Rwanda kujengwa bandari kavu kwa ajili ya mzigo wa DP World, Kagame nae anaiuza nchi Rwanda kwa Mwarabu?

Mungu ambariki rais wetu na Watanzania wote, na Waarabu pia tunawaombea heri Mwenyezi Mungu awasimamie, tunawakaribisha sana, aise wanasemwa sana, sijui kama hawakohoi huko waliko😁


Bhujiku ng'waka
 
Bandari kavu ni kitu gani??? Si ni sawa na leo nikupe shamba au kiwanja afu uamue kufyeka kusawazisha na kuweka zege na kuanza kupanga makontena basi, kitu ambacho hapa Tanzania hizo bandari kavu zipo nyingi na huyu dp hajaja kujenga


Hapa issue ni bandari ambayo inahusika kuingiza vitu nchini


Sasa usifananishe bandari na vitu vingine ambavyo havieleweki
 
Anapewa sehemu tu ya bandari kuendesha, kama ilivyokuwa kwa TICTS. Hakuna anayeweza kuinunua nchi hii, hizo ni siasa za kunywea kahawa vijiweni.

..sasa mbona mkataba na nchi walikotokea TICTS haukupelekwa bungeni?

..bila shaka hawa DP wanataka kitu tofauti na kikubwa kuliko TICTS.
 
Hao DP wanataka kukodisha baadhi ya maeneo ya bandari kibiashara na wanakuja na teknolojia ya hali ya juu ya kufanya kazi.

Kagame nimemuongelea kwenye hii mada kama mfano wa kiongozi mwenye maono ya mbali, nchi yake haina wajuaji wengi wenye kupinga kila anachokifanya tofauti na TZ iliyojaa midomo mingi ya kila anayejiona anajua kila kitu.

Bandari Kavu kujengwa Rwanda ni fursa ya biashara pana sana ya kuhifadhi mizigo ambayo kwa akili ya kawaida inakuja kupanda meli kupitia bandari ya Dar.

Huu ni mkakati wa muda mrefu wa mzigo kutoka DRC kuja Dar na kwenda huko nje yalipo masoko ya DP World, inashangaza kuona DRC na Rwanda wapo tayari kufanya biashara ila hapa kwetu tunaleta siasa za eti nchi inataka kuuzwa!.
 
..Dp ana bandari kavu Kigali.

..Tanganyika tuna bandari kavu ya kuhudumia mizigo ya Rwanda Isaka.

..Je, Dp akianza kuendesha bandari zote za Tanganyika bandari kavu ya Isaka itasalimika?
Bandari ya isaka isalimike mara ngapi? Isaka hakuna bandari kuna magofu ya bandari mlioshindwa kuyaendesha Nye waswahili acheni akili kubwa ije ichape kazi.
 
Bandari ya isaka isalimike mara ngapi? Isaka hakuna bandari kuna magofu ya bandari mlioshindwa kuyaendesha Nye waswahili acheni akili kubwa ije ichape kazi.

..ujenzi wa sgr ni pamoja na kufufua bandari kavu ya Isaka.

..DP yuko Kenya, Rwanda, Drc, kwa hiyo tuwe naye makini.
 
..ujenzi wa sgr ni pamoja na kufufua bandari kavu ya Isaka.

..DP yuko Kenya, Rwanda, Drc, kwa hiyo tuwe naye makini.
Tuacheni unafiki nyie waswahili mnaowaza matumbo sgr asipopewa mwekezaji wa nje dakika mbili chali, mwendokasi tu mnajaza kama mbuzi na mifugo humohumo, je sgr mtaweza kuendesha Kwa ufanisi kweli?
 
PK anafurahi sana TZ kuwa na viongozi maboya
Wazenji huwa hawajiamini ni hadi wamuweke mtu mweupe mweupe mbele, wameedhirika na historia ya utumwa.

Mfano mwarabu hakai foleni zenji.
Kwenye kikao atatafutwa mwarabu japo teja akae meza ya mbele hata kama hajui aseme nini.
Kazi yoyote hawajiamini hadi wafanyiwe na mweupe (mwarabu au muhindi).

Wazenji hawajui kuiba, hubeba vyote mchana peupeee😂😂😂
 
Kagame ni mkiristo mwenzao, watakwambia mkataba wake mzuri, hawa wanapinga kila jema linalofanywa na muislam, wala usipate tabu mkuu, wewe wapuuze tu watasema usiku watalala mama analeta maendeleo na hilo dio muhimu
 
Hakuna hasara yoyote kununua ndege. Mkuu Jokakuu tufungue vichwa vyetu tusije kupitwa na huu uwekezaji wa bandari. Ni mpana na wa kisasa unaokwenda kuifungua Nchi yetu kwa ujumla.

..ununuzi wa midege ni mradi wa kipumbavu.

..kuna mtu amedai DP watawekeza usd 500 mil.

..sisi tumetumia kiwango zaidi ya hicho kununua midege toka kwa mabeberu, na midege hiyo inatutia hasara.

..manunuzi ya midege kipindi cha Magufuli na Mbarawa ilikuwa ni upumbavu.
 
Haya tunayoyaongea ni madogo sana kulinganisha na biashara pana ya SGR pamoja na bandari inayokwenda kufanyika baada ya kumalizika kwa reli.

JPM alianza kupingwa tangu ujenzi wa reli ulipoanza na Samia anapingwa wakati wa biashara ya matumizi ya reli inapoanza.

Uwezo wetu wa kuona mbali ni mdogo sana.
 
UNafahamu kuwa Tanzanite inachimbwa TZ tu?? Ila unafahamu nchi inayofahamika kwa kuuza Tanzanite??
Hii biashara ya DP World ni mnyororo mzima wa logistiki kutoka DRC kwenye mzigo mpaka huko ughaibuni.

Sio biashara ya kitoto pia ni matumizi sahihi sana ya faida za kijiografia tulizonazo kama nchi, bahari ya Hindi na sehemu tuliyopo ni vitu ambavyo tulikuwa hatujavitumia vizuri.

Hawa wanaopiga kelele kupinga huu mradi hawaelewi na hata wanashindwa kuona hiyo faida tuliyonayo ambayo kwetu ni sababu ya kutengeneza pesa ya maana.

Mawazo ya kipumbavu eti kwamba SSH anauza nchi, anafanya udalali hayafanani kabisa na faida za kijiografia tulizonazo kulinganisha na Rwanda, Burundi, Uganda na wengine afrika.

JPM alikuwa na maono ya mbali kuamua kujenga SGR, na SSH ameyaendeleza maono kwa kuamua kuipambania biashara yenye kulingana thamani na pesa iliyomwagwa kwenye ujenzi wa reli.

Mungu atatuvusha tu.
 
Wewe ni LGBTQ na umeinguziwa dude huko nyuma. Chomoa alafu utueleze hiyo Bandari ya Kagame kwanini aijenge mapema wakati Hana Bahari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…