Rwanda: Msanii maarufu wa nyimbo za injili Kizito Mihigo akutwa amejinyonga ndani ya Kituo cha Polisi

Rwanda: Msanii maarufu wa nyimbo za injili Kizito Mihigo akutwa amejinyonga ndani ya Kituo cha Polisi

Mungu apumzishe roho yake kwa amani. Jamaa huyu nasikie alishauriwa kurudi rwanda na familia ya kagame kutoka hukouhamishoni alikokuwa akifanyia shughuli zake; ni afadhali angebaki hukohuko.

Kama hayo yangetokea Tanzania leo hii tena chini ya ulinzi wa polisi, basi siyo World Bank tu ingetumiwa barua bali hata serikali za Urusi, China, Iceland, Nepal, Vietnam, na Fiji pia wangepatiwa taarifa hizo kuhusu kukosekana kwa demokrasi Tanzania.
Una maana gan?

Kwamba wanaopiga kelele kuhusu haki za binadamu hapa Tz hawapaswi kufanya hivyo maana hata Rwanda hizo haki hazipo?
 
The brutal regime like the one operating from Kigali can never give its detractors even the slightest opportunity to commit suicide.

That's the work of Mr. Kagame and his array of killers. If he can afford to go and liquidate his adversaries as far as Nairobi or Johannesburg what about the one waggling at their disposal in Kigali?

The day of reckoning is coming when Kagame and his gang of ruthless killers will be brought to justice to account for their misdeeds. Their criminal regime won't last indefinitely.
 
Mine eyes,
Shida ya walioshika madaraka kwa bunduki wakitokea msituni wanaamini solution ya changamoto zao zita tatuliwa kwa bunduki tu mkuu.
Ni kweli...

Wanasema ...Ukiua kwa upanga utakuja kwa upanga!

Jamaa anatumia kila njia kujihami...
hana amani ya nafsi na anaowatawala pia!
Ila kwa huku Africa bila mkono wa damu au chuma ...hutawali!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una maana gan?

Kwamba wanaopiga kelele kuhusu haki za binadamu hapa Tz hawapaswi kufanya hivyo maana hata Rwanda hizo haki hazipo?
Ni kwa sababu unatafsiri haki za binadamu vibaya, ndiyo maana unarudia hivyo.
 
Rais aliyopo madarakani hapo rwanda siku akiondoka nahisi hiyo nchi itaingia kwenye vita tena.
Mm nawaza hivi watoto wa pk wanajisikiaje kuona mzee wao anavyomwaga damu
 
His soul will never resten in peace until justice is done... It will automatically turn into ghost that will haunt the killers wherever they go

Jr[emoji769]
Na walaaniwe wote waliohusika
 
Watasikia nini? Si ajabu wako Marekani wanasoma na kufanya shughuli zao wakivinjari visiwa vya Hawaii kila wapendavyo

Ukiwa rahani kuhisi tabu ya aliye shidani yataka kudra za mwenyezi
Rais aliyopo madarakani hapo rwanda siku akiondoka nahisi hiyo nchi itaingia kwenye vita tena.
Mm nawaza hivi watoto wa pk wanajisikiaje kuona mzee wao anavyomwaga damu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom