Rwanda Wailaani DR Congo kwa ndege yao ya kivita kutua Rwanda

Rwanda Wailaani DR Congo kwa ndege yao ya kivita kutua Rwanda

View attachment 2409528
Wataalam wa mambo hii sio act of aggression kweli?, katika wakati mgumu Kama huu unarusha ndege ya kijeshi, sio ya kiraia. Au ndio Congo wameamua kutokuwa wanyonge tena. Pia sidhani Kama Kagame atakubali huu utoto.
Bila shaka ndio kipenga kimepulizwa hivyo.
#BREAKING: Rwanda says a fighter aircraft from DR Congo violated its airspace on Monday and briefly landed at Rubavu Airport in Western Province.

“No military action was taken by Rwanda in response, and the jet returned to DRC," a statement said.
Weye ni mtoa taarifa lakini uandishi wako huwa ni kama unapiga soga kibarazani na shoga zako.Fuata kanuni za uandishi wa habari na ujikite kuhusu chanzo,nini,nani,wapi,ilikuwaje,ipoje na muendelezo.
 
Vita ya urusi vs ukraine, inatufundisha mengi sana; nasubiri kuona 'mobilized' watakao patikana
 
Hivi congo nao wanafighter jets? Maajabu!

Labda yale ma migs chakavu ya urus Lumumba aliyoyaacha.

Mzee Shirimaa
Hizo Su-25 ni ground attack fighter na common sana kwenye majeshi. Haina uchakavu wowote kama ina maintenance na iko updated, ndio ground attack jet ya Urusi hata sasa hivi vita ya Ukraine. Na Ukraine wenyewe wanazo.

Ukisema sio ndege ya maana sijui unajua za kwetu ni zipi. Kina Shenyang F-7G na Su-21, yaleyale tu.

NB: Hiyo incidence sio attack. Kitendo cha kutua kwenye runway ya nchi nyingine huwezi kuwa na nia ya kushambulia. It doesn't make sense at all
 
Hapo Rwanda ni swala dogo tu wakongo waanzishe tu harafu wahutu watamalizia maana wanabifu kubwaaa liko moyoni ..wakongo nyie kiwasheni arafu waachieni wahutu mbona kagame atapoteana hapo
Rwanda ni ka nchi kadogo mno ukilinganisha na drc....sie tanzania tu kwa drc bado tunasubiri...so ukiongelea battle rwanda yaweza angamizwa within 25 minutes

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Rwanda ni ka nchi kadogo mno ukilinganisha na drc....sie tanzania tu kwa drc bado tunasubiri...so ukiongelea battle rwanda yaweza angamizwa within 25 minutes

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Yeyote atakayepigwa au kushinda huo ndio uwezo wake kijeshi na si kwa ajili ya ukubwa ama udogo wa eneo lake.

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 
Ivi Mfano wakaanzisha vita,kuna roho za wanajeshi zitaangamia au ni wanapigana tu hafi MTU? Maana naona kuna watu humu wanasema wakipige tu! Mwee
 
Hapa ndio tutaona nguvu na maana au umuhimu wa umoja wa nchi za Afrika mashariki kwa nchi wanachama wake.
 
Yani tunaenda kutetema live live huko kigali bwana mashavu kasema kama mbwai mbwai tu tobaaa bwana mwembamba aliposikia hivyo mbiooo kaitisha kamati zake kuangalia kwenye ramli chonganishi anakuja kugundua bamutu ba congo wamedhamiria ubaya wa kiwango cha lami na wamejipanga vizuri mno kisiri siri akamuuliza mpiga ramli je nifanyeje? Ndipo mpiga ramli akajibu bwana wangu mwembamba hutoboi maana bamutu wakilianzisha tu humu humu kijijini kwetu watatokea watu wataungana nao .....loooooh hiyo ikawa balaah
 
Hiyo vita Itakuwa ni proxy war..muendelezo wa uhasama kati ya Urusi na nchi zawest..kinachoendelea ma bwana wakubwa wanasupport vita kwenye nchi nyingine zilizo na mlengo wao...utashangaa Rwanda anapewa msaada na Marekani na Uingereza na Israel, huku Kongo akipewav misaada na Urusi, china, Iran n.k so unaweza iona Rwanda ni mdogo but vita haitakuwa ndogo kama ilivyotokea vita kati ya Ethiopia na Tigray.
 
Back
Top Bottom