Rwanda inafanya makubwa

Rwanda inafanya makubwa

Ficha ujinga wako watu wanaangalia ratio ya maendeleo versus rasilimali, pia ukisema Rwanda iko sawa na Burundi inadhihilisha uwezo wako mdogo wa akili, gdp ya Rwanda 2022 ilikua usd 32 billion while ya Burundi was only usd 9 billion na per capital ya Rwanda 2022 ilikua usd 878 na Burundi ilikua usd 272 hizi ni data za World Bank endelea kubishana
GDP ya rwanda ni $18b nominal na 32 ni ppp,acha kuchanganya mambo,nineona pahala umeandika GDP ya rwanda ni 32 wakati tz ni 67,ya tz PPP ni 180+m mzee,hiyo 67 ni nominal ambayo ni Mara tatu na zaidi ya rwanda
 
Ni kama una matatizo ya uelewa! Unawezaje kuilaani Rwanda na hatimaye usema TZ tunachezea fursa? Tunaposema rais kawa Sindbad baharia nini maana yake? Tunaposema aachane na safari mfu kama hizi anazofanya, awe makini na mwenendo wa nchi nini maana yake. Tunasema tuna rais mwenye uwezo mdogo! FINITO!
[emoji23][emoji2][emoji23]akili zako sasa!
IMG-20230306-WA0112.jpg
 
Rwanda bado ni nchi maskini sana iliyoachwa mbali na Tanzania kwa kila kitu
Amerika waliamini hivyo kwa China. Leo hii wameishia kulia lia tu! Wanaikaba kama wacheza mpira; kugomea biashara, vikao na waafrika kusema ubaya wa china, nk. Muhimu kwa Rwanda angalia economic growth yao leo, angalia na projection zao. Linganisha na usanii wetu.

Nasikia sasa tunataka kuuza umeme sauzi!! Yaani marehemu anaahidi kusaidia aliyemzima damu!
 
Kwani Kuna kitabu Cha muongozo toka mbinguni Cha kutafuta capital investments!?..au mpaka waanze wengine ndiyo sisi tufuate!?..jakaya alifanya ziara kuutangaza fursa za kuwekeza nchini,alifanikiwa kiasi gani!?..Samia kafanikiwa kiasi gani kwa Hilo!?
Mbinguni ni wapi? Kule alikofika Zumaridi? Bado unaona ndo kwenye mambo yote?
 
Wale munaosema anafungua nchi, lengo ni nini? Jirani ni Rwanda na Kagame, mtu siriasi, hana safari za hovyohovyo na vitegauchumi vinamfuata. Dunia hii vitega uchumi havialikwi kama mkutano wa CCM. Vitega uchuni hufuata uongozi siriasi. Leo hii hata Ethiopia iko juu yetu, sisi tuko bize kushangilia mtu anayesafiri kama rubani.

View attachment 2554769
Watu humu ndai mnafurahisha sana.
Wengine wanaipa Rwanda mfanano na China.
How dare you!?
Rwanda Ana investment zipi za maana kuifikia Tanzania na kuja kuipita Tanzania!?
Na mnatakiwa mfahamu kuwa Tanzania ishapiga hatua sehem nyingi ambao Rwanda ndio inapita sasa.
Hiyo Tanzania mnaoifananisha na Rwanda ishapiga na inapiga hatua katika masuala nyeti kama idara za usafirishaji,idara ya afya,miundombinu na utalii pamoja na kilimo na ufugaji na viwanda.
Na hilo suala ambalo hao FIFA wamewekeza sio sehemu nyeti ya kuipigisha Rwanda kihatua za kiuchumi.
Senegal ni sehemu ambayo mataifa makubwa yamewekeza sana ktk soka Ila Senegal ni sehemu ya watu MASIKINI km Zimbabwe.
UNGESEMA WAWEKEZAJI WAMEKUJA KUWEKEZA KATIKA SUALA LA UMEM,MAJI,VIWANDA,AFYA AU MIUNDOMBINU MIKUBWA KM YA USAFIRISHAJI KWELI RWANDA INGEKUA IMEPIGA HATUA.
Hiyo Rwanda Ina poor social development na hat hiyo economic development uwekezaji hauwekwi sehemu nyeti kama tunavyofanya Tanzania.

Ethiopia uloileta hapa mleta mada ndio inaongoza kwa WAHAMIAJI HARAMU hapa East and Central Africa.
Chakula haba,maji haba,ajira haba pia Kuna political instability.
HIVI WATU HAMUONI AIBU KUIFANANISHA ETHIOPIA NA TANZANIA!?
MAENDELEO YA KIJAMII YANAKUJAJE PASI NA KUWA NA SERA BORA ZA KIUCHUMI NA SERIKALI TULIVU!?
Japo no kweli haipingwi kuwa CCM ina Sera ambazo zimepitwa na wakati.
Pia SAMIA SULUHU HASSAN NI JANGA LA TAIFA KWA YEYE KUWA RAIS WETU.
 
Watu humu ndai mnafurahisha sana.
Wengine wanaipa Rwanda mfanano na China.
How dare you!?
Rwanda Ana investment zipi za maana kuifikia Tanzania na kuja kuipita Tanzania!?
Na mnatakiwa mfahamu kuwa Tanzania ishapiga hatua sehem nyingi ambao Rwanda ndio inapita sasa.
Hiyo Tanzania mnaoifananisha na Rwanda ishapiga na inapiga hatua katika masuala nyeti kama idara za usafirishaji,idara ya afya,miundombinu na utalii pamoja na kilimo na ufugaji na viwanda.
Na hilo suala ambalo hao FIFA wamewekeza sio sehemu nyeti ya kuipigisha Rwanda kihatua za kiuchumi.
Senegal ni sehemu ambayo mataifa makubwa yamewekeza sana ktk soka Ila Senegal ni sehemu ya watu MASIKINI km Zimbabwe.
UNGESEMA WAWEKEZAJI WAMEKUJA KUWEKEZA KATIKA SUALA LA UMEM,MAJI,VIWANDA,AFYA AU MIUNDOMBINU MIKUBWA KM YA USAFIRISHAJI KWELI RWANDA INGEKUA IMEPIGA HATUA.
Hiyo Rwanda Ina poor social development na hat hiyo economic development uwekezaji hauwekwi sehemu nyeti kama tunavyofanya Tanzania.

Ethiopia uloileta hapa mleta mada ndio inaongoza kwa WAHAMIAJI HARAMU hapa East and Central Africa.
Chakula haba,maji haba,ajira haba pia Kuna political instability.
HIVI WATU HAMUONI AIBU KUIFANANISHA ETHIOPIA NA TANZANIA!?
MAENDELEO YA KIJAMII YANAKUJAJE PASI NA KUWA NA SERA BORA ZA KIUCHUMI NA SERIKALI TULIVU!?
Japo no kweli haipingwi kuwa CCM ina Sera ambazo zimepitwa na wakati.
Pia SAMIA SULUHU HASSAN NI JANGA LA TAIFA KWA YEYE KUWA RAIS WETU.
Nawe umeingia kwenye mtego wa ushabiki ninaosoma hapa. Au una ushabiki wa kiutawala ambao huwa unasababisha serikali kuwa na uzembe au kubweteka. Kinachojadiliwa hapa ni ubora wa maamuzi, siyo nani kaendelea au nani yuko nyuma. Na hiyo ndo itatuendeleza au kutukwamisha. Linganisha maamuzi ambayo Rwanda imekuwa ikifanya kitaifa na kimataifa. Angalia maamuzi ya rais wako (usidandie ya JPM) linganisha na Kagame!

Suala la Ethiopia pia unalipima kwa vigezo dhaifu. Ukiona njaa, na wakimbizi unadhani ni kwa sababu wako hoi serikalini? Hebu sema nani anaongoza kwa usafiri wa anga Afrika? Nani amerusha satellite angani afrika mashariki hii? Nani ana treni ya umeme ya kwanza eneo hili la afrika? Nani ana bwawa kubwa la umeme Afrika hii? Wakimbizi ni sawa na unavyoona wahamiaji haramu wa kihindi wamejaa viwandani Dar, kwani TZ imefanikiwa kuliko India? Mbona Nigeria ina raia zaidi ya milioni 12 nje ya nchi yao? Uwe mpole unapoandika bila takwimu.
 
Kila nchi in mfumo wa kuvutia wawekezaji Tz ni nchi inao tafuta wewekezaji wa capital goods au bulky investment yenye $bns sio $5m, hizo hata local investors wanaweza kuwekeza, ila kupata investor mkubwa mpaka umfuata uko uko, huyu wakujileta ni investor wa kawaida.
Kabla hujacoment uwe inasoma uzi kwanza ndugu. $5m iliotajwa ni kiasi kilichotumiwa na Rwanda ili ku host mkutano wa FIFA.
 
Sijui watu wengine hamuelewi uchumi wa hizi nchi? $5m investment ni nini kwa Tz ? Huwezi ukalinganisha nchi ya GDP $ 61bn na nchi ya GDP $12bn, nchi yenye uchumi wa watu 65m na nchi yenye watu 11m.......nchi yenye ukubwa wa aridhi mara 12 na nchi ya Rwanda. ...... uchumi wa Rwanda bado sana japo wana tangaza sana kwenye media mimi ni meishi Kigali zaidi ya miaka miwili lakini bado sana ukilinganisha na Dar. Mjidanganye nyie msie tembea katika nchi hizi.
Visingizio vya aina hii ndivyo husababisha tubaki nyuma miaka yote.
Nchi zenye kiu ya maendeleo hawanaga excuses.
Angalia mfano Ethiopia hawana resources zozote ila mradi wao mkubwa ni ndege za abiria tu na bado wanapita.
Sasa Ethiopia wangekuwa wanatafuta visingizio wangekuwa maskini wa mwisho duniani
 
wanyarwanda si wajinga kama watanzania.kule hakuna chawa,hakuna wapuuzi wa kushadadia mambo ya hovyo.kagame mara chache sana kumwona anasafiri mje ya nchi yake.yuko busy kujenga uchumi wa nchi yake kwa kutumia rasilimali chache alizonazo.kwa wale waliowahi kwenda rwanda ukifika tu boda ya rwanda utajua kweli huyu mtu yuko makini.mji msafi,barabara safi,mazingira yote ni safi.nchi ni kijani kitupu.tanzania nchi kubwa,watu wa hovyo wamekalia kushabikia vitu vya hovyo,elimu,afya hovyo,mpk sasa watu wanakunywa maji ya tope utadhani nchi haina rasilimali maji.kagame alipaswa kuiongoza tanzania ndo maana aliwahi kusema angepewa kuiongoza tz nchi ingekuwa mbali sana kwa rasilimali tulizonazo.kwa bahati mbaya sana nchi hii wamejaa wajinga wengi ambao kila siku wanawaza ujinga uliomo vichwani mwao.
Ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom