Hatutaki Magu usituletee balaa sisi yanayotokea DRC unataka yaje na huku??? ccm msiliingize taifa kwenye giza nene! Afadhali mzungu kuliko Rwanda hawa ni wauaji watatumaliza wageuze Tz ni yao.
Huyu anataka watu waanze kugawana majengo. Hope n pray halitafanikiwa. Watanzania tukatae kwa nguvu zote.Yaani nimeshangaa sana aisee kuona huyu dikteta mwingine anakaribishwa nchini eti kuja "kuwekeza"
Hiyo TISS ilikua wapi wakati mkataba wa Richmond unasainiwa?
Hiyo Tiss ilikua wapi wakati pesa za Escrow zinabebwa kwenye sandarusi na mabox?
We mama jifunze kusoma na kuandika kwa ufasaha ili uelewekeHabari hizi fununu ilishatoka na watu wakangelea.. acheni kumsifia mtu ambaye nae alijua kama wengine na sio kutumia voodoo kujua.
We mama jifunze kusoma na kuandika kwa ufasaha ili ueleweke
Hivi na wewe umeajiriwa na unalipwa mshahara kabisa? Uandishi wako unaonesha wewe ni Mama wa nyumbani.
Huwez mwamini cz mawazo yako yako juu maili kadhaa toka kwa viongozi wengine!Sijawahi mwamini Kagame!!!
Rwanda wana hela gani ya kuwekeza Tanzania. What nonsense is this?
Something very fishy here. It won't work by the grace of God.
NITAKUWA WA MWISHO KUAMINI KATIKA HILIBaada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini
Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo
Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha
My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua
Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
Jamani tumieni kiswahili au Kiingereza tuelewaneEdelweiss the Mukwonago mange children cjuw malaya magus yang mila aina katukanwa....cjuw cc tumelogwa yaani mmh
Kwa hiyo kwa kuwa alikuwa haivi naye, unataka huyu assign naye? Huyu naye akitoka akaja mwingine unataka naye asiive na wale ambao huyu wa sasa haivi nao?Mmmh...muda utaongea mana kiongoz wa awamu ya nne alivyokua haivi na kagame halaf leo hiii...
Magufuliyani huu ni upuuzi yani badala ya sisi kuwekeza Rwanda yani wao ndo wanawekeza kwetu??? hivi tanzania ni nani aliyetulogaa??
Lugha gani hiiEdelweiss the Mukwonago mange children cjuw malaya magus yang mila aina katukanwa....cjuw cc tumelogwa yaani mmh
Mke wangu Sky Eclat naomba uje unisaidie kutafsiri hili fumbo mama.Kwa hukusoma post zilizopo kabla yangu.. nimekusaidia kukurahisishia kwa sababu una mke humu asikushangae.. Eeeeh Asprin umeanza kunichokoza chokoza ninakupiga chabo kwa mbali.. leo umeandika kiubinadamu kidogo.. nikikupiga chambo kwa ukaribu eeeh usilalamike... utasema haujaelewa na hili or!?
Ukitaka nifundishe swahili muzuri unaona itapita yangu nayoandika kuburudika na sio ya kazi zangu..