Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru kwa tagAcha tuwaite wataalamu wa hizi mambo za maziwa makuu zitto junior Mobutu
Kwanini asijitangulize akiwa kwake nyumbani, Why iwe kituo cha polisi?Afadhali amejitanguliza, kuliko kukutana na mkono wa PK kwa kukufa polepole na kwenye maumivu makali
Sent using Jamii Forums mobile app
Jesus never say Bye
Huyo alikuwa anaenda kupoteaR.I.P Kizito! Ni vigumu kuamini mtu ambaye yupo mikononi mwa polisi kajiua.
Ila hii ndiyo Africa! Mungu atawahukumu watesi wako.
Hata marekani, ulaya Kuna watu wanaijua wakiwa gerezani au rumandeHIVI MTU ANAJINYONGA VIPI AKIWA KITUO CHA POLISI? MAANA VITU VYOTE HATARISHI HUWA VINAACHWA PALE KAUNTI YA WALA RUSHWA?
Huyo atakuja kugombania kama Mpira wa konaKagame mwisho wake utakuwa mbaya sana!!!