MWAKITWINO
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 227
- 121
Hivi nyinyi CCM mna akili gani yaani hapo hamuoni mantic kweli Hebu someni tena anachoeleza mwandishi ni kwamba Tunapokea maelekezo toka Rwanda hilo halikuumi???? Kinacho kuuma wewe ni Ubunge wake tu! Shame on you CCMHivi huyu yeye nani!!?
kwamba hakuna wengine!!
hii mbaya kabisa
kama waliomba zaidi ya 100 kuondolewa yeye tu iwe kelele!!
huo ubunge ni wamaisha!!
Unaichukia Rwanda hasa Serikali ya Kagame
tunajua
lakini usituvuruge kwa kuunganisha chuki zako
na suala hili.
Kama kutetea Maslahi ya Tanzania hawezi kuyatetea pekee