Rwanda kujengwa bandari kavu kwa ajili ya mzigo wa DP World, Kagame nae anaiuza nchi Rwanda kwa Mwarabu?

Kwani hio bandari kavu inamilikiwa na DP world?, au ni mwezi mchanga. Tunaongelea waarabu kumiliki nchi yetu
Mwezi mchanga ni nyinyi mnaolishwa matango pori. Hakuna mwarabu anayekuja kumiliki nchi yako wakati wewe ukiwa hai na unazo akili zenye kuchanganyika na elimu ya darasani.
 
Hayo yameandikwa kwenye ule mkataba wa jumla, hii mikataba yenyewe ya kiutendaji haijasainiwa bado na ni mpaka yafanyike majadiliano ya kina kati ya pande hizi mbili.
 
..Dp ana bandari kavu Kigali.

..Tanganyika tuna bandari kavu ya kuhudumia mizigo ya Rwanda Isaka.

..Je, Dp akianza kuendesha bandari zote za Tanganyika bandari kavu ya Isaka itasalimika?
Anapewa sehemu tu ya bandari kuendesha, kama ilivyokuwa kwa TICTS. Hakuna anayeweza kuinunua nchi hii, hizo ni siasa za kunywea kahawa vijiweni.
 
Ni rasmi sasa Rwanda inamiliki bandari kupitia DPW. Kweli wajinga ndio waliwao
 
Ni rasmi sasa Rwanda inamiliki bandari kupitia DPW. Kweli wajinga ndio waliwao
Kwenye masuala ya kutengeneza pesa Kagame hataki kabisa siasa za majitaka kama za hapa bongo. Ameshaweka mazingira mazuri tatizo ni vichwa maji wengi waliopo hapa bongo.

Tatizo ni matutusa sisi watanzania tunaoshikiwa akili na hatujui ni kwa namna gani tunaweza kuzichukua tena akili zetu.
 
Unalinganisha mafua na Marburg ndugu yake ebola.

Hao wawekezaji huja na terms za mikataba kulingana na jinsi nchi yenyewe na viongozi wake walivyo!

Historia yenu na Rwanda kwenye mikataba ni mbingu na ardhi.
 
Hakuna mtu yyt mwenye akili timamu anayeweza kupinga uwekezaji wenye tija, tatizo ni pale terms za uwekezaji zinapokuwa hazina tija kwa taifa. Hata mpangaji wa chumba ana clear terms na mwenye nyumba, inakuwaje ishu kubwa km ya bandari isiwe na clear terms?
 
Mradi umeanza kupiganiwa tangu 2015 hivyo ni mjadala hata kuzipata hizi terms zinazoonekana sio nzuri.
 
Unalinganisha mafua na Marburg ndugu yake ebola.

Hao wawekezaji huja na terms za mikataba kulingana na jinsi nchi yenyewe na viongozi wake walivyo!

Historia yenu na Rwanda kwenye mikataba ni mbingu na ardhi.
Kinachojengwa DRC na Rwanda ni mwendelezo tu wa kinachotaka kufanyika TZ. Ni suala letu sisi kuwa na muitikio chanya kwenye suala lenye kulenga kuifikisha nchi katika uchumi wa kati wa juu.
 
Mpuuzi mmoja anadhani rwanda ni kama tanzania,watu aina ya mleta mada ndo wanaoutrudisha nyuma nchi kama nchi kimaendeleo.
 
Naona waraabu wanazidi kutetewa kwa nguvu, na wanavyo penda tgo 😅 mtaliwa sana vijana
 
Mpuuzi mmoja anadhani rwanda ni kama tanzania,watu aina ya mleta mada ndo wanaoutrudisha nyuma nchi kama nchi kimaendeleo.
Wanaoturudisha nyuma ni wale wanaokabidhi akili zao kwa wafanyabiashara wakubwa wenye malengo yao binafsi wanaodanganya umaa kwamba bandari inataka kuuzwa.

Wanaoturudisha nyuma ni wale wanaokuja na hoja za kuichonganisha serikali ya awamu ya sita na umma wa walipa kodi.
 
Kumuhusisha kagame kama mfano na ujio wake siku za mwisho kabla ya IGA kwenda kwenye kikao Cha Wana ccm waliolewa madaraka na wenye chuki ya wazi dhidi ya hii nchi ni sababu tosha kabisa kukataa huu uwekezaji
 
Weka mezani mkataba wa Kagame ndo tuingie kwenye mjadala. Vinginevyo usitupotezee muda hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…