Rwanda: Msanii maarufu wa nyimbo za injili Kizito Mihigo akutwa amejinyonga ndani ya Kituo cha Polisi

Rwanda: Msanii maarufu wa nyimbo za injili Kizito Mihigo akutwa amejinyonga ndani ya Kituo cha Polisi

Huyu Pk na Marehemu Moi hawana tofauti, nasikia Robert Ouko aliuwawa State House kwa kupigwa risasi na Nicholas Biwot mbele ya Moi ndio wakaenda kumtupa kwenye mashamba huko
Sidhani kama amejinyonga bali wamemnyonga. Ndivyo watawala wa Afrika walivyo. Sijui PK ana damu za binadamu wangapi!! A satan in human flesh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bne, Acha kutulisha matango pori ndugu, polisi imetangaza kuwa marehemu amefariki usiku wa kuamkia leo na juzi ndo siku aliokamatwa akitaka kuvuka mpaka kuelekea Burundi. Na siku ya jana alitembelewa na familia yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The musician was being held in solitary confinement at the Rwanda Investigative Bureau (RIB) Station in Remera in the capital Kigali, where he was found hanging in a cell.

He was found hanging by an officer in the morning on Monday. He used the bedsheets that he was sleeping on to hang himself. Preliminary investigations show that he hanged himself on the window of his cell, but more investigations are being conducted,” Ms Marie Michelle Umuhoza, RIB spokesperson told The EastAfrican.
 
The musician was being held in solitary confinement at the Rwanda Investigative Bureau (RIB) Station in Remera in the capital Kigali, where he was found hanging in a cell.

He was found hanging by an officer in the morning on Monday. He used the bedsheets that he was sleeping on to hang himself. Preliminary investigations show that he hanged himself on the window of his cell, but more investigations are being conducted,” Ms Marie Michelle Umuhoza, RIB spokesperson told The EastAfrican.
Jibu litakuja kajinyonga tu
We unapigana na Mr slim alafu uko Ndani ya rwnd.... Uhai wako lazima uwe mashakani

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kagame mshenzi sana. Amemtanguliza binadamu kirahisi sana aisee. Ila furaha yangu ni kuwa vyovyote iwavyo naye soon ataionja mauti. Anayejua baada ya haya maisha ni nini kitafuata ni Mungu pekee.
 
Kuna wakati nlikuwa Kigali Kuna mzee mmoja namjua na tumeshibana, wkt wa kilaji alikuwa Ana nipa story ya j3 mafia...... Ilikuwa
Maongezi yalikuwa balaaa kna watu hatari

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Ana mziki wake mmoja una kwenda kwa title ya "the definition of death" ulimletea shida sana na serikali ya rwnd.....

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo Jamaa alikua ni kipenzi cha PK balaa sherehe zote za kitaifa yeye ndio anaimba nyimbo za dini/taifa,PK akienda nje ya nchi kwenye(Rwanda day)anaenda nae mpk alipelekwa na PK kusoma huko Europe kozi za music alivyokuja kuanza kum challenge Mtu mwembambaaa ndipo akaanza kusomeshwa number.
 
Nashukuru kwa tag
Huyu jamaa ni mtutsi na mpigania amani na upatanisho ukiachana na kwamba ni mwanamuziki. Sasa kuna wakati roho ilimuuma kuona Genocide imegeuzwa ya Watutsi pekee na kupuuza vifo vya wahutu.

So jamaa akatunga wimbo kukosoa programme ya "I am Rwandan" iliyotaka wahutu wote hata aliezaliwa leo aombe radhi watutsi hadharani kwa kuwachinja.

Pia alitaka mauaji ya wahutu yakumbukwe kila mwaka ili kuwepo usawa mwisho wa siku akabambikiwa kesi ya uhaini na ugaidi.

The rest is history

Cc mtu chake
Na kabla ya hapo alikua rafiki sana wa family ya rais na akialikwa sana tu ikulu na hata misafara ya rais
 
Back
Top Bottom