Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Adhana ni sehemu miongoni mwa sehemu katika ibada ya swala ya kiisilamu, Adhana ni Lazima itolewe kwa sauti na Adhana haina mbadala kwa njia yoyote kwani yenyewe inabeba ujumbe wa kiroho unaomuhamashisha mtu aache mambo mengine na akaswali, adhana ni wito wenye "spiritual admonitions" and can't be replaced by anything else.

Adhana mbali na kuamsha na kuwataarifu wenyeji juu ya muda wa ibada lakini pia inawajulisha wageni kwamba msikiti upo wapi na hivyo kuwaunganisha Wageni waisilamu na ndugu zao wenyeji wa kiislamu katika Swala nk, Uisilamu ni zaidi ya kuswali msikitini na kuondoka.

Shida iliyopo Rwanda ni 90+% ni Christians na wachache waliobaki ni Muslims hivyo utaona nguvu ya Udini imeshawishi kuwepo na hilo katazo hii ni tofauti na Tz ambapo kuna angalau 50/50% Muslims na Christians ambapo tumejengwa kuvumiliana katika masuala ya imani.

Kuzuia utoaji wa adhana ni pigo katika imani ya dini ya kiisilamu.
Mkuu,kipindi mtume analeta mambo ya adhana, kulikuwa Na spika duniani?? Si walikuwa wansema Kwa mdomo Tu...ambayo sio Kelele.


Sasa kama spika ilivyogunduliwa duniani waislam waliweza kumodify adhana baadae Na kuanza kutumia spika kinyume Na alivyofanya mtume Kwa mdomo
kwanini Na sasaivi wasimodify wakaanza kutumia simu?
Yani Kila muumini aweke ringtone ya adhana itakayolia Kila ifikapo Muda wa swala
 
Sina mamlaka hayo ila MUNGU mwenyewe tu akiamua sekunde nyingi tunafukia.
Hauwezi kumpinga MUNGU ukabaki salama.
Dah masikini....inasikitisha.
Lakini Mzee hayo mamlaka unayo.
Kwani ukivaa mabomu ukaenda kumlipua Kagame Kazi si inakuwa imeisha?? Waislam wa rwanda watapata kheri Na Wewe utaenda kupata thawabu mbinguni
 
Unajua kilichowapata kaumu luti?
Watu wa nabii nuhu? Nk
Watu wameanza kumchukia Mungu Kabla hata mtume wako hajazaliwa...

Huyo Mungu kama tukimchukia dunia inaisha basi hata Sisi tusingeikuta
 
Sio kesi Usisahau mikutano ya siasa pia wafanyie ndani kwenye sound proof ikiwemo ya chama chake

Matangazo ya barabarani ya magari marufuku pia iwepo
inafanyikaga asubui
 
Hata bila mabomu huyo anaweza kuondoka.
Ni KUN FAYA KUN.
yaani Mungu akisema kuwa Basi inakuwa.
Na uenda waislam wa Rwanda hawajaamua kukaa kikao.
Ni suala la sekunde .Mungu anasubiri waislam wa Rwanda watasema Nini
Dah masikini....inasikitisha.
Lakini Mzee hayo mamlaka unayo.
Kwani ukivaa mabomu ukaenda kumlipua Kagame Kazi si inakuwa imeisha?? Waislam wa rwanda watapata kheri Na Wewe utaenda kupata thawabu mbinguni
 
Adhana ni sehemu miongoni mwa sehemu katika ibada ya swala ya kiisilamu, Adhana ni Lazima itolewe kwa sauti na Adhana haina mbadala kwa njia yoyote kwani yenyewe inabeba ujumbe wa kiroho unaomuhamashisha mtu aache mambo mengine na akaswali, adhana ni wito wenye "spiritual admonitions" and can't be replaced by anything else.

Adhana mbali na kuamsha na kuwataarifu wenyeji juu ya muda wa ibada lakini pia inawajulisha wageni kwamba msikiti upo wapi na hivyo kuwaunganisha Wageni waisilamu na ndugu zao wenyeji wa kiislamu katika Swala nk, Uisilamu ni zaidi ya kuswali msikitini na kuondoka.

Shida iliyopo Rwanda ni 90+% ni Christians na wachache waliobaki ni Muslims hivyo utaona nguvu ya Udini imeshawishi kuwepo na hilo katazo hii ni tofauti na Tz ambapo kuna angalau 50/50% Muslims na Christians ambapo tumejengwa kuvumiliana katika masuala ya imani.

Kuzuia utoaji wa adhana ni pigo katika imani ya dini ya kiisilamu.
Hujaelewa, kagame hajazuia adhana ila amezuia kutumia maspika kuadhini. Naona yuko sawa kabisa. Mambo ya kupigia watu makelele tena kwa kiarabu ni utovu wa nidham.
 
Kagame awe makini wasianze kujitoa mhanga kwa kujilipua mabomu huko...
nchi imewekwa vzr sn kias kwamb mtu mgeni atajulikana tu plus ana intellijensia bora sana ndan ya nchi yake
 
Bila Shaka utajua.
Uzima usikupe kiburi na kudharau maneno ya Mungu.
Allah akbar maana yake "MUNGU NI MKUBWA"
kusema mungu NI MKUBWA ni kelele?
Je,nikishaifahamu ndipo nitaelewa sababu za kwanini nipigiwe kelele alfajiri?
 
Adhana ni sehemu miongoni mwa sehemu katika ibada ya swala ya kiisilamu, Adhana ni Lazima itolewe kwa sauti na Adhana haina mbadala kwa njia yoyote kwani yenyewe inabeba ujumbe wa kiroho unaomuhamashisha mtu aache mambo mengine na akaswali, adhana ni wito wenye "spiritual admonitions" and can't be replaced by anything else.

Adhana mbali na kuamsha na kuwataarifu wenyeji juu ya muda wa ibada lakini pia inawajulisha wageni kwamba msikiti upo wapi na hivyo kuwaunganisha Wageni waisilamu na ndugu zao wenyeji wa kiislamu katika Swala nk, Uisilamu ni zaidi ya kuswali msikitini na kuondoka.

Shida iliyopo Rwanda ni 90+% ni Christians na wachache waliobaki ni Muslims hivyo utaona nguvu ya Udini imeshawishi kuwepo na hilo katazo hii ni tofauti na Tz ambapo kuna angalau 50/50% Muslims na Christians ambapo tumejengwa kuvumiliana katika masuala ya imani.

Kuzuia utoaji wa adhana ni pigo katika imani ya dini ya kiisilamu.
kumbuka asili ya adhana ni uarabu ambapo enz hizo waislam walikuwa 80% tofauti na huku mnapoipigia debe
 
Kama hoja ndo kama yako naunga mkono uamzi wa Kagame. Hapa duniani kila jamii au imani ina Mungu wao ambaye hafanani na huyo wa kwako au wa mwingine. Hivyo huo utukufu unautambua pekee yako na sio wote. Hata upande wa makanisa alishapiga ban watu kujifanyia watakavyo. Kongole Prezida Kagame
Kagame is genius
 
Hata bila mabomu huyo anaweza kuondoka.
Ni KUN FAYA KUN.
yaani Mungu akisema kuwa Basi inakuwa.
Na uenda waislam wa Rwanda hawajaamua kukaa kikao.
Ni suala la sekunde .Mungu anasubiri waislam wa Rwanda watasema Nini
Naona wamekaa kimya...inabidi waislam wa Tanzania waingilie Kati...Mzee ukitaka mabomu Mimi nna connection ya kuyapata
 
Back
Top Bottom