Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Kwa historia ya uuaji ya PK,unaona mizani itainamoa wapi zaidi?
Maana decision ipo affected na priors za actors kwenye equation!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu ila nafikiri pengine kwasababu nimeenda kinyume na expectation zako
Kabisa kabisa,na hio ndio style yake ya ku survive nadhani kwa nature ya kazi yake(ujasusi) atakua alishajifunza mbinu hio,hata Museveni alishasema hilo la Pk kutokua na marafiki wa kudumu/kukugeuka ni fasta tu.
Pk Hna urafiki wa kudumuHuyo Jamaa alikua ni kipenzi cha PK balaa sherehe zote za kitaifa yeye ndio anaimba nyimbo za dini/taifa,PK akienda nje ya nchi kwenye(Rwanda day)anaenda nae mpk alipelekwa na PK kusoma huko Europe kozi za music alivyokuja kuanza kum challenge Mtu mwembambaaa ndipo akaanza kusomeshwa number.
Mi namfahamu, uwa tukienda kuhiji Rwanda nimepata kuzungumza, ni mwal na mentor mzuri wa muziki kwangu.Nitakuwa wa mwisho KUAMINI kwamba Kizito kajinyonga... Nimeumia kama namfahamu... The cell room he was locked in has a story to tell
Jr[emoji769]
Pk Hna urafiki wa kudumu
Au Mr slim alihisi jamaa a nampigia Nani wakee
Maana Nani wa pk alimkubali sana msanii
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Angeunga juhudi tu yasingemkuta, naona alitoka na kinyongo mbaya sana na alikua aondoke akaungane na wengine kupiga kelele akiwa nje ya Rwanda wakamuwahi.
Biwot AKA Man of total action AKA Total man.Huyu Pk na Marehemu Moi hawana tofauti, nasikia Robert Ouko aliuwawa State House kwa kupigwa risasi na Nicholas Biwot mbele ya Moi ndio wakaenda kumtupa kwenye mashamba huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ujumbe umetumwa mahala, kwamba mkiendeleza chokochoko tutawamaliza wote kwa staili ambazo hamuwezi kuzifikiria.
Kama suala lingekuwa kuondoa tu uhai wa huyu ndugu timing ya tukio isingekuwa hii na asingeondolewa kwa staili hii angeondolewa kwa njia zinazoweza kuwa covered kwa urahisi, hapo wanajua kabisa watu wataelewa kuwa ameuwawa huko huko polisi na ndio nia na ujumbe waliotaka uwafikie mahasimu wao. Wauaji wamejawa jeuri ya madaraka, wangekuwa na uoga walau kidogo wangefikiria mara mbili mbili juu ya mahabusu kujiua police cell. Hawaogopi kudhaniwa na wanachi....... Kibri!
Mungu apumzishe roho yake kwa amani. Jamaa huyu nasikie alishauriwa kurudi rwanda na familia ya kagame kutoka hukouhamishoni alikokuwa akifanyia shughuli zake; ni afadhali angebaki hukohuko.
Kama hayo yangetokea Tanzania leo hii tena chini ya ulinzi wa polisi, basi siyo World Bank tu ingetumiwa barua bali hata serikali za Urusi, China, Iceland, Nepal, Vietnam, na Fiji pia wangepatiwa taarifa hizo kuhusu kukosekana kwa demokrasi Tanzania.
Kama hawaungani wamtoe paka ,basi yeye atawatoa mmoja 1 mpaka wote waishe
Sent using Jamii Forums mobile app