Hii mijitu haielewi aisee,tumesema mkataba kati ya Tanzania na DP ni wa kipumbavu,hatujasema kuwa dp ni mbaya ila mkataba ni wa hovyo,kuna mtu juzi hapa kaleta story ya dp world na england,kuna mzalendo wa kweli akamwekea hapa hapa mkataba kati ya dp england na dp Tanzania,ni mbingu na ardhi,tapeli anamtapeli mjinga asiyejua,ila when its due to pay bills he pays respectively,mkataba wa dp england unakazia zaidi majukumu ya dp na mipaka yao,mkataba wa dp na tz unakazia kabisa haki za dp ambazo serikali ni lazima ihakikishe dp inazipata,tena bila kikomo,sasa huu mkataba?au utekaji?