Rwanda Wailaani DR Congo kwa ndege yao ya kivita kutua Rwanda

Rwanda Wailaani DR Congo kwa ndege yao ya kivita kutua Rwanda

Hivi congo nao wanafighter jets? Maajabu!

Labda yale ma migs chakavu ya urus Lumumba aliyoyaacha.

Mzee Shirimaa
Miaka 40 na kitu bado zinapambana hizo ndege na NATO walizitolea Mguu wa Chura frogfoot

Zimepigana nchi nyingi sana nakumbuka mpaka Iran/ Iraq niliziona huko
Screenshot_20221109-081925_Chrome.jpg
 
View attachment 2409528
Wataalam wa mambo hii siyo 'act of aggression' kweli? Katika wakati mgumu kama huu unarusha ndege ya kijeshi, sio ya kiraia. Au ndiyo Congo wameamua kutokuwa wanyonge tena? Pia sidhani kama Kagame atakubali huu utoto.

Bila shaka ndiyo kipenga kimepulizwa hivyo.

#BREAKING: Rwanda says a fighter aircraft from DR Congo violated its airspace on Monday and briefly landed at Rubavu Airport in Western Province.

“No military action was taken by Rwanda in response, and the jet returned to DRC," a statement said.

Ndayshimiye ameona aitishe kikao saa nane usiku kuokoa jahazi lakini tabu iko palepale.
View attachment 2409865View attachment 2409866View attachment 2409867View attachment 2409868View attachment 2409869View attachment 2409870
Kuna rafiki yangu ni mzungu wa Ujerumani.. aliwahi kuniambia kuna nchi za wazungu bado zinanyonya afrika kikoloni.. tena mbunu ni zilezile kutumia viongozi kulaghai wananchi hapa tujiulize hata sisi tanzania huko Congo tupo kama sisi au tunatumiwa na pia??

maana kama wakenya hata bila kuujiuliza marambili jibu ni kwamba wanatumiwa na uingereza na marekani.. tanzania kama tanzania huwa tunapenda kusimamia haki..[emoji23]

Sasa tusijisababishie vita kama viongozi wetu ndo wanataka kututoa kafara.. kabla hatujaanzisha vita tujiulize ni hasara ya miaka mingapi nchi husika zitapata kiuchumi,kisiasa n.k

Ni gheri kutumia busara.. kama vile Kiwete alivyo nyamaza kipindi anaambiwa sisi tunajua Bongofleva tuu [emoji23]

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom