Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

haya tutafika tu!
 
Mkuu Pasco acha kuruka sarakasi!!
Mkuu Blacktiger, pole!, majukwaa mengine ni too technical kiasi wenzetu kuona ni sarakasi!, tena afadhali yako, sarakasi ni mchezo wa kweli, wenzako waliozoea "kidali poo", wao wameona ni mazingaombwe!. Kuna hoja nyingine, kama hauzami kabisa, lazima utoke kapa!, ila usijali tuna majukwaa mengi tuu unaweza kufit kutafutia usingizi ila sio humu!, labda jaribu MMU au hata Chit Chat! unaweza ukapata usingizi.
G9T!.
Pasco.
 
Wewe pia umeishia kumsifia Pasco eti kaleta thread nzuri, ukasahau kuonyesha ni eneo gani kisheria ambalo ni Zuri ktk hiyo thread. Btw hivi unaelewa Sheria vzr au unakurupuka tu ili mradi tuone hiyo post yako.....
ukitaka kujua sheria vizuri soma sheria, mimi si mwanasheria na wala sina interest ya kusoma sheria; wenye kunielewa walinielewa, wewe hujanielewa na haunipunguzii kitu... sanasana naona unakurupuka tu kutaka kutoka nje ya mada

Ubora wa hii thread kwangu mimi ni namna Pasco alivyoweza kuvuta watu wenye uwezo wa kuijadili mada (sio wewe maana huna uwezo huo, ungekua nao ungeachana na mimi na kukomalia hoja)

I have gained from this thread, kwahiyo kwa upande wangu ni thread nzuri na wachangiaji wengi wamekua na manufaa sana kwa sie tusiojua sheria na tusio wanasheria

haya komalia hoja, kama huna hoja achana na mimi
 

Duh! Mkuu Mjuni Lwambo, nimekuvulia kofia.. Kelele zote za Pasco umezimaliza kwa lugha ya busara lakini iliyomchoma mpaka misho. He is what he is, anatumia usomi wake kuendeleza siasa za kihafidhina huku akijitahidi kujificha kama muumini wa mabadiliko. Bahati mbaya watu tunasahau kwamba tunachofanya kwa faida zetu leo, ni majuto kwa wanetu kesho. Nina uhakika watu kama Kingunge sasa hivi wanatamani wafe ili kukwepa aibu waliyoitengeneza kwa kuwa sehemu ya siasa za mtandao ambazo zinaitesa nchi huku wakishuhudia kwa macho yao!
 

Unajitahidi sana kuandika kama independent thinker lakini hapa ''Japo ile clip ya Rwakatare kwenye Utube ni "bonafide genuine", nikimaanisha ni video ya ukweli na sio ya kupikwa au kufanyiwa maujanja yoyote, bali kwa mujibu wa sheria zetu za ushahidi, "law of Evidence", Lwakatare hawezi kushitakiwa kwa sababu ushahidi wa video ya utube hauwezi kutumika mahakamani kwa vile Tanzania bado hatuna e-legistlation on e-evidence'' unajiingiza mkenge na kuonekana uko biased.
hutofautiani na mtu msomaji sana wa magezeti akaibuka na kusema mnajua wanabodi '' Wanasiasa ni malaya sana kuliko Madakatari'' nasema hivi kwa kuwa mimi ni msambazaji wa magazeti hapa mjini kila gazeti naona habari za ufuska wa wanasiasa sijawahi ona ufuska wa madaktari''
na wewe ndicho unacho maanisha unapohitimisha ubonafide geniune wa clip kwa kuwa wewe ni mtu
Audio Visual day & night, this is too low my friend.
Labda ungesema wewe unafanya kazi kwenye kampuni inayotengeneza software ya utambuzi na umetumia the latest siftware umegundua hiyo clip haijaongezwa wala kupunguzwa kitu toka kwenye original recording.

Mkuu pasco hitimisho la aina hiyo linatokana na kitu inaitwa Cognitive biases...
 
Hiyo Misilaa yote ya nini? Unamjuwa utakayepigana naye? Maana kuna wakati unaweza ukawa na AK47 kumbe adui ni mbu. Having that kind of preparations, ina maana unajuwa nini kilikosekana kwa Kibanda na Kubenena hadi yakawatokea yaliyowatokea.....
 
Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni Chadema kwa nini hawachukui hatua?
Kuna public crimes na private crimes.

  1. Public crimes ni uhalifu dhidi ya public, hapa polisi wakipokea hint "taarifa za kiinteligencia" ndio wanachukua hatua kama kuzuia maandamano.
  2. Private Crimes ni uhalifu dhidi ya private individuals, polisi haipokei tip wala hai act on this, bali mwenye tip kuhusu private crimes anapaswa aende polisi kuripoti.
  3. Private crime si kama vile kumchinja mtoto wako na kumfanya kitoweo, Kuua ni kosa la jinai, regardless umemuua nani, kitendo cha mauaji kikisha fanyika ni public crime, hatua zinachukuliwa bila yoyote kuhitajika kuripoti, ila kutishiwa maisha ni private crime lazima ukaripoti polisi ndipo hatua zichukuliwe!.
  4. Hata polisi wakipita nyumbani kwako, wakuesikia unampiga mkeo au mwanao, hawata ingilia kwasababu it's a private affairs, Ila mkeo akishitaki ndio inakuwa a public crime.
  5. Hata polisi wakipita kwako wakaona mlango umevunjwa na futuma, hawaji kuuliza kulikoni, lazima ukaripoti!.
  6. Lissu alipofuatiliwa na like gari, Nissan nyeupe, alitoa taarifa kwenye Press Conference only, ili polisi wa act alipaswa akaripoti polisi.
  7. Hivyo Dr.Slaa or Dr. Mollel kama , ana ushahidi wa uhalifu wa Chadema akaripoti polisi na sio kuzungumzia mitaani au Bungeni.
  8. Natoa wito, mtu yoyote mwenye ushahidi wowote usiotia shaka kuwa Chadema inahusika na uhalifu wowote, akaripoti polisi na Jeshi makini la polisi likipokea taarifa hiyo, litafanya uchaguzi, likijiridhisha, hatua za uchaguzi wa kijinai zitafanyika na ikithibitishwa, then ndicho kitu hiki nilicho kisema hapa Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba! kinatakiwa kufanyika.
P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…