Rwanda Wailaani DR Congo kwa ndege yao ya kivita kutua Rwanda

Rwanda Wailaani DR Congo kwa ndege yao ya kivita kutua Rwanda

Hapa ndio tutaona nguvu na maana au umuhimu wa umoja wa nchi za Afrika mashariki kwa nchi wanachama wake.
HIYO EA YENYEWE IMESHINDWA KUMWAMBIA MOSQUITO AACHE KUPAMIA NCHI YA WENGINE, NA KUGEUZA SHAMBA LA BIBI, POSIBLY MR. MOSQUITO HAKUPENDEZEA NA DRC KUINGIA EA COMMUNITY.
 
Vita ikianza hii kuna jambo moja na ni fumbo ambalo Kagame hataamini maishani mwake ni kuwa atasababisha wanyarwanda wenyewe kwa wenyewe kuanza mauwaji ya halaiki, kuna chuki kubwa mno inaendelea na inawaumiza ila hawana pa kusemea
 
Kagame akae kwa kutulia. Asije akashawishika na baraza lake la ulinzi na usalama kwa intells za kipindi cha Kabira Sr akamchukulia Tsheked kama wale wale...
 
Vita ikianza hii kuna jambo moja na ni fumbo ambalo Kagame hataamini maishani mwake ni kuwa atasababisha wanyarwanda wenyewe kwa wenyewe kuanza mauwaji ya halaiki, kuna chuki kubwa mno inaendelea na inawaumiza ila hawana pa kusemea
pia watamuunga mkono mkongomani kumpigia rais wao bila huruma,unapoanza vita na tajiri jiandae kwa lolote congo ni tajiri akitoa eneo dogo tu anapewa siraha anayoitaka.
 
Kagame akae kwa kutulia. Asije akashawishika na baraza lake la ulinzi na usalama kwa intells za kipindi cha Kabira Sr akamchukulia Tsheked kama wale wale...
Kwani Drc ya Sasa sio ile ile ya Kabila ?
 
pia watamuunga mkono mkongomani kumpigia rais wao bila huruma,unapoanza vita na tajiri jiandae kwa lolote congo ni tajiri akitoa eneo dogo tu anapewa siraha anayoitaka.
Ndicho nakiona na mimi, niliwahi kaa maeo kadhaa na wanyarwanda ukweli wanaumizwa na utawala wa huyu PK na wanalia sana mmoja wao aliengea hadi machozi yanamtoka na mpaka sasa yupo Tz yetu anajificha tu kakimbia huko so naimani vita ikianza patanuka na watapata nafasi ya kulipa maumivu
 
Tshesekedi achukue tahadhari zote kabla ya kwenda vitani
Vita haijalishi udogo wa nchi
 
Kwani Drc ya Sasa sio ile ile ya Kabila ?
Mambo mengi sana yamebadirika. DRC hii si sawa na ile aliyokua akiingoza Kabila akiwa amezungukwa na panetrators wa Rwanda na Uganda. Tsheked amefanya reformations kubwa kwenye vyombo vyake vya ulinzi na usalama
 
Kwenye hii chokochoko yote inayoendelea ukweli halisi wa sababu ni ukabila kati ya wahutu na watutsi! Aisee vita ikitokea itakuwa na madhara makubwa mno kwa Rwanda!!
 
Wataalam wa mambo hii sio act of aggression kweli?, katika wakati mgumu Kama huu unarusha ndege ya kijeshi, sio ya kiraia. Au ndio Congo wameamua kutokuwa wanyonge tena. Pia sidhani Kama Kagame atakubali huu utoto.
Bila shaka ndio kipenga kimepulizwa hivyo.
#BREAKING: Rwanda says a fighter aircraft from DR Congo violated its airspace on Monday and briefly landed at Rubavu Airport in Western Province.

“No military action was taken by Rwanda in response, and the jet returned to DRC," a statement said.

Ndayshimiye ameona aitishe kikao saa name usiku kuokoa jahazi lkn tabu iko palepale.
Tuacheni, msituingize kwenye drama zenu: yaani ndege ya kivita itue wakati Rwanda ikijinasibu kuimarisha ulinzi mipakani?
 
View attachment 2409528
Wataalam wa mambo hii sio act of aggression kweli?, katika wakati mgumu Kama huu unarusha ndege ya kijeshi, sio ya kiraia. Au ndio Congo wameamua kutokuwa wanyonge tena. Pia sidhani Kama Kagame atakubali huu utoto.
Bila shaka ndio kipenga kimepulizwa hivyo.
#BREAKING: Rwanda says a fighter aircraft from DR Congo violated its airspace on Monday and briefly landed at Rubavu Airport in Western Province.

“No military action was taken by Rwanda in response, and the jet returned to DRC," a statement said.

Ndayshimiye ameona aitishe kikao saa name usiku kuokoa jahazi lkn tabu iko palepale.
View attachment 2409865View attachment 2409866View attachment 2409867View attachment 2409868View attachment 2409869View attachment 2409870
1667889521797.png

Sukhoi Su-25 in flight.
Hii ni escallation.
Rwanda wajue kuwa wamelianzisha na wanaweza kulinywa.
Vita si lelemama, ikianza vita madalali wa vifaa vya kijeshi duniani wako wengi sana.
 
Hiyo vita Itakuwa ni proxy war..muendelezo wa uhasama kati ya Urusi na nchi zawest..kinachoendelea ma bwana wakubwa wanasupport vita kwenye nchi nyingine zilizo na mlengo wao...utashangaa Rwanda anapewa msaada na Marekani na Uingereza na Israel, huku Kongo akipewav misaada na Urusi, china, Iran n.k so unaweza iona Rwanda ni mdogo but vita haitakuwa ndogo kama ilivyotokea vita kati ya Ethiopia na Tigray.
Ukimuon mkenya yupo pale kua mwingereza yupo nyuma yake
 
Imetua na kupaa mkuu
Ngumu kumeza
Mosi-- isingeruhusiwa kutua;
Pili---- anga la mpakani mwa DRC na Rwanda si salama;
Tatu---isingeruhusiwa kuondoka;

La: dereva wa ndege hiyo ni wakara wa PAKA
 
Back
Top Bottom