MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #81
Kweli nyani ni nyani tu huwa haoni kundule. Hebu niambie na nyinyi huu umaskini wenu umetokana na laana gani??--- sio laana ya ukabila wa kiuchumi??, kama umaskini ni laana basi nyie mmelaanika zaidi kwani njaa pia inawapiga kila mwaka, hebu angalia sababu za umaskini wenu plus njaa hapo chini👇🏻
View attachment 2297335
Nilikua nafikiri mauaji na ulaji wa albino umepungua, kumbe kuna visa visivyo vya kitambo, laana ya umaskini itawatesa sana mmpaka muache huu ukatili Tanzanians hard hit by trafficking in people with albinism - ISS Africa