliwa kwa sababu haujapatikana kwenye storage devices!.

Wangeweza kutumia kifungu namba 78 cha Tanzania Evidence Act ambacho kimeongezewa kipengele cha 78A ili kuruhusu printed out records kept or information system including but not limited to computers and storage devices , magnetic tapes, microfilm, video or computer display screen or any other form of mechanical or electronic data retrieval mechanism or other process which in itself ensures the accuracy of such print out, shall be received as evidence, kwa kuhalalisha download ya youtube, lakini hili litagonga mwamba in absence ya aliye upload ile video.

Je, iwapo Ludovick atakiri kuwa yeye ndiye aliyepiga ile picha na kusema kuwa original imeibiwa siku ile alivyotekwa na kuporwa kompyuta yake, itakuwaje?
 
Unaweza fafanua hiyo 'original video'?
nimeona Manyerere anasema ile video ilikuwepo mitaani siku nyiingi
unaweza sema chochote?
Mkuu The Boss, kwenye mada yangu, nimejikita tuu kwa hiki tulichonancho mkononi, ila nikatoa angalizo, kama original video itapatikana, hata kama ni duplicate of the original, hapa tutazungumza mengine!.

Saometimes vyama vina tend kuwaamini sana wanasheria wake kuwa ndio mabingwa, lakini wanajisahau kuwa hata hao wanasheria nao pia ni binadamu, kwenye sensetive issues kama hii, Chadema walipaswa to seek expert opinion kabla ya kukimbilia kukanusha kuwa the video is fake!. "better be sure than sorry!". Hakuna ubishi kuwa Lissu na Kicheere ni wanasheria wazuri, ila I'm not sure kama opinion yao ndio expert opinion kwenye mambo ya electronic evidence!.

Siku ile serikali inawasilisha ile rasimu ya kuundwa kwa tume ya kukusanya maoni, Chadema kwa kumtegemea Lissu pekee, iliamini ametoa pingamizi muswada ule usisomwe kwa mara ya pili, nikawaambia kitendo cha Lissu kuisoma hotuba ya kambi rasmi ya upinzani, ni uthibitisho kuwa wameikubali hoja ya serikali, katika sentesi ya mwisho ya hotuba ya Lissu ndipo akaweka pingamizi!, Spika akalitupilia mbali pingamizi lile na kuendelea na hoja iliyo mezani, Chadema wakasusa wakatoka nje!. Nilibahatika kukutana na Lissu nikamuu kwa nini hakutanguliza pingamizi?, na badala yake kuendelea na hotuba!, hakuwa na jibu!.

Mimi nimewashauri Chadema, hii ni "political liability", they are left with only two options, kumfanya "Rwakatare ni mbuzi wa kafara" kwa kum disown kuwa was acting alone!, au kuendelea kumkumbatia kwa kung'ang'ania "the video is fake", na hivyo chama to suffer the consequences!.
Pasco.
 
kwahiyo yakitokea mauaji nami nikawa namkanda wa mauaji ukionyesha muuaji anavyoua,nikauweka utube watu wakaona muuaji hawezi kushitakiwa?kwa sababu tu iko online
Mkuu Elungfata, huo mkanda wako utasaidia tuu kwenye identification ya kuwawezesha polisi kumtia nguvuni mtuhumiwa, ila haiwezi kutumika as an evidence before the court of law mpaka ama origina ipatikane, ama uchukuliwe kama secondary evidence tuu hadi ipate collaborative primary evidence!.

Hata nikukutukana kwa e-mail, wewe kaiprint na uende popote ikashitaki, ni kazi bure!.
Pasco.
 
Back
Top Bottom