Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Usipangie watu namna ya kujadili, ndio kama hivyo mnapigia watu makelele ya uislamu ambayo hawahusiani nayo.
Ni kama ule ujinga kule zenji wa kuchapa viboko wanaokutwa wakila hata wasio waislamu au hawana hata mpango huo kwenye maisha.
Fanyeni yenu bila kusumbua watu, mna matatizo sana ya kulazimisha watu huo uislamu.
Rwanda sio nchi ya kidini kama kwa wale wenye hiyo dini huko uarabuni.
Umenena vema
 
Usipangie watu namna ya kujadili, ndio kama hivyo mnapigia watu makelele ya uislamu ambayo hawahusiani nayo.
Ni kama ule ujinga kule zenji wa kuchapa viboko wanaokutwa wakila hata wasio waislamu au hawana hata mpango huo kwenye maisha.
Fanyeni yenu bila kusumbua watu, mna matatizo sana ya kulazimisha watu huo uislamu.
Rwanda sio nchi ya kidini kama kwa wale wenye hiyo dini huko uarabuni.


Kama Rwanda sio nchi ya kiisilamu (sio n?chi ya kidini) iweje iingilie mambo ya dini kwa kukataza, "religious rites" za msingi??!!. Kumbuka Adhana haijaanza hivi karibuni bali imeanzishwa na mtume Muhammad (saw), nani sasa aje kumpinga Mtume ??!. Nasikia hata wachhungaji wamelazimisha wawe na shahada za theology ndipo wapewe ruhusa ya kutoa huduma za kiroho!!, Yesu alikuwa na degee ya theology ??, inaonekana kama Yesu angalikuwa mnyarwanda katika zama hizi akina Kagame ndio wangalikuwa mafarisayo wake.

Wewe ni mpingaji wa uisilamu tu, wala huna thamani yoyote kuliko Uhuru Kenyatta aliyeiheshimu Adhana ilipotolewa kule Dodoma wakati akihutubia.

Soma mwisho wa Iddi Amini alipoanza kuingilia uhuru wa dini nchini mwake, Mungu sio wa mchezo.
 
Sawa adhana itakatazwa na kengele katika makanisa ya Roman kila alfajiri zitaruhusiwa kwakua ile siyo kelele ni sauti nzuri inayo vutia
 
Kama Rwanda sio nchi ya kiisilamu (sio n?chi ya kidini) iweje iingilie mambo ya dini kwa kukataza, "religious rites" za msingi??!!. Kumbuka Adhana haijaanza hivi karibuni bali imeanzishwa na mtume Muhammad (saw), nani sasa aje kumpinga Mtume ??!. Nasikia hata wachhungaji wamelazimisha wawe na shahada za theology ndipo wapewe ruhusa ya kutoa huduma za kiroho!!, Yesu alikuwa na degee ya theology ??, inaonekana kama Yesu angalikuwa mnyarwanda katika zama hizi akina Kagame ndio wangalikuwa mafarisayo wake.

Wewe ni mpingaji wa uisilamu tu, wala huna thamani yoyote kuliko Uhuru Kenyatta aliyeiheshimu Adhana ilipotolewa kule Dodoma wakati akihutubia.

Soma mwisho wa Iddi Amini alipoanza kuingilia uhuru wa dini nchini mwake, Mungu sio wa mchezo.
Watuwengi hawaelewi kuwa dini ni utaratibu wa kibinadamu. Na utaratibu wowote unaweza kubadilishwa. Hata Muhamad hajawai kutumia maspika kuhazini ila wanadam wakaamend kutokana na mabadiliko ya Tech. Ni muda muafaka sasa waamendi watumie alam za sim kuamshana.
 
Kwenye masuala ya imani hatuwezi kuamini wala kuwa na mawazo yanayofanana maana kila mtu/muamini ana Mungu wake anayemuamini ambaye anatofautiana na Mungu wa mwingine. Hivyo usilete generalization kuwa Mungu wako ndie Mungu sahihi kwa wote anayepaswa kupewa utukufu, sifa, heshima na wote utakuwa unakosea. Mbona haulaani kitendo cha PK kuwabana mbavu WaKristo?.

Tuishi kwa amani na upendo huku hizi tofauti za kiimini tusizipe nafasi ya kujenga chuki miongoni mwetu


Mimi nalaani kitendo cha mamlaka kuingilia mambo ya msingi ya dini yoyote, tuache dini na wanadini wafanye dini na wanasiasa wafanye siasa, tuache waumini waishi kwa harmony na tolerence bila kuvunja amani, mamlaka kuingilia mambo ya msingi katika dini ni KIZUNGUMKUTI (vicious cycle) kwani hatujui ni kitu gani kitafuata baada ya hapo, inawezekana mamlaka yakaanza kuwachagulia waumini viongozi au hata kuamua kupingana na maandiko ya badhi ya vitabu vya dini nk, hiyo ni hatari.
 
Ukiona dalili hizi ujue amekaribia kufa, hata yule alianza kupambana na viongozi wa dini hakuchukua mda akafa.
 
Akizuia kelele azuie zote hadi za bar aache dabo standard.
 
Na kengele za roman za kipa jumapili nazo zimepigwa marufuku?? Kama hawajapiga marufuku basi ni double standard!
 
Mimi ni Mkristo adhana haina shida yeyeto nje ya chuki tu kwanza ni kitu cha dakika chache tu. Kuita waumini wawahi ibadani. Pia wezi na wachawi umaliza shughuli zao kabla ya adhana Ili wasiingiliane na mida ya shughuli za wanadamu.
 
Kama Rwanda sio nchi ya kiisilamu (sio n?chi ya kidini) iweje iingilie mambo ya dini kwa kukataza, "religious rites" za msingi??!!. Kumbuka Adhana haijaanza hivi karibuni bali imeanzishwa na mtume Muhammad (saw), nani sasa aje kumpinga Mtume ??!. Nasikia hata wachhungaji wamelazimisha wawe na shahada za theology ndipo wapewe ruhusa ya kutoa huduma za kiroho!!, Yesu alikuwa na degee ya theology ??, inaonekana kama Yesu angalikuwa mnyarwanda katika zama hizi akina Kagame ndio wangalikuwa mafarisayo wake.

Wewe ni mpingaji wa uisilamu tu, wala huna thamani yoyote kuliko Uhuru Kenyatta aliyeiheshimu Adhana ilipotolewa kule Dodoma wakati akihutubia.

Soma mwisho wa Iddi Amini alipoanza kuingilia uhuru wa dini nchini mwake, Mungu sio wa mchezo.

Wenye dini yao kule uarabuni wameshaanza kubadilika, nyie waswahili ndio bado mnasumbua watu na hayo makelele.
Hakuna anayewazuia kuabudu huyo alla na Mohammed, mnachoombwa ni myafanye bila kusumbua wasiohusiana na hayo mavitu.
 
Mwenyezi Mungu amuangamize yeyote anayetaka kuidhalilisha dini yake kama alivyowangamiza kina Fir-auni,Namrudha na wengineo katika ulimwengu huu.

Huyu jamaa kisha ikamata Rwanda hakuna wa mnyarwanda mwenye kumchallenge akakubali lazima amdhoofishe,Sasa hapa kwenye Adhana amechezea Moto utakaomchoma muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom