Una maana gan?Mungu apumzishe roho yake kwa amani. Jamaa huyu nasikie alishauriwa kurudi rwanda na familia ya kagame kutoka hukouhamishoni alikokuwa akifanyia shughuli zake; ni afadhali angebaki hukohuko.
Kama hayo yangetokea Tanzania leo hii tena chini ya ulinzi wa polisi, basi siyo World Bank tu ingetumiwa barua bali hata serikali za Urusi, China, Iceland, Nepal, Vietnam, na Fiji pia wangepatiwa taarifa hizo kuhusu kukosekana kwa demokrasi Tanzania.
Ni kweli...Mine eyes,
Shida ya walioshika madaraka kwa bunduki wakitokea msituni wanaamini solution ya changamoto zao zita tatuliwa kwa bunduki tu mkuu.
Ni kwa sababu unatafsiri haki za binadamu vibaya, ndiyo maana unarudia hivyo.Una maana gan?
Kwamba wanaopiga kelele kuhusu haki za binadamu hapa Tz hawapaswi kufanya hivyo maana hata Rwanda hizo haki hazipo?
...sijakuelewa..Ni kwa sababu unatafsiri haki za binadamu vibaya, ndiyo maana unarudia hivyo.
Na walaaniwe wote waliohusikaHis soul will never resten in peace until justice is done... It will automatically turn into ghost that will haunt the killers wherever they go
Jr[emoji769]
Hata gereza la Gitarama?Mahabusu za Rwanda ni nzuri sana. Mtuhumiwa upewa chumba chake mwenyewe na hivyo ni rahisi kujidhuru bila bugudha!
AiseeNa kabla ya hapo alikua rafiki sana wa family ya rais na akialikwa sana tu ikulu na hata misafara ya rais
Rais aliyopo madarakani hapo rwanda siku akiondoka nahisi hiyo nchi itaingia kwenye vita tena.
Mm nawaza hivi watoto wa pk wanajisikiaje kuona mzee wao anavyomwaga damu
Kweli kabisa nduguWatasikia nini? Si ajabu wako Marekani wanasoma na kufanya shughuli zao wakivinjari visiwa vya Hawaii kila wapendavyo
Ukiwa rahani kuhisi tabu ya aliye shidani yataka kudra za mwenyezi
Sent using Jamii Forums mobile app